Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jehi la Indonesia lawamani

Kikundi cha kutetea haki za binaadamu nchini Indonesia,kimetaka majeshi ya nchi hiyo kuacha tabia ya kuchunguza bikira jeshini.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Jehi kukabidhi Nchi Raia:Burkina Faso

Jeshi la Burkina Faso ambao wamesema watatumia njia za kidplomasia kukabidhi madaraka kwa wananchi.

 

11 years ago

Michuzi

JEHI LA POLISI DODOMA LAWASHIKILIA WANAWAKE 15 WANAOJIHUSISHA NA BIASHARA UKAHABA

Na. Sylvester Onesmo wa Jeshi la Polisi Dodoma.
Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma limeendelea kufanya msako katika maeneo mbalimbali na kufanikiwa kuwakamata wanawake wapatao 15 wanaojihusisha na biashara haramu ya kuuza miili yao kutoka mikoa mbalimbali nchini. Msako huo ulifanyika tarehe 05/02/2014 majira ya 21:00hrs katika mitaa ya uhindini na Air Port.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi DAVID MISIME - SACP amewataja watu hao kuwa ni:
1.   VERONICA D/O JOEL...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wizara lawamani

JEURI ya waandaaji wa Tamasha la Fiesta kukaidi amri ya Mahakama na kumpandisha jukwaani msanii maarufu wa nchini Nigeria, David Adedeji ‘Davido’ ilitokana na nguvu ya Wizara yenye dhamana na...

 

11 years ago

Mtanzania

Serikali lawamani

Jakaya Kikwete

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete

NA PATRICIA KIMELEMETA, DAR ES SALAAM

WANANCHI walio wengi wameonekana kuwa na imani ndogo na maofisa wa Serikali za Mitaa na Vijiji katika kushughulikia masuala yao.

Pia sekta ya maji na umeme ni miongoni mwa taasisi rasmi za serikali ambazo wananchi hawana imani nazo.

Kwamba wananchi wanaona taasisi hizo zinawarudisha nyuma kimaendeleo kwa sababu zimeshindwa kutatua kero zinazowakabili.

Kutokana na hali hiyo, hawaoni kama wanao uwezo...

 

10 years ago

Mtanzania

Indonesia yaandaa mafunzo

NA TUNU NASSOR, DAR ES SALAAM
INDONESIA imeandaa mafunzo ya kilimo kwa maofisa kilimo wa nchi za Afrika na Mashariki ya Kati yanayolenga kuwajengea uwezo katika kutekeleza majukumu yao.
Akizungumza katika ufunguzi wa mafunzo hayo Dar es Salaam jana , Mkurugenzi Mkuu wa Mawasiliano na Diplomasia ya Umma katika Wizara ya Mambo ya Nje ya Indonesia, Esti Andayani alisema nchi hiyo imeandaa mafunzo yanayofanyika Mei 17 hadi 23 mwaka huu huko Mkindo, mkoani Morogoro.
Mafunzo hayo yamejikita katika...

 

10 years ago

BBCSwahili

Walanguzi 9 kuuawa Indonesia

Utawala nchini Indonesia unafanya maandalizi ya mwisho ya kuuawa kwa walanguzi tisa wa madawa ya kulevya wengi wao raia wa kigeni.

 

10 years ago

BBCSwahili

Indonesia wakumbuka Tsunami

Indonesia wanakumbuka maafa ya tsunami miaka kumi iliyopita ambapo watu zaidi ya laki mbili waliuawa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Halmashauri Namtumbo lawamani

HALMASHAURI ya Wilaya ya Namtumbo mkoani Ruvuma, imelalamikiwa kukithiri kwa urasimu na vitendo vya rushwa katika kitengo cha zabuni na manunuzi ukilinganisha na Wilaya nyingine mkoani hapa. Malalamiko hayo yalitolewa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Waziri Tibaijuka lawamani

WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka, anadaiwa kuingilia uamuzi wa Mahakama Kuu ya Ardhi Kanda ya Tabora. Mahakama hiyo katika uamuzi wa kesi namba 13/2013...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani