Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ronaldinho kutua Ligi ya England

RonaldinhoRIO DE JANEIRO, BRAZIL

NYOTA wa zamani wa timu ya Taifa ya Brazil na klabu ya Barcelona, Ronaldinho, anatarajia kutua nchini England kutokana na ofa anazopata.

Mchezaji huyo ambaye kwa sasa yupo huru tangu alipoondoka katika klabu yake ya Fluminense, amekuwa akitajwa na baadhi ya klabu nchini England ambapo kuna uwezekano mkubwa wa mchezaji huyo kujiunga Februari mwaka huu.

Kaka wa mchezaji huyo ambaye ni wakala wake, Roberto, amesema hadi sasa amepokea ofa zaidi ya mbili kutoka England,...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Wachezaji huru wanaoweza kutua England

Dirisha la usajili wa wachezaji limefungwa barani Ulaya hadi Januari mwakani, lakini habari njema ni kwa wachezaji 10 ambao wanaweza kusaini kwenye klabu za Ligi Kuu England wakiwa wachezaji huru.

 

5 years ago

BBCSwahili

Taji la ligi ya England: Jinsi kocha Jurgen Klopp alivyoisaidia Liverpool kushinda taji la Ligi ya Primia.

Jurgen Klopp amechangia pakubwa katika ushindi wa Liverpool kwenye Ligi ya Primia.

 

5 years ago

Bongo5

Sissoko kutua ligi ya Indonesia

Klabu ya ligi kuu ya Indonesia Mitra Kukar ambao ni mabingwa mara tatu ligi hiyo wametangaza kwamba wameafikiana kuhusu kumnunua mchezaji wa zamani wa Mali, Liverpool, PSG na Valencia Mohamed Sissoko.

Wameamua kumpa mchezaji huyo mkataba wa mwaka mmoja.

Sissoko ambaye ana miaka 32, ambaye amewahi kuchezea soka nchini China na India anatarajiwa kujiunga na klabu hiyo baada ya kufanyiwa uchunguzi wa kimatibabu.

Akifanikiwa, huenda akachezea Mitra mechi yao ya pili msimu huu ligini dhidi ya...

 

9 years ago

BBCSwahili

Ligi kuu England kuendelea

Ligi kuu ya soka ya England inatarajia kuendelea tena wikendi hii kwa michezo kadhaaa.

 

10 years ago

Michuzi

11 years ago

BBCSwahili

Arsenal yapeta Ligi Kuu England

Timu ya Arsenal yazidi kuongoza ligi kuu ya England ikiwa imeingia mzunguko wa 20

 

11 years ago

BBCSwahili

Kivumbi cha Ligi kuu England

ligi kuu ya England itaendelea kesho wakati mashabiki duniani kote watashuhudia timu zao zikitafuta point tatu muhimu.

 

9 years ago

BBCSwahili

Tottenham Yatakata Ligi kuu England.

Klabu ya soka ya Tottenham Hots spurs jana ilifanikiwa kuvuna ushindi mnono na kukwea hadi Nafasi ya 5 katika msimamo wa ligi.

 

10 years ago

GPL

LIGI KUU ENGLAND MECHI ZA LEO

Chelsea v West Brom - Stamford Bridge - 12:00 Jioni
Everton v West Ham - Goodison Park - 12:00 Jioni  
Leicester v Sunderland - King Power Stadium - 12:00 Jioni
Man City v Swansea - Etihad Stadium - 12:00 Jioni  
Newcastle v QPR - St. James' Park - 12:00 Jioni
Stoke v Burnley - Britannia Stadium - 12:00 Jioni…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani