Makahaba Brazil wawalenga wachezaji wa England
Wanawake nchini Brazil wanaanza kujihuisha na biashara ya ukahaba huku wakiwalenga wachezaji wa England.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili26 Jun
England yatetea wachezaji chipukizi
England imetetea uamuzi wa kutowatumia wachezaji wa ligi kuu ya nchi hiyo ili kuwapa nafasi wachezaji chipukizi
10 years ago
BBCSwahili28 Jan
England yakufuru usajili wa wachezaji
FIFA imesema vilabu vya mpira wa miguu vilitumia dola bilioni 4.1 katika uhamisho wa wachezaji wa kimataifa mwaka uliopita,
11 years ago
Mwananchi04 Sep
Wachezaji huru wanaoweza kutua England
Dirisha la usajili wa wachezaji limefungwa barani Ulaya hadi Januari mwakani, lakini habari njema ni kwa wachezaji 10 ambao wanaweza kusaini kwenye klabu za Ligi Kuu England wakiwa wachezaji huru.
11 years ago
GPL
WACHEZAJI WALIOITWA TIMU YA TAIFA YA ENGLAND KOMBE LA DUNIA
Hatimaye kocha wa timu ya taifa ya England Roy Hodgson ametangaza kikosi cha timu hiyo kitakachoenda Brazil hivi punde.
Kikosi cha England kilichotangazwa kina majina ya wachezaji wafuatao:
Goalkeepers: Joe Hart (Manchester City), Fraser Forster (Celtic), Ben Foster (West Brom)
Defenders: Glen Johnson (Liverpool), Phil Jones (Manchster United), Phil Jagielka (Everton), Gary Cahill (Chelsea), Chris Smalling (Manchester...
10 years ago
Bongo527 Apr
Tuzo ya Mwanasoka bora wa England 2015 imeenda kwa wachezaji hawa
Ligi kuu ya England ikiwa inakaribia kuisha, mchezaji wa Club ya Chelsea, Eden Hazard raia wa Ubelgiji ambaye hadi sasa ameifungia timu hiyo mabao 18, amechagulia kuwa mchezaji bora wa mwaka na chama cha wachezaji wa kulipwa England PFA. Na tuzo ya mwanasoka bora chipukizi imechuliwa na mshambuliaji wa Tottenham Hotspur, Harry Kane aliyefanikiwa kushinda […]
11 years ago
BBCSwahili16 Jul
Wachezaji waliovutia zaidi Brazil
Wachezaji hawa walikuwa na mvuto mkubwa kiasi cha kuotewa na vilabu vyenye thamani ya mamilioni duniani
11 years ago
Mwananchi23 Jun
Majina halisi ya wachezaji wa Brazil
Kama ilivyo kwa wachezaji wengi wa Brazil, mshambuliaji Neymar anatumia jina moja tu kwenye jezi yake. Jina lake halisi ni Neymar da Silva Santos Junior.
11 years ago
Mwananchi12 Jun
Brazil 2014: Welbeck azua hofu England
Timu ya England imepata mshituko baada ya nyota wake, Danny Welbeck kuumia juzi wakati wa mazoezi kujiandaa kwa mchezo wao wa kwanza wa Fainali za Kombe la Dunia Jumamosi dhidi ya Italia.
11 years ago
Mwananchi10 Jun
BRAZIL 2014: ‘Tusiwadharau vijana wa England’ — Suarez
Suarez anaamini kuwa kikosi cha Roy Hodgson chenye vijana wengi kitawapa wakati mgumu katika mashindano ya mwaka huu.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania