Wizara lawamani
JEURI ya waandaaji wa Tamasha la Fiesta kukaidi amri ya Mahakama na kumpandisha jukwaani msanii maarufu wa nchini Nigeria, David Adedeji ‘Davido’ ilitokana na nguvu ya Wizara yenye dhamana na...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania03 Sep
Serikali lawamani
![Jakaya Kikwete](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/06/Jakaya-Kikwete.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete
NA PATRICIA KIMELEMETA, DAR ES SALAAM
WANANCHI walio wengi wameonekana kuwa na imani ndogo na maofisa wa Serikali za Mitaa na Vijiji katika kushughulikia masuala yao.
Pia sekta ya maji na umeme ni miongoni mwa taasisi rasmi za serikali ambazo wananchi hawana imani nazo.
Kwamba wananchi wanaona taasisi hizo zinawarudisha nyuma kimaendeleo kwa sababu zimeshindwa kutatua kero zinazowakabili.
Kutokana na hali hiyo, hawaoni kama wanao uwezo...
11 years ago
Tanzania Daima21 Jan
Viongozi wa dini lawamani
MKUU wa Wilaya ya Mbeya, Dk. Norman Sigalla, amesema kasi ya ongezeko la ufisadi na uhalifu nchini kunatokana na tatizo la viongozi wa dini kutofanya kazi yao ya kukemea maovu...
11 years ago
Tanzania Daima16 Mar
Waziri Tibaijuka lawamani
WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka, anadaiwa kuingilia uamuzi wa Mahakama Kuu ya Ardhi Kanda ya Tabora. Mahakama hiyo katika uamuzi wa kesi namba 13/2013...
10 years ago
BBCSwahili15 May
Jehi la Indonesia lawamani
11 years ago
Tanzania Daima16 Jan
Watendaji Bagamoyo lawamani
KUPORWA kipande cha ardhi ya mwekezaji, Ester Shayo, wilayani Bagamoyo, Pwani kumesababishwa na baadhi ya watendaji wa Kijiji cha Bago kutozingatia sheria na badala yake kuendekeza ubaguzi. Akizungumza na waandishi...
11 years ago
Tanzania Daima09 Mar
Madaktari Temeke lawamani
MADAKTARI wa Hospitali za Zakhem na Temeke za wilayani Temeke, jijini Dar es Salaam, wamelalamikiwa kutoa majibu ya uongo kwa mtoto anayedaiwa kubakwa na kijana ambaye hajafahamika hadi sasa. Tuhuma...
10 years ago
Tanzania Daima03 Nov
Halmashauri Namtumbo lawamani
HALMASHAURI ya Wilaya ya Namtumbo mkoani Ruvuma, imelalamikiwa kukithiri kwa urasimu na vitendo vya rushwa katika kitengo cha zabuni na manunuzi ukilinganisha na Wilaya nyingine mkoani hapa. Malalamiko hayo yalitolewa...
10 years ago
Tanzania Daima23 Oct
Diwani CCM lawamani
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Kata Chimala, wilayani Mbarali, Mbeya kimemtaka diwani wa kata hiyo, Hussen Vayahe (CCM), kurudisha matofali zaidi 2,500 mali kata hiyo anayodaiwa kuyachukua na kujengea...
9 years ago
Raia Mwema20 Nov