Dk Shein akutana na wachezaji wa zamani wa Timu ya Barcelona Ikulu
![](http://4.bp.blogspot.com/-7-fsf6ZuI5w/VSas2IzrGRI/AAAAAAABrT4/IqJsTTFMmKI/s72-c/IMG_0394.jpg)
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohammed Shein akipokabidhiwa Jezi ya Bacelona namba 14 ya mchezaji wa zamani, Johan Cruyff (kushoto)wakati wa hafla fupi ya chakula jioni iliyofanyika leo Ikulu Mjini Zanzibar timu hiyo ilipokutana na Rais.[Picha na Ikulu)
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboWACHEZAJI WA ZAMANI WA BARCELONA WAKUTANA NA RAIS SHEIN IKULU ZANZIBAR
10 years ago
MichuziWachezaji wa zamani wa Barcelona waanza kutua nchini
10 years ago
VijimamboTIMU YAWACHEZAJI WA ZAMANI WA BARCELONA WAWASILI ZANZIBAR
Kikosi cha Wachezaji wa Zamani wa Timu ya Barcelona wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kuwasili Uwanja wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume wakitokea Arusha , wakiwa Zanzibar kwa Mualiko wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, kutembelea Zanzibar kujionea Vivutio...
9 years ago
StarTV23 Nov
Wachezaji wa zamani wa timu za Taifa Bara na Z’bar kucheza mchezo maalum. Â
Wachezaji wa zamani wa timu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars na wachezaji wa zamani wa timu ya Zanzibar Heroes watacheza mechi ya kirafiki December 09 mwaka huu kwa Lengo la kuhamasisha amani katika visiwani Zanzibar.
Mechi hiyo itapigwa katika Uwanja wa Amani ambapo pande zinazotofautiana kisiasa zitaalikwa ili kuzungumza na wanachama kuwa watulivu kipindi hiki ambapo suluhu inatafutwa.
Wakati huohuo michuano ya kuwania kombe la Challenge inaendelea huko nchini Ethiopia,timu ya Kilimnajaro...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-REzNtsRn6Zo/VSl3WsmQ63I/AAAAAAAHQYQ/w5FmPpUv8Tk/s72-c/unnamed%2B(45).jpg)
WACHEZAJI VETERANI WA FC BARCELONA WAMTEMBELEA RAIS KIKWETE IKULU JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://4.bp.blogspot.com/-REzNtsRn6Zo/VSl3WsmQ63I/AAAAAAAHQYQ/w5FmPpUv8Tk/s1600/unnamed%2B(45).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-rgRcZxZv-zk/VSl3WaVfZkI/AAAAAAAHQYA/M0mpYRv8OEc/s1600/unnamed%2B(46).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-SErjSD4tG1c/VSl3Wx5YNwI/AAAAAAAHQYE/699gt8VgHj4/s1600/unnamed%2B(47).jpg)
Rais wa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-REzNtsRn6Zo/VSl3WsmQ63I/AAAAAAAHQYQ/w5FmPpUv8Tk/s72-c/unnamed%2B(45).jpg)
Wachezaji veterani wa FC Barcelona wamtembelea Rais Kikwete ikulu. dar es salaam leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-REzNtsRn6Zo/VSl3WsmQ63I/AAAAAAAHQYQ/w5FmPpUv8Tk/s1600/unnamed%2B(45).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-rgRcZxZv-zk/VSl3WaVfZkI/AAAAAAAHQYA/M0mpYRv8OEc/s1600/unnamed%2B(46).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-SErjSD4tG1c/VSl3Wx5YNwI/AAAAAAAHQYE/699gt8VgHj4/s1600/unnamed%2B(47).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Dl4K1WAr1G8/VSeWEBTdSPI/AAAAAAAHQAI/Hiwf9hNbolQ/s72-c/IMG_0394.jpg)
DKT.SHEIN AKUTANA TIMU YA MAVETERANI BACELONA
![](http://2.bp.blogspot.com/-Dl4K1WAr1G8/VSeWEBTdSPI/AAAAAAAHQAI/Hiwf9hNbolQ/s1600/IMG_0394.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-OzsNtF9uoTA/VSeWDYnhrJI/AAAAAAAHQAE/e9sENP9IHFk/s1600/IMG_0396.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-G06uRo8PECQ/XmD3Mdz8hHI/AAAAAAALhOI/hdKNH68n8ys5vaxiy4KFUtK7se-HXG0QwCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC7551-768x486.jpg)
RAIS DK SHEIN AKUTANA NA WAJUMBE WA BARAZA LA BIASHARA ZANZIBAR IKULU
![](https://1.bp.blogspot.com/-G06uRo8PECQ/XmD3Mdz8hHI/AAAAAAALhOI/hdKNH68n8ys5vaxiy4KFUtK7se-HXG0QwCLcBGAsYHQ/s640/DSC7551-768x486.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/DSC7586-1024x577.jpg)
10 years ago
VijimamboDk Shein akutana na watendaji Wizara ya Biashara Viwanda na Masoko Ikulu