Watendaji Bagamoyo lawamani
KUPORWA kipande cha ardhi ya mwekezaji, Ester Shayo, wilayani Bagamoyo, Pwani kumesababishwa na baadhi ya watendaji wa Kijiji cha Bago kutozingatia sheria na badala yake kuendekeza ubaguzi. Akizungumza na waandishi...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV08 Jan
Watendaji wa Serikali Ulanga waingia lawamani.
Na Kasilda Mgeni Mulimila,
Ulanga-Morogoro.
Kanisa katoliki jimbo la Ulanga mkoani Morogogo limeeleza kusikitishwa na hatua ya watendaji wa Serikali wilayani humo kuingilia maeneo yanayomilikiwa kisheria na kanisa hilo na kuamua kujenga makazi ya kudumu.
Askofu mkuu wa kanisa katoliki jimbo la Ulanga Mhashamu Josephat Ndirobo alitoa malalamiko hayo mbele ya mkuu wa mkoa wa Morogoro Dokta Rajabu Rutengwe kwenye mkutano uliohusisha viongozi mbalimbali wa dini, Serikali na wa kisiasa.
Mkuu...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Yw4ZmUQyjcM/U4hH0pt0pzI/AAAAAAAFmdE/IDKAszTrNIw/s72-c/unnamed+(16).jpg)
VIONGOZI NA WATENDAJI WAKUU WA TAASISI ZINAZOUNDA JUKWAA LA HAKI JINAI WAKUTANA MJINI BAGAMOYO KWA MKUTANO WA SIKU MBILI.
![](http://3.bp.blogspot.com/-Yw4ZmUQyjcM/U4hH0pt0pzI/AAAAAAAFmdE/IDKAszTrNIw/s1600/unnamed+(16).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-1i51vM7IjLc/XteJcAYy9aI/AAAAAAALsbw/kt3MhNSLZ3YHPhT9uHFD6bzC2V7mlnSvQCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_0010.jpg)
DC BAGAMOYO AHIDI KUMALIZA KERO NA MALALAMIKO YA WAFANYABIASHARA WANAOTUMIA BANDARI YA BAGAMOYO
Mhe. Zainab ameyasema hayo alipofanya mkutano maalum na wafanyabiashara wa Bagamoyo wanaotumia bandari ndogo ya Bagamoyo baada ya wafanya biashara hao kuacha kutumia bandari hiyo wakidai huduma zisizoridhisha toka kwa uongozi wa mamlaka ya bandari ya Bagamoyo.
Akizungumza kwa niaba ya Wafanyabiashara wanaotumia bandari ya...
10 years ago
MichuziMashindano ya Bagamoyo Historical Marathon 2015 yazinduliwa mjini Bagamoyo leo
10 years ago
GPLBAGAMOYO HISTORICAL MARATHON LAFANA WILAYANI BAGAMOYO
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ASBGby2UUhE/U1-eYaQ85ZI/AAAAAAAAV0U/rSPnhq8mUnc/s72-c/945988442748510035_tangazo_html_mb1ecfee.png)
TAASISI YA SANAA NA UTAMADUNI BAGAMOYO (TaSUBa) THE 33RD BAGAMOYO INTERNATIONAL FESTIVAL OF ARTS AND CULTURE 22 — 28 SEPTEMBER, 2014 CALL FOR ARTISTS
![](http://3.bp.blogspot.com/-ASBGby2UUhE/U1-eYaQ85ZI/AAAAAAAAV0U/rSPnhq8mUnc/s640/945988442748510035_tangazo_html_mb1ecfee.png)
We would like to invite you (individual artist/groups) to apply for the participation and performance in the 33th Bagamoyo International Festival of Arts and Culture which will take place at the institute (TaSUBa - Bagamoyo) from 22 - 28 September 2014.
The aim of this festival is to support and expose activities of the artists, encourage cooperation and friendship of both local and international artists, promote mutual cultural exchange, share experiences
and give the...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-TocXudA9ML8/VNN7I4H4UxI/AAAAAAAHB-4/TddFeNSNL5w/s72-c/unnamed%2B(17).jpg)
BODI YA MRADI WA KILIMO CHA UMWAGILIAJI GEREZA KIGONGONI - BAGAMOYO,SHIRIKA LA MAGEREZA NA KAMPUNI YA TARBIM WAKUTANA LEO MJINI BAGAMOYO
![](http://1.bp.blogspot.com/-TocXudA9ML8/VNN7I4H4UxI/AAAAAAAHB-4/TddFeNSNL5w/s1600/unnamed%2B(17).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-taIu7fs6Dk0/VNN7JdUBFmI/AAAAAAAHB-8/Q77Xmw6cl2c/s1600/unnamed%2B(19).jpg)
10 years ago
Mtanzania03 Sep
Serikali lawamani
![Jakaya Kikwete](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/06/Jakaya-Kikwete.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete
NA PATRICIA KIMELEMETA, DAR ES SALAAM
WANANCHI walio wengi wameonekana kuwa na imani ndogo na maofisa wa Serikali za Mitaa na Vijiji katika kushughulikia masuala yao.
Pia sekta ya maji na umeme ni miongoni mwa taasisi rasmi za serikali ambazo wananchi hawana imani nazo.
Kwamba wananchi wanaona taasisi hizo zinawarudisha nyuma kimaendeleo kwa sababu zimeshindwa kutatua kero zinazowakabili.
Kutokana na hali hiyo, hawaoni kama wanao uwezo...
10 years ago
Tanzania Daima22 Oct
Wizara lawamani
JEURI ya waandaaji wa Tamasha la Fiesta kukaidi amri ya Mahakama na kumpandisha jukwaani msanii maarufu wa nchini Nigeria, David Adedeji ‘Davido’ ilitokana na nguvu ya Wizara yenye dhamana na...