MAGWIJI WA KLABU YA BARCELONA WAANZA KUWASILI NCHINI
Nguli wa soka wa timu ya taifa ,Uholanzi na vilabu vya Ajax na Barcelona,Johan Cruyff (Kulia) akiongozana na mwenyeji wake,Rayco Garcia mara baada ya kuwasili katika uwanja a ndege wa kimataifa wa Kilimanjaro(KIA)
Dixon Busagaga (Kushoto) wa Globu ya Jamii na Busagaga's Orijino Blog akiwa katika picha ya pamoja na waratibu wa ziara hiyo ya magwiji wa Barcelona.
BOFYA HAPA KWA PICHA NA HABARI KAMILI
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-2LY8wSjyvCk/VNh6Vc4lW3I/AAAAAAACzkk/uuCoSmGhLyc/s72-c/1.jpg)
MAGWIJI WA FC BARCELONA KUTUA NCHINI KUPAMBANA NA NYOTA WA TANZANIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-2LY8wSjyvCk/VNh6Vc4lW3I/AAAAAAACzkk/uuCoSmGhLyc/s1600/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-EfyQ2lt0o68/VNh6h8-_p4I/AAAAAAACzk0/fCGT8k4JJNs/s1600/3.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-2LY8wSjyvCk/VNh6Vc4lW3I/AAAAAAACzkk/uuCoSmGhLyc/s72-c/1.jpg)
MAGWIJI WA FC BARCELONA KUTUA NCHINI KUPAMBAMBANA NA NYOTA WA TANZANIA MACHI 28
![](http://1.bp.blogspot.com/-2LY8wSjyvCk/VNh6Vc4lW3I/AAAAAAACzkk/uuCoSmGhLyc/s1600/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-EfyQ2lt0o68/VNh6h8-_p4I/AAAAAAACzk0/fCGT8k4JJNs/s1600/3.jpg)
11 years ago
MichuziViongozi waanza kuwasili nchini kwa ajili ya Maadhimisho ya miaka 50 ya Muungano
10 years ago
MichuziWachezaji wa zamani wa Barcelona waanza kutua nchini
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/b4nlV6db94M/default.jpg)
10 years ago
GPLTIMU YA MAGWIJI WA BARCELONA WALIVYOWASILI ZANZIBAR
Kikosi cha Wachezaji wa Zamani wa Timu ya Barcelona wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kuwasili Uwanja wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume wakitokea Arusha. Rais wa Heshima wa Timu ya Barcelona Kocha Johan Cruyff, akizungumza na waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali vilioko Zanzibar alipofika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume.… ...
10 years ago
GPLMAGWIJI WA TANZANIA WALIVYOLALA 2-1 KWA BARCELONA
Patrick Kluivert akijaribu kuwatoka wachezaji wa Tanzania. Shadrack Nsajigwa akimiliki mpira huku akizongwa na mchezaji wa Barca. Kikosi cha magwiji wa Tanzania.…
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DGjgPH8*8vlyJ9je5*UWR9wZjtmgi3p3JyckCBxiy4qvPPRohC56SkSg*nduAvBCpnOw04T-n9etgWhmWOOqQNEHyi5TblyO/JK.jpg?width=650)
MAGWIJI WA BARCELONA WAMTEMBELEA RAIS KIKWETE IKULU JIJINI DAR
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na wachezaji maveterani wa timu ya Barcelona wakati walimpomtembelea Ikulu jijini Dar es Salaam jana.
Mchezaji nyota wa zamani wa Uholanzi na kocha wa Timu ya maveterani ya Barcelona Johann Cruyft akimkabidhi jezi Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete ikulu jijini Dar es Salaam jana.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na wachezaji… ...
10 years ago
Vijimambo10 Apr
HIKI NDICHO KIKOSI CHA TANZANIA KITAKACHO CHEZA NA MAGWIJI WA BARCELONA
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/04/tz.jpg)
Mambo yameshaiva tayari kabisa kushuhudia kandanda safi kati ya magwiji wa Barcelona wakipambana na magwiji wa Tanzania. Hiki ndichi kikosi kitakacho iwakilisha Tanzania siku ya mechi Jumamosi hii. Credit:ShaffihDauda
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/04/tazania.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania