Wachezaji waliovutia zaidi Brazil
Wachezaji hawa walikuwa na mvuto mkubwa kiasi cha kuotewa na vilabu vyenye thamani ya mamilioni duniani
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi12 Jun
Brazil 2014: Capello ndiye kocha anayelipwa mshahara mnono zaidi Brazil
11 years ago
Mwananchi23 Jun
Majina halisi ya wachezaji wa Brazil
11 years ago
BBCSwahili12 Jun
Makahaba Brazil wawalenga wachezaji wa England
11 years ago
Mwananchi03 Jul
BRAZIL 2014: Kocha Marekani asifia uwezo wachezaji wake
10 years ago
Mwananchi19 Jan
Wachezaji sita na makocha wanne wametwaa mataji mengi zaidi
10 years ago
Africanjam.Com![](http://3.bp.blogspot.com/-xJJ-zEgkCes/VYmR6c45qJI/AAAAAAAACMg/n5TyPxN_kUg/s72-c/Apresentacao-Kaka-Foto-DivulgacaoOrlando-City_LANIMA20140807_0210_25.jpg)
LIST YA WACHEZAJI WANAOLIPWA PESA NYINGI ZAIDI LIGI YA MAREKANI
![](http://3.bp.blogspot.com/-xJJ-zEgkCes/VYmR6c45qJI/AAAAAAAACMg/n5TyPxN_kUg/s400/Apresentacao-Kaka-Foto-DivulgacaoOrlando-City_LANIMA20140807_0210_25.jpg)
Kwanza kabisa ujue Kaka ndie mchezaji anaelipwa pesa nyingi kuliko wachezaji wote kwenye MLS ambapo yeye anapokea $7.16m (£4.51m) kwa mwaka. Pia anaefuatia sio Lampard wala Gerrad.Clint Dempsey ambae alikua Fulham and Tottenham na sasa anachezea Seattle Sounders, Michael Bradley wa Toronto FC wanalipwa pesa nyingi kuliko wachezaji hawa wa England.
![](http://2.bp.blogspot.com/-RVqc5XtTMr8/VYmRGmXgxtI/AAAAAAAACMQ/mz6cuKwuZIc/s400/2462E86100000578-2895288-image-m-8_1420291496128.jpg)
.
Clint Dempsey analipwa kiasi cha $6.7m (£4.2m) na Michael Bradley analipwa $6.5m (£4.1m).Namba 4 anakaa Steven Gerrard amabe anacheza L.A Galaxy...
9 years ago
MillardAyo16 Dec
Imenifikia TOP 5 ya wachezaji soka wenye majina marefu zaidi duniani …
Najua mtu wangu imekuwa ni kawaida kusikia majina ya wachezaji pindi wanapotangazwa kupitia Television au Radio wakati mpira ukichezwa, wengi huwa tunatambua majina ya kawaida na mafupi kutokana na namna ya matamshi ambayo mtangazaji hutamka. Stori kutoka thebesteleven.com hii ndio Top 5 ya majina marefu zaidi kwa wachezaji soka, huenda wakawepo wengine ila imenifikia list hii mtu […]
The post Imenifikia TOP 5 ya wachezaji soka wenye majina marefu zaidi duniani … appeared first on...
10 years ago
Vijimambo16 Oct
MROPE: HALI MBAYA IMENIKIMBIZA STAND UNITED, WACHEZAJI SITA WAMETIMKA, WENGINE ZAIDI KUFUATA…
![](http://shaffihdauda.com/wp-content/uploads/2014/10/s3.png)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-et2uJEgzmVU/XkzN_lBg7kI/AAAAAAALeNM/3sXsBrWAa68604nCRB038A5ZvXieU-0hQCLcBGAsYHQ/s72-c/737637be12c25dbefdbd7da9f3ff81ec.jpg)
Uamuzi wa kupunguza idadi ya wachezaji wa kigeni TPL uangaliwe kwa mapana zaidi kabla ya hatua hiyo kuchukuliwa
![](https://1.bp.blogspot.com/-et2uJEgzmVU/XkzN_lBg7kI/AAAAAAALeNM/3sXsBrWAa68604nCRB038A5ZvXieU-0hQCLcBGAsYHQ/s640/737637be12c25dbefdbd7da9f3ff81ec.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-L20P9priZ-E/XkzN_u0qfYI/AAAAAAALeNE/sj5RUD1VPGElAo3vLmEuxQAvqWPmAkmgwCLcBGAsYHQ/s640/_70607978_ivorians_.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-_3tQEYqLbFg/XkzN_tYVs5I/AAAAAAALeNI/WO9NBKPlcPsiZfjEdlYRLMwqmK-AB9WmgCLcBGAsYHQ/s640/Yangapic.jpg)
Na Mdau wa Soka Arusha
Hatua hii itakuwa siyo ya kujenga bali ni kubomoa soka letu. Kiuhalisia kwa sasa ni timu 3 zenye uwezo wa kusajili wachezaji 10 wa kigeni; Simba, Yanga na Azam.
Usajili kwa sasa unaruhusu kila timu ya TPL kusajili wachezaji mpaka 30 kwa msimu.Kwa mahesabu hayo jumla ya namba ya wachezaji wanaosajiliwa na timu 20 za ligi kuu ni 600(30 x20).
Chukulia mfano timu 3 kubwa zimesajili wachezaji 10 wa kigeni kila moja ukijumlisha unapata wachezaji 30.
Chukulia pia mfano timu 17...