Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sissoko kutua ligi ya Indonesia

Klabu ya ligi kuu ya Indonesia Mitra Kukar ambao ni mabingwa mara tatu ligi hiyo wametangaza kwamba wameafikiana kuhusu kumnunua mchezaji wa zamani wa Mali, Liverpool, PSG na Valencia Mohamed Sissoko.

Wameamua kumpa mchezaji huyo mkataba wa mwaka mmoja.

Sissoko ambaye ana miaka 32, ambaye amewahi kuchezea soka nchini China na India anatarajiwa kujiunga na klabu hiyo baada ya kufanyiwa uchunguzi wa kimatibabu.

Akifanikiwa, huenda akachezea Mitra mechi yao ya pili msimu huu ligini dhidi ya...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Ronaldinho kutua Ligi ya England

RonaldinhoRIO DE JANEIRO, BRAZIL

NYOTA wa zamani wa timu ya Taifa ya Brazil na klabu ya Barcelona, Ronaldinho, anatarajia kutua nchini England kutokana na ofa anazopata.

Mchezaji huyo ambaye kwa sasa yupo huru tangu alipoondoka katika klabu yake ya Fluminense, amekuwa akitajwa na baadhi ya klabu nchini England ambapo kuna uwezekano mkubwa wa mchezaji huyo kujiunga Februari mwaka huu.

Kaka wa mchezaji huyo ambaye ni wakala wake, Roberto, amesema hadi sasa amepokea ofa zaidi ya mbili kutoka England,...

 

10 years ago

BBCSwahili

Arsenal yamlenga Carvalho na Sissoko

Arsenal wanadaiwa kumfukuzia William Carvalho na kiungo wa kati wa Newcastle Sissoko

 

11 years ago

BBC

Sissoko joins Spanish side Levante

Mali international midfielder Mohamed Sissoko has joined Spanish side Levante on a short-term contract.

 

5 years ago

Football.London

Tottenham injury news: Expected return dates for Son, Kane, Sissoko and Fernandes

Tottenham injury news: Expected return dates for Son, Kane, Sissoko and Fernandes  Football.LondonSky Sports pundit claims Tottenham 27-year-old lacks three qualities to replace Son  HITC - Football, Gaming, Movies, TV, MusicMiserable Mourinho bemoans a break he didn't need as Son sidelined  Inside World FootballJose Mourinho’s plan of attack in Son Heung-Min’s absence  Hotspur HQ‘What a player’: Some PL fans left stunned by news about Tottenham man  HITC - Football, Gaming, Movies, TV,...

 

10 years ago

BBCSwahili

Walanguzi 9 kuuawa Indonesia

Utawala nchini Indonesia unafanya maandalizi ya mwisho ya kuuawa kwa walanguzi tisa wa madawa ya kulevya wengi wao raia wa kigeni.

 

10 years ago

BBCSwahili

Indonesia wakumbuka Tsunami

Indonesia wanakumbuka maafa ya tsunami miaka kumi iliyopita ambapo watu zaidi ya laki mbili waliuawa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Jehi la Indonesia lawamani

Kikundi cha kutetea haki za binaadamu nchini Indonesia,kimetaka majeshi ya nchi hiyo kuacha tabia ya kuchunguza bikira jeshini.

 

10 years ago

Mtanzania

Indonesia yaandaa mafunzo

NA TUNU NASSOR, DAR ES SALAAM
INDONESIA imeandaa mafunzo ya kilimo kwa maofisa kilimo wa nchi za Afrika na Mashariki ya Kati yanayolenga kuwajengea uwezo katika kutekeleza majukumu yao.
Akizungumza katika ufunguzi wa mafunzo hayo Dar es Salaam jana , Mkurugenzi Mkuu wa Mawasiliano na Diplomasia ya Umma katika Wizara ya Mambo ya Nje ya Indonesia, Esti Andayani alisema nchi hiyo imeandaa mafunzo yanayofanyika Mei 17 hadi 23 mwaka huu huko Mkindo, mkoani Morogoro.
Mafunzo hayo yamejikita katika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani