MROPE: HALI MBAYA IMENIKIMBIZA STAND UNITED, WACHEZAJI SITA WAMETIMKA, WENGINE ZAIDI KUFUATA…
Na Baraka MbolemboleWachezaji sita wa timu ya Stand United wameondoka katika timu hiyo na kurudi ‘ majumbani’ mwao baada ya hali mbaya katika timu hiyi. Hakuna huduma nzuri katika kambi ya timu hiyo, maradhi ni shida, huku wachezaji wanaopata majeraha wakitibiwa kwa Panaldo. Patrick Mrope ni mmoja wa wachezaji sita ambao wameamua kuachana na timu hiyo na kufikia tarehe 26, Mwezi huu mchezaji atakuwa huru kwa sababu atafikisha miezi mitatu bila kulipwa mshahara wake.Patrick Mrope akiwa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili14 Feb
Coronavirus: Odion Ighalo atengwa na wachezaji wengine wa Man United
10 years ago
BBCSwahili23 Apr
Hali yaelezwa kuwa mbaya zaidi Yemen
10 years ago
Mwananchi19 Jan
Wachezaji sita na makocha wanne wametwaa mataji mengi zaidi
5 years ago
BBCSwahili15 May
Virusi vya corona: Mtaalamu wa chanjo 'aliyefutwa kazi' asema Marekani itakabiliwa na hali mbaya zaidi katika majira ya baridi
10 years ago
Habarileo10 Sep
Simba yaenda Tanga kufuata pointi sita
KIKOSI cha Simba kinatarajia kuondoka leo kwenda Tanga kwa ajili ya mechi ya ufunguzi wa Ligi Kuu Tanzania Bara inayotarajiwa kuanza Jumamosi dhidi ya African Sports ya huko.
5 years ago
Michuzi
11 years ago
Dewji Blog26 Oct
Mbwembwe za Stand United
Stand United wakiingia uwanjani na katapila tayari kucheza na Yanga, mwenye shati la kitenge hapo mlagoni ni Mbunge wa Shinyanga mjini Mheshimiwa Stephen Masele ambaye pia ni Naibu Waziri wa Nishati na Madini amekuwa bega kwa bega na timu ya Stand United.
11 years ago
Mwananchi18 May
Hali mbaya Magereza
11 years ago
Mwananchi05 Apr
Ni Mwadui FC au Stand United leo