Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MROPE: HALI MBAYA IMENIKIMBIZA STAND UNITED, WACHEZAJI SITA WAMETIMKA, WENGINE ZAIDI KUFUATA…

Na Baraka MbolemboleWachezaji sita wa timu ya Stand United wameondoka katika timu hiyo na kurudi ‘ majumbani’ mwao baada ya hali mbaya katika timu hiyi. Hakuna huduma nzuri katika kambi ya timu hiyo, maradhi ni shida, huku wachezaji wanaopata majeraha wakitibiwa kwa Panaldo. Patrick Mrope ni mmoja wa wachezaji sita ambao wameamua kuachana na timu hiyo na kufikia tarehe 26, Mwezi huu mchezaji atakuwa huru kwa sababu atafikisha miezi mitatu bila kulipwa mshahara wake.Patrick Mrope akiwa...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Odion Ighalo atengwa na wachezaji wengine wa Man United

Mshambuliaji mpya wa klabu ya man United Odion Ighalo anafanya mazoezi mbali na uwanja wa klabu hiyo wiki hii kama hatua ya tahadhari baada ya kuasili kutoka China.

 

10 years ago

BBCSwahili

Hali yaelezwa kuwa mbaya zaidi Yemen

Shirika la kimataifa la Msalaba mwekundu limesema hali ya kibinaadam nchini Yemen inazidi kuzorota

 

10 years ago

Mwananchi

Wachezaji sita na makocha wanne wametwaa mataji mengi zaidi

Ni nadra kwa mwanamichezo kushinda mataji mbalimbali katika maisha yake akiwa katika klabu au nchi tofauti.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Mtaalamu wa chanjo 'aliyefutwa kazi' asema Marekani itakabiliwa na hali mbaya zaidi katika majira ya baridi

Afisa wa zamani wa ngazi ya juu wa afya nchini Marekani ameliambia bunge la kongresi kuwa nchi inaweza kukabiliwa na "kipindi kibaya zaidi cha majira ya baridi kuwahi kushuhudiwa katika historia ya hivi karibuni " kwa sababu ya virusi vya corona.

 

10 years ago

Habarileo

Simba yaenda Tanga kufuata pointi sita

KIKOSI cha Simba kinatarajia kuondoka leo kwenda Tanga kwa ajili ya mechi ya ufunguzi wa Ligi Kuu Tanzania Bara inayotarajiwa kuanza Jumamosi dhidi ya African Sports ya huko.

 

11 years ago

Dewji Blog

Mbwembwe za Stand United

IMG-20141025-WA088(1)

Stand United wakiingia uwanjani na katapila tayari kucheza na Yanga, mwenye shati la kitenge hapo mlagoni ni Mbunge wa Shinyanga mjini Mheshimiwa Stephen Masele ambaye pia ni Naibu Waziri wa Nishati na Madini amekuwa bega kwa bega na timu ya Stand United.

 

11 years ago

Mwananchi

Hali mbaya Magereza

Wakati idadi ya wafungwa ikizidi kuongezeka nchini, Serikali imesema katika mwaka wa fedha 2014/15 itaendelea kumlisha mfungwa mmoja kwa Sh500 kwa siku.

 

11 years ago

Mwananchi

Ni Mwadui FC au Stand United leo

Hatima ya Mwadui  FC  au Stand United zote za Shinyanga kwa mojawapo kupanda au kutopanda kucheza Ligi Kuu Bara msimu ujao itajulikana leo katika michezo ya mwisho ya Kundi C.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani