Wachezaji huru wanaoweza kutua England
Dirisha la usajili wa wachezaji limefungwa barani Ulaya hadi Januari mwakani, lakini habari njema ni kwa wachezaji 10 ambao wanaweza kusaini kwenye klabu za Ligi Kuu England wakiwa wachezaji huru.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania05 Jan
Ronaldinho kutua Ligi ya England
RIO DE JANEIRO, BRAZIL
NYOTA wa zamani wa timu ya Taifa ya Brazil na klabu ya Barcelona, Ronaldinho, anatarajia kutua nchini England kutokana na ofa anazopata.
Mchezaji huyo ambaye kwa sasa yupo huru tangu alipoondoka katika klabu yake ya Fluminense, amekuwa akitajwa na baadhi ya klabu nchini England ambapo kuna uwezekano mkubwa wa mchezaji huyo kujiunga Februari mwaka huu.
Kaka wa mchezaji huyo ambaye ni wakala wake, Roberto, amesema hadi sasa amepokea ofa zaidi ya mbili kutoka England,...
10 years ago
MichuziWachezaji wa zamani wa Barcelona waanza kutua nchini
Mchezaji Luis Garcia(kulia) akiwasili katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro .kushoto ni mratibu wa safari ya wachezaji wa zamani wa klabu ya Barcelona Royco Garcia.Wachezaji wa Barcelona wakielekea upande wa watu mashuhuri katika uwanja wa ndege wa Kiamtaifa wa Kilimanjaro...
10 years ago
BBCSwahili28 Jan
England yakufuru usajili wa wachezaji
10 years ago
BBCSwahili26 Jun
England yatetea wachezaji chipukizi
11 years ago
BBCSwahili12 Jun
Makahaba Brazil wawalenga wachezaji wa England
11 years ago
GPLWACHEZAJI WALIOITWA TIMU YA TAIFA YA ENGLAND KOMBE LA DUNIA
10 years ago
Bongo527 Apr
Tuzo ya Mwanasoka bora wa England 2015 imeenda kwa wachezaji hawa
11 years ago
Mwananchi05 May
‘JK, Shein ndiyo wanaoweza kuirejesha Ukawa bungeni’
9 years ago
Africanjam.ComSUPPORTERS NAME ENGLAND CAPTAIN WAYNE ROONEY ENGLAND PLAYER OF THE YEAR