Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Walanguzi 9 kuuawa Indonesia

Utawala nchini Indonesia unafanya maandalizi ya mwisho ya kuuawa kwa walanguzi tisa wa madawa ya kulevya wengi wao raia wa kigeni.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Thailand kufunga kambi za walanguzi

Waziri mkuu wa Thailand Prayut Chan-o-cha, ameamrisha kuondolewa kwa kambi zinazotumiwa kwa ulanguzi katika kipindi cha chini ya siku kumi.

 

9 years ago

Mwananchi

Walanguzi madini ya Tanzanite wasakwa

Wizara ya Nishati na Madini imeanza operesheni ya kuwakamata watu wanaofanya biashara ya madini ya Tanzanite kinyume cha sheria.

 

10 years ago

BBCSwahili

Indonesia wakumbuka Tsunami

Indonesia wanakumbuka maafa ya tsunami miaka kumi iliyopita ambapo watu zaidi ya laki mbili waliuawa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Jehi la Indonesia lawamani

Kikundi cha kutetea haki za binaadamu nchini Indonesia,kimetaka majeshi ya nchi hiyo kuacha tabia ya kuchunguza bikira jeshini.

 

10 years ago

Mtanzania

Indonesia yaandaa mafunzo

NA TUNU NASSOR, DAR ES SALAAM
INDONESIA imeandaa mafunzo ya kilimo kwa maofisa kilimo wa nchi za Afrika na Mashariki ya Kati yanayolenga kuwajengea uwezo katika kutekeleza majukumu yao.
Akizungumza katika ufunguzi wa mafunzo hayo Dar es Salaam jana , Mkurugenzi Mkuu wa Mawasiliano na Diplomasia ya Umma katika Wizara ya Mambo ya Nje ya Indonesia, Esti Andayani alisema nchi hiyo imeandaa mafunzo yanayofanyika Mei 17 hadi 23 mwaka huu huko Mkindo, mkoani Morogoro.
Mafunzo hayo yamejikita katika...

 

10 years ago

BBC

Indonesia executes drugs prisoners

Eight convicted drug smugglers, including three Nigerians and a Ghanaian, have been executed by firing squad in Indonesia.

 

10 years ago

BBCSwahili

Indonesia yasitisha utafutaji wa Airasia

Indonesia imesitisha utafutaji wa ndege ya AirAsia hadi kesho iliopotea na takriban abiria 160 waliokuwa wakielekea Singapore

 

5 years ago

Bongo5

Sissoko kutua ligi ya Indonesia

Klabu ya ligi kuu ya Indonesia Mitra Kukar ambao ni mabingwa mara tatu ligi hiyo wametangaza kwamba wameafikiana kuhusu kumnunua mchezaji wa zamani wa Mali, Liverpool, PSG na Valencia Mohamed Sissoko.

Wameamua kumpa mchezaji huyo mkataba wa mwaka mmoja.

Sissoko ambaye ana miaka 32, ambaye amewahi kuchezea soka nchini China na India anatarajiwa kujiunga na klabu hiyo baada ya kufanyiwa uchunguzi wa kimatibabu.

Akifanikiwa, huenda akachezea Mitra mechi yao ya pili msimu huu ligini dhidi ya...

 

11 years ago

Habarileo

Kikwete ampongeza Rais wa Indonesia

RAIS Jakaya Kikwete ametuma salamu za pongezi kwa Rais wa Indonesia, Joko Widodo kwa kuchaguliwa kushika wadhifa huo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani