Wachezaji wa zamani wa Barcelona waanza kutua nchini
Mchezaji wa zamani wa klabu ya Barcelona Patrick Kluivert akiwaongoza wachezaji wenzake akiwepo Simao Sabrosa muda mfupi mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA).
Mchezaji Luis Garcia(kulia) akiwasili katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro .kushoto ni mratibu wa safari ya wachezaji wa zamani wa klabu ya Barcelona Royco Garcia.
Wachezaji wa Barcelona wakielekea upande wa watu mashuhuri katika uwanja wa ndege wa Kiamtaifa wa Kilimanjaro...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-7-fsf6ZuI5w/VSas2IzrGRI/AAAAAAABrT4/IqJsTTFMmKI/s72-c/IMG_0394.jpg)
Dk Shein akutana na wachezaji wa zamani wa Timu ya Barcelona Ikulu
![](http://4.bp.blogspot.com/-7-fsf6ZuI5w/VSas2IzrGRI/AAAAAAABrT4/IqJsTTFMmKI/s640/IMG_0394.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Fzlque07H2c/VSas140HhkI/AAAAAAABrT0/EEFCqoiG0xs/s640/IMG_0396.jpg)
10 years ago
VijimamboWACHEZAJI WA ZAMANI WA BARCELONA WAKUTANA NA RAIS SHEIN IKULU ZANZIBAR
10 years ago
Mwananchi30 Oct
Barcelona kutua nchini Desemba
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-2LY8wSjyvCk/VNh6Vc4lW3I/AAAAAAACzkk/uuCoSmGhLyc/s72-c/1.jpg)
MAGWIJI WA FC BARCELONA KUTUA NCHINI KUPAMBANA NA NYOTA WA TANZANIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-2LY8wSjyvCk/VNh6Vc4lW3I/AAAAAAACzkk/uuCoSmGhLyc/s1600/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-EfyQ2lt0o68/VNh6h8-_p4I/AAAAAAACzk0/fCGT8k4JJNs/s1600/3.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-2LY8wSjyvCk/VNh6Vc4lW3I/AAAAAAACzkk/uuCoSmGhLyc/s72-c/1.jpg)
MAGWIJI WA FC BARCELONA KUTUA NCHINI KUPAMBAMBANA NA NYOTA WA TANZANIA MACHI 28
![](http://1.bp.blogspot.com/-2LY8wSjyvCk/VNh6Vc4lW3I/AAAAAAACzkk/uuCoSmGhLyc/s1600/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-EfyQ2lt0o68/VNh6h8-_p4I/AAAAAAACzk0/fCGT8k4JJNs/s1600/3.jpg)
10 years ago
MichuziMAGWIJI WA KLABU YA BARCELONA WAANZA KUWASILI NCHINI
BOFYA HAPA KWA PICHA NA HABARI KAMILI
10 years ago
Mwananchi04 Sep
Wachezaji huru wanaoweza kutua England
10 years ago
VijimamboTIMU YAWACHEZAJI WA ZAMANI WA BARCELONA WAWASILI ZANZIBAR
Kikosi cha Wachezaji wa Zamani wa Timu ya Barcelona wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kuwasili Uwanja wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume wakitokea Arusha , wakiwa Zanzibar kwa Mualiko wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, kutembelea Zanzibar kujionea Vivutio...
5 years ago
BBCSwahili31 Mar
Wachezaji wa Barcelona wapunguziwa mishahara