Watendaji wa Serikali Ulanga waingia lawamani.
Na Kasilda Mgeni Mulimila,
Ulanga-Morogoro.
Kanisa katoliki jimbo la Ulanga mkoani Morogogo limeeleza kusikitishwa na hatua ya watendaji wa Serikali wilayani humo kuingilia maeneo yanayomilikiwa kisheria na kanisa hilo na kuamua kujenga makazi ya kudumu.
Askofu mkuu wa kanisa katoliki jimbo la Ulanga Mhashamu Josephat Ndirobo alitoa malalamiko hayo mbele ya mkuu wa mkoa wa Morogoro Dokta Rajabu Rutengwe kwenye mkutano uliohusisha viongozi mbalimbali wa dini, Serikali na wa kisiasa.
Mkuu...
StarTV
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-e-wX2saD3Ng/XsTgYcNK12I/AAAAAAALq44/ROP3hw2wFIUSvl8Yd0eAaFL_9LNrC2QRACLcBGAsYHQ/s72-c/DSC02101.jpg)
RC MOROGORO AWAPONGEZA WATENDAJI WILAYANI ULANGA
![](https://1.bp.blogspot.com/-e-wX2saD3Ng/XsTgYcNK12I/AAAAAAALq44/ROP3hw2wFIUSvl8Yd0eAaFL_9LNrC2QRACLcBGAsYHQ/s640/DSC02101.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-yhMdmJY4Oz0/XsTgYf02T3I/AAAAAAALq40/SmPKiukvaCcl0iwINBPca7pNL1zLNO41ACLcBGAsYHQ/s640/thumb_731_800x420_0_0_auto.jpg)
Loata Sanare ametoa pongezi hizo Mei 18...
9 years ago
StarTV28 Dec
Wakazi wa Songea waingia lawamani kwa magonjwa ya mlipuko
Wananchi Mkoani Ruvuma wametakiwa kuweka uchafu kuwa adui wao mkubwa na kuufanya usafi uwe rafiki wa kila wananchi ili kuepukana na kisababisho kikubwa cha kifo ambacho ni uchafu.
Kamanda wa Police Mkoani Ruvuma Mihayo Msekhela ameyasema hayo wakati akimwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Said Thabiti Mwambungu katika kutekeleza adhima ya kufanya uasafi kila suku ya jumamosi ya mwisho wa Mwezi
Kamanda wa Police Mkoa wa Ruvuma Mihayo Msekhela amesema kila mwananchi anatakiwa auchukie uchafu...
11 years ago
Tanzania Daima16 Jan
Watendaji Bagamoyo lawamani
KUPORWA kipande cha ardhi ya mwekezaji, Ester Shayo, wilayani Bagamoyo, Pwani kumesababishwa na baadhi ya watendaji wa Kijiji cha Bago kutozingatia sheria na badala yake kuendekeza ubaguzi. Akizungumza na waandishi...
9 years ago
StarTV22 Dec
Mgogoro Wa Ardhi Kilosa Viongozi waliomaliza muda Tindiga waingia lawamani
Mgogoro uliozuka kati ya wakulima na wafugaji katika kijiji cha Tindiga wilayani Kilosa na kusababisha wakulima 16 kujeruhiwa baada ya kupigwa na wafugaji wa jamii ya kimasai umebainika kukuzwa na viongozi wa serikali ya kijiji hicho waliomaliza muda wao ambao walihodhi maeneo makubwa ya mashamba ya kijiji na kuyakodisha kwa wageni wakiwemo wafugaji.
Aidha viongozi hao wanaidaiwa kuwasaliti wanakijiji na uongozi wa kijiji ulioko madarakani kwa kutoa siri za vikao vinavyojadili mikakati ya...
10 years ago
Mtanzania03 Sep
Serikali lawamani
![Jakaya Kikwete](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/06/Jakaya-Kikwete.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete
NA PATRICIA KIMELEMETA, DAR ES SALAAM
WANANCHI walio wengi wameonekana kuwa na imani ndogo na maofisa wa Serikali za Mitaa na Vijiji katika kushughulikia masuala yao.
Pia sekta ya maji na umeme ni miongoni mwa taasisi rasmi za serikali ambazo wananchi hawana imani nazo.
Kwamba wananchi wanaona taasisi hizo zinawarudisha nyuma kimaendeleo kwa sababu zimeshindwa kutatua kero zinazowakabili.
Kutokana na hali hiyo, hawaoni kama wanao uwezo...
11 years ago
Tanzania Daima02 Jun
Serikali ya mtaa Stop Over lawamani
WAKAZI wa Kimara Stop Over, Kata ya Saranga, Wilaya ya Kinondoni, Dar es Salaam, wamemlalamikia Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Stop Over kwa kuwatoza fedha pindi wanapohitaji barua kutoka...
11 years ago
Tanzania Daima21 Jan
Serikali lawamani kuutosa uchoraji
WADAU wa sanaa ya uchoraji wameilalamikia serikali na jamii kwa ujumla kutothamini kazi zao, hivyo kurudisha nyuma maendeleo ya tasnia hiyo yenye umuhimu mkubwa kama alama mojawapo ya utamaduni wa...
11 years ago
BBCSwahili16 Feb
Serikali ya Syria yaingia lawamani
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-HDqi6jKuNFc/VXqsw21DzhI/AAAAAAAC6Z4/JFK1sTUgsb4/s72-c/898.jpg)
SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR YAWAONYA WATENDAJI WA SERIKALI NA TAASISI ZAKE
Onyo hilo limetolewa na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali wakati akizungumza na Wafanyakazi wa Idara ya upigaji chapa na Mpiga chapa Mkuu wa Serikali baada ya kuangalia utendaji kazi wa fanyakazi hao katika sehemu mbali mbali za Kiwandi hicho hapo...