Sissoko kutua ligi ya Indonesia
Klabu ya ligi kuu ya Indonesia Mitra Kukar ambao ni mabingwa mara tatu ligi hiyo wametangaza kwamba wameafikiana kuhusu kumnunua mchezaji wa zamani wa Mali, Liverpool, PSG na Valencia Mohamed Sissoko.
Wameamua kumpa mchezaji huyo mkataba wa mwaka mmoja.
Sissoko ambaye ana miaka 32, ambaye amewahi kuchezea soka nchini China na India anatarajiwa kujiunga na klabu hiyo baada ya kufanyiwa uchunguzi wa kimatibabu.
Akifanikiwa, huenda akachezea Mitra mechi yao ya pili msimu huu ligini dhidi ya...
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania05 Jan
Ronaldinho kutua Ligi ya England
RIO DE JANEIRO, BRAZIL
NYOTA wa zamani wa timu ya Taifa ya Brazil na klabu ya Barcelona, Ronaldinho, anatarajia kutua nchini England kutokana na ofa anazopata.
Mchezaji huyo ambaye kwa sasa yupo huru tangu alipoondoka katika klabu yake ya Fluminense, amekuwa akitajwa na baadhi ya klabu nchini England ambapo kuna uwezekano mkubwa wa mchezaji huyo kujiunga Februari mwaka huu.
Kaka wa mchezaji huyo ambaye ni wakala wake, Roberto, amesema hadi sasa amepokea ofa zaidi ya mbili kutoka England,...
10 years ago
BBCSwahili31 Dec
Arsenal yamlenga Carvalho na Sissoko
11 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/72682000/jpg/_72682545_sissoko.jpg)
Sissoko joins Spanish side Levante
5 years ago
Football.London21 Feb
Tottenham injury news: Expected return dates for Son, Kane, Sissoko and Fernandes
10 years ago
BBCSwahili28 Apr
Walanguzi 9 kuuawa Indonesia
10 years ago
BBCSwahili26 Dec
Indonesia wakumbuka Tsunami
10 years ago
BBCSwahili15 May
Jehi la Indonesia lawamani
10 years ago
Mtanzania19 May
Indonesia yaandaa mafunzo
NA TUNU NASSOR, DAR ES SALAAM
INDONESIA imeandaa mafunzo ya kilimo kwa maofisa kilimo wa nchi za Afrika na Mashariki ya Kati yanayolenga kuwajengea uwezo katika kutekeleza majukumu yao.
Akizungumza katika ufunguzi wa mafunzo hayo Dar es Salaam jana , Mkurugenzi Mkuu wa Mawasiliano na Diplomasia ya Umma katika Wizara ya Mambo ya Nje ya Indonesia, Esti Andayani alisema nchi hiyo imeandaa mafunzo yanayofanyika Mei 17 hadi 23 mwaka huu huko Mkindo, mkoani Morogoro.
Mafunzo hayo yamejikita katika...