Wakazi Tungi wahofia magonjwa ya mlipuko
WAKAZI wa Kata ya Tungi, Manispaa ya Morogoro, wamekumbwa na hofu ya kupata magonjwa ya mlipuko kutokana na Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira (Moruwasa) kutowapatia majisafi na salama...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi26 Dec
Buguruni wahofia magonjwa ya mlipuko
9 years ago
Dewji Blog16 Sep
Zaidi ya wakazi 5,000 hatarini kukumbwa na magonjwa ya mlipuko
Choo cha muda kinachotumiwa na wanafunzi pamoja na walimu wa shule ya msingi TARU namba saba. (Picha zote na Jumbe Ismailly).
Baadhi ya wananchi wa kata ya Mang’onyi wakiwa kwenye mkutano wa uzinduzi wa kampeni za uchaguzi mkuu kumnadi mgombea wa ubunge wa jimbo hilo.
Na Jumbe Ismailly, Ikungi
ZAIDI ya wakazi 5,000 wa Kijiji cha Sambaru,kata ya Mang’onyi,wilaya ya Ikungi,Mkoani Singida wamo hatarini kupatwa na magonjwa ya mlipuko kutokana na kujisaidia vichakani kwa kutokuwa na...
9 years ago
StarTV28 Dec
Wakazi wa Songea waingia lawamani kwa magonjwa ya mlipuko
Wananchi Mkoani Ruvuma wametakiwa kuweka uchafu kuwa adui wao mkubwa na kuufanya usafi uwe rafiki wa kila wananchi ili kuepukana na kisababisho kikubwa cha kifo ambacho ni uchafu.
Kamanda wa Police Mkoani Ruvuma Mihayo Msekhela ameyasema hayo wakati akimwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Said Thabiti Mwambungu katika kutekeleza adhima ya kufanya uasafi kila suku ya jumamosi ya mwisho wa Mwezi
Kamanda wa Police Mkoa wa Ruvuma Mihayo Msekhela amesema kila mwananchi anatakiwa auchukie uchafu...
9 years ago
StarTV19 Nov
 Wakazi Njombe waaswa kusafisha mazingira ili kuepuka  Magonjwa Ya Mlipuko
Wakazi wa mkoa wa Njombe wamehimizwa kuhakikisha wanalinda mazingira kwa kufanya usafi katika makazi yao ili kujihadhari na maambukizi ya magonjwa ya mlipuko kama kipindupindu.
Ni rai ya mkuu wa mkoa wa Njombe Dokta Rehema Nchimbi katika maadhimisho ya Wiki ya Mazingira ambayo yamefanyika kitaifa mkoani Njombe.
Mkuu wa mkoa wa Njombe Dokta Nchimbi amesema mkoa umepata sifa kubwa ya kuwa mwenyeji wa wiki ya maadhimishio hayo na kwamba iwe fursa wakazi hao kujifunza kuwa kielelezo cha usafi wa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/kt*hMWIEF*C1yyrB6It65*r-xA5-F7o5MyXBKviW7sXLM0aJH2S6Z7VKPrqYWjdYt05LvHq3UZVPXhZpNiiMkG64TOod*ctU/dogswallpaperfordektop.jpg?width=650)
WAKAZI JIJINI MWANZA WAHOFIA KULISHWA NYAMA YA MBWA!
9 years ago
Habarileo07 Nov
Bahi wahadharishwa magonjwa ya mlipuko
MKUU wa Wilaya ya Bahi, Francis Mwonga, ametaka wananchi kuchukua tahadhari dhidi magonjwa ya mlipuko yanayoweza kujitokeza katika kipindi hiki cha majanga yanayotokana na mvua.
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/01/IMG-20140107-WA0007.jpg?width=640)
MAGONJWA YA MLIPUKO YANUKIA DAR
10 years ago
Mwananchi15 Dec
Simu kutumika taarifa za magonjwa ya mlipuko