Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wachezaji huru wanaoweza kutua England

Dirisha la usajili wa wachezaji limefungwa barani Ulaya hadi Januari mwakani, lakini habari njema ni kwa wachezaji 10 ambao wanaweza kusaini kwenye klabu za Ligi Kuu England wakiwa wachezaji huru.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Ronaldinho kutua Ligi ya England

RonaldinhoRIO DE JANEIRO, BRAZIL

NYOTA wa zamani wa timu ya Taifa ya Brazil na klabu ya Barcelona, Ronaldinho, anatarajia kutua nchini England kutokana na ofa anazopata.

Mchezaji huyo ambaye kwa sasa yupo huru tangu alipoondoka katika klabu yake ya Fluminense, amekuwa akitajwa na baadhi ya klabu nchini England ambapo kuna uwezekano mkubwa wa mchezaji huyo kujiunga Februari mwaka huu.

Kaka wa mchezaji huyo ambaye ni wakala wake, Roberto, amesema hadi sasa amepokea ofa zaidi ya mbili kutoka England,...

 

10 years ago

Michuzi

Wachezaji wa zamani wa Barcelona waanza kutua nchini

Mchezaji wa zamani wa klabu ya Barcelona Patrick Kluivert akiwaongoza wachezaji wenzake akiwepo Simao Sabrosa muda mfupi mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA).
Mchezaji Luis Garcia(kulia) akiwasili katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro .kushoto ni mratibu wa safari ya wachezaji wa zamani wa klabu ya Barcelona Royco Garcia.Wachezaji wa Barcelona wakielekea upande wa watu mashuhuri katika uwanja wa ndege wa Kiamtaifa wa Kilimanjaro...

 

10 years ago

BBCSwahili

England yakufuru usajili wa wachezaji

FIFA imesema vilabu vya mpira wa miguu vilitumia dola bilioni 4.1 katika uhamisho wa wachezaji wa kimataifa mwaka uliopita,

 

10 years ago

BBCSwahili

England yatetea wachezaji chipukizi

England imetetea uamuzi wa kutowatumia wachezaji wa ligi kuu ya nchi hiyo ili kuwapa nafasi wachezaji chipukizi

 

11 years ago

BBCSwahili

Makahaba Brazil wawalenga wachezaji wa England

Wanawake nchini Brazil wanaanza kujihuisha na biashara ya ukahaba huku wakiwalenga wachezaji wa England.

 

11 years ago

GPL

WACHEZAJI WALIOITWA TIMU YA TAIFA YA ENGLAND KOMBE LA DUNIA

Hatimaye kocha wa timu ya taifa ya England Roy Hodgson ametangaza kikosi cha timu hiyo kitakachoenda Brazil hivi punde.
Kikosi cha England kilichotangazwa kina majina ya wachezaji wafuatao:
Goalkeepers: Joe Hart (Manchester City), Fraser Forster (Celtic), Ben Foster (West Brom)
Defenders: Glen Johnson (Liverpool), Phil Jones (Manchster United), Phil Jagielka (Everton), Gary Cahill (Chelsea), Chris Smalling (Manchester...

 

10 years ago

Bongo5

Tuzo ya Mwanasoka bora wa England 2015 imeenda kwa wachezaji hawa

Ligi kuu ya England ikiwa inakaribia kuisha, mchezaji wa Club ya Chelsea, Eden Hazard raia wa Ubelgiji ambaye hadi sasa ameifungia timu hiyo mabao 18, amechagulia kuwa mchezaji bora wa mwaka na chama cha wachezaji wa kulipwa England PFA. Na tuzo ya mwanasoka bora chipukizi imechuliwa na mshambuliaji wa Tottenham Hotspur, Harry Kane aliyefanikiwa kushinda […]

 

11 years ago

Mwananchi

‘JK, Shein ndiyo wanaoweza kuirejesha Ukawa bungeni’

Waziri wa Afya wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Juma Duni Haji amesema watu pekee wanaoweza kulinusuru kundi la Umoja wa Katiba ya Watanzania (Ukawa), kurejea bungeni ni Rais Jakaya Kikwete na Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein.

 

9 years ago

Africanjam.Com

SUPPORTERS NAME ENGLAND CAPTAIN WAYNE ROONEY ENGLAND PLAYER OF THE YEAR

Wayne Rooney has been named England Player of the Year for 2015, retaining the title he won in 2014.The Manchester United forward earned 37% of the votes cast by members of the England Supporters Club and has now won it four times.England captain Rooney, 30, scored five goals last year, overtaking Sir Bobby Charlton as England's record goalscorer during Euro 2016 qualification.Stoke City goalkeeper Jack Butland was voted Under-21 Player of the Year.In the vote for the senior player of the...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani