Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Makahaba Brazil wawalenga wachezaji wa England

Wanawake nchini Brazil wanaanza kujihuisha na biashara ya ukahaba huku wakiwalenga wachezaji wa England.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

England yatetea wachezaji chipukizi

England imetetea uamuzi wa kutowatumia wachezaji wa ligi kuu ya nchi hiyo ili kuwapa nafasi wachezaji chipukizi

 

10 years ago

BBCSwahili

England yakufuru usajili wa wachezaji

FIFA imesema vilabu vya mpira wa miguu vilitumia dola bilioni 4.1 katika uhamisho wa wachezaji wa kimataifa mwaka uliopita,

 

11 years ago

Mwananchi

Wachezaji huru wanaoweza kutua England

Dirisha la usajili wa wachezaji limefungwa barani Ulaya hadi Januari mwakani, lakini habari njema ni kwa wachezaji 10 ambao wanaweza kusaini kwenye klabu za Ligi Kuu England wakiwa wachezaji huru.

 

11 years ago

GPL

WACHEZAJI WALIOITWA TIMU YA TAIFA YA ENGLAND KOMBE LA DUNIA

Hatimaye kocha wa timu ya taifa ya England Roy Hodgson ametangaza kikosi cha timu hiyo kitakachoenda Brazil hivi punde.
Kikosi cha England kilichotangazwa kina majina ya wachezaji wafuatao:
Goalkeepers: Joe Hart (Manchester City), Fraser Forster (Celtic), Ben Foster (West Brom)
Defenders: Glen Johnson (Liverpool), Phil Jones (Manchster United), Phil Jagielka (Everton), Gary Cahill (Chelsea), Chris Smalling (Manchester...

 

10 years ago

Bongo5

Tuzo ya Mwanasoka bora wa England 2015 imeenda kwa wachezaji hawa

Ligi kuu ya England ikiwa inakaribia kuisha, mchezaji wa Club ya Chelsea, Eden Hazard raia wa Ubelgiji ambaye hadi sasa ameifungia timu hiyo mabao 18, amechagulia kuwa mchezaji bora wa mwaka na chama cha wachezaji wa kulipwa England PFA. Na tuzo ya mwanasoka bora chipukizi imechuliwa na mshambuliaji wa Tottenham Hotspur, Harry Kane aliyefanikiwa kushinda […]

 

11 years ago

BBCSwahili

Wachezaji waliovutia zaidi Brazil

Wachezaji hawa walikuwa na mvuto mkubwa kiasi cha kuotewa na vilabu vyenye thamani ya mamilioni duniani

 

11 years ago

Mwananchi

Majina halisi ya wachezaji wa Brazil

Kama ilivyo kwa wachezaji wengi wa Brazil, mshambuliaji Neymar anatumia jina moja tu kwenye jezi yake. Jina lake halisi ni Neymar da Silva Santos Junior.

 

11 years ago

Mwananchi

Brazil 2014: Welbeck azua hofu England

Timu ya England imepata mshituko baada ya nyota wake, Danny Welbeck kuumia juzi wakati wa mazoezi kujiandaa kwa mchezo wao wa kwanza wa Fainali za Kombe la Dunia Jumamosi dhidi ya Italia.

 

11 years ago

Mwananchi

BRAZIL 2014: ‘Tusiwadharau vijana wa England’ — Suarez

Suarez anaamini kuwa kikosi cha Roy Hodgson chenye vijana wengi kitawapa wakati mgumu katika mashindano ya mwaka huu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani