Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wakazi wa Songea waingia lawamani kwa magonjwa ya mlipuko

Wananchi Mkoani Ruvuma wametakiwa kuweka uchafu kuwa adui wao mkubwa na kuufanya usafi uwe rafiki wa kila wananchi  ili kuepukana na kisababisho kikubwa cha kifo ambacho ni uchafu.

Kamanda wa Police Mkoani Ruvuma Mihayo Msekhela ameyasema hayo wakati akimwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Said Thabiti Mwambungu  katika  kutekeleza adhima ya kufanya uasafi  kila suku ya jumamosi ya mwisho wa Mwezi

Kamanda wa Police Mkoa wa Ruvuma Mihayo Msekhela amesema kila mwananchi anatakiwa auchukie uchafu...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Wakazi Tungi wahofia magonjwa ya mlipuko

WAKAZI wa Kata ya Tungi, Manispaa ya Morogoro, wamekumbwa na hofu ya kupata magonjwa ya mlipuko kutokana na Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira (Moruwasa) kutowapatia majisafi na salama...

 

9 years ago

Dewji Blog

Zaidi ya wakazi 5,000 hatarini kukumbwa na magonjwa ya mlipuko

SAM_0061

Choo cha muda kinachotumiwa na wanafunzi pamoja na walimu wa shule ya msingi TARU namba saba. (Picha zote na Jumbe Ismailly).

SAM_0066

Baadhi ya wananchi wa kata ya Mang’onyi wakiwa kwenye mkutano wa uzinduzi wa kampeni za uchaguzi mkuu kumnadi mgombea wa ubunge wa jimbo hilo.

Na Jumbe Ismailly, Ikungi            

ZAIDI ya wakazi 5,000 wa Kijiji cha Sambaru,kata ya Mang’onyi,wilaya ya Ikungi,Mkoani Singida wamo hatarini kupatwa na magonjwa ya mlipuko kutokana na kujisaidia vichakani kwa kutokuwa na...

 

9 years ago

StarTV

 Wakazi Njombe waaswa kusafisha mazingira ili kuepuka  Magonjwa Ya Mlipuko

Wakazi wa mkoa wa Njombe wamehimizwa kuhakikisha wanalinda mazingira kwa kufanya usafi katika makazi yao ili kujihadhari na maambukizi ya magonjwa ya mlipuko kama kipindupindu.

Ni rai ya mkuu wa mkoa wa Njombe Dokta Rehema Nchimbi katika maadhimisho ya Wiki ya Mazingira ambayo yamefanyika kitaifa mkoani Njombe.

Mkuu wa mkoa wa Njombe Dokta Nchimbi amesema mkoa umepata sifa kubwa ya kuwa mwenyeji wa wiki ya maadhimishio hayo na kwamba iwe fursa wakazi hao kujifunza kuwa kielelezo cha usafi wa...

 

10 years ago

GPL

ASKARI WATATU WAJERUHIWA KWA MLIPUKO WA BOMU SONGEA

Askari Polisi wakiwa eneo la tukio ikiwa ni kuimarisha ulinzi Eneo la tukio  likiwa limezungushiwa alama na Jeshi la Polisi.…

 

10 years ago

StarTV

Watendaji wa Serikali Ulanga waingia lawamani.

Na Kasilda Mgeni Mulimila,

Ulanga-Morogoro.

Kanisa katoliki jimbo la Ulanga mkoani Morogogo limeeleza kusikitishwa na hatua ya watendaji wa Serikali wilayani humo kuingilia maeneo yanayomilikiwa kisheria na kanisa hilo na kuamua kujenga makazi ya kudumu.

 

Askofu mkuu wa kanisa katoliki jimbo la Ulanga Mhashamu Josephat Ndirobo alitoa malalamiko hayo mbele ya mkuu wa mkoa wa Morogoro Dokta Rajabu Rutengwe kwenye mkutano uliohusisha viongozi mbalimbali wa dini, Serikali na wa kisiasa.

 

Mkuu...

 

10 years ago

Michuzi

NSSF YATOA FURSA KWA WAKAZI WA MBEYA NA SONGEA

Kupitia Semina za Fursa zinazoendelea kufanyika katika mikoa mbali mbali hapa nchini, Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) imekuwa ikitoa Elimu ya Hifadhi ya Jamii kwa wananchi na kuwahamasisha kujiunga na mfuko huo ili waweze kunufaika na mafao ya NSSF hususani matibabu bure kwa mwanachama na wategemezi wake pamoja na mikopo kupitia SACCOS.
Fursa nyingine kutoka NSSF ambazo mwanachama anaweza kunufaika nazo ni pamoja na Pensheni ya uzeeni, Pensheni ya Ulemavu, Pensheni ya Urithi,...

 

9 years ago

StarTV

Mgogoro Wa Ardhi Kilosa Viongozi waliomaliza muda Tindiga waingia lawamani

Mgogoro uliozuka kati ya wakulima na wafugaji katika kijiji cha Tindiga wilayani Kilosa na kusababisha wakulima 16 kujeruhiwa baada ya kupigwa na wafugaji wa jamii ya kimasai umebainika kukuzwa na viongozi wa serikali ya kijiji hicho waliomaliza muda wao ambao walihodhi maeneo makubwa ya mashamba ya kijiji na kuyakodisha kwa wageni wakiwemo   wafugaji.

Aidha viongozi hao wanaidaiwa kuwasaliti wanakijiji na uongozi wa kijiji ulioko madarakani kwa kutoa siri za vikao vinavyojadili mikakati ya...

 

11 years ago

GPL

TIGO YASOGEZA HUDUMA ZAKE KARIBU KWA WAKAZI WA SONGEA‏

Mkuu wa Wilaya wa Songea Mjini Joseph Mkirikiti akikata utepe kuashiria ufunguzi wa duka jipya la Tigo lililopo mjini Songea mtaa wa Shafi Bora asubuhi ya leo mkoani Ruvuma. Wakishuhudia kutoka kushoto ni Meneja wa Mauzo wa Tigo wa mkoa wa Ruvuma Kelvin Mibazi na Meneja wa duka hilo kutoka Tigo Wilfred Nestory.
Mkuu wa Wilaya wa Songea Mjini Joseph Mkirikiti (kulia) akifurahia zawadi ya kadi ya kipaumbele aliyozawadiwa...

 

9 years ago

Habarileo

Bahi wahadharishwa magonjwa ya mlipuko

MKUU wa Wilaya ya Bahi, Francis Mwonga, ametaka wananchi kuchukua tahadhari dhidi magonjwa ya mlipuko yanayoweza kujitokeza katika kipindi hiki cha majanga yanayotokana na mvua.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani