MAGWIJI WA FC BARCELONA KUTUA NCHINI KUPAMBAMBANA NA NYOTA WA TANZANIA MACHI 28

Mshambuliaji wa zamani wa FC Barcelona na timu ya Taifa ya Uholanzi Patrick Kluivert alizungumzia ujio wa magwiji FC Barcelona nchini mwezi wa tatu mbele ya waandishi wa habari kwenye mgahawa wa Sports Lounge uliopo jijini Dar Es Salaam ,Pembeni ya Kluivert ni mwenyekiti wa DRFA Ndugu Almas Kasongo. Magwiji hao wa Barcelona wanataraji kucheza na wachezaji nyota wa Tanzania kwenye uwanja wa Taifa mnamo mwezi wa machi tarehe 28.
Mwenyekiti wa chama cha soka mkoa wa Dar Es Salaam,Almasi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi
MAGWIJI WA FC BARCELONA KUTUA NCHINI KUPAMBANA NA NYOTA WA TANZANIA


10 years ago
MichuziMAGWIJI WA KLABU YA BARCELONA WAANZA KUWASILI NCHINI
BOFYA HAPA KWA PICHA NA HABARI KAMILI
10 years ago
GPLMAGWIJI WA TANZANIA WALIVYOLALA 2-1 KWA BARCELONA
11 years ago
Mwananchi30 Oct
Barcelona kutua nchini Desemba
10 years ago
Vijimambo10 Apr
HIKI NDICHO KIKOSI CHA TANZANIA KITAKACHO CHEZA NA MAGWIJI WA BARCELONA

Mambo yameshaiva tayari kabisa kushuhudia kandanda safi kati ya magwiji wa Barcelona wakipambana na magwiji wa Tanzania. Hiki ndichi kikosi kitakacho iwakilisha Tanzania siku ya mechi Jumamosi hii. Credit:ShaffihDauda

10 years ago
MichuziWachezaji wa zamani wa Barcelona waanza kutua nchini
10 years ago
CloudsFM10 Feb
BARCELONA KUCHEZA NA TANZANIA MACHI 28 TAIFA


10 years ago
Michuzi
10 years ago
Vijimambo