TIGO YASOGEZA HUDUMA ZAKE KARIBU KWA WAKAZI WA SONGEA
![](http://api.ning.com:80/files/cPakA0chAEyaLoFQ1NhW6FljoM3JzL5WKTLH3HPLviuGV7lgDoJtsv2Po5GEPwmfJxmwm3mrpuu4xg4fgPFmYgpKJCSUf3px/1.jpg?width=650)
Mkuu wa Wilaya wa Songea Mjini Joseph Mkirikiti akikata utepe kuashiria ufunguzi wa duka jipya la Tigo lililopo mjini Songea mtaa wa Shafi Bora asubuhi ya leo mkoani Ruvuma. Wakishuhudia kutoka kushoto ni Meneja wa Mauzo wa Tigo wa mkoa wa Ruvuma Kelvin Mibazi na Meneja wa duka hilo kutoka Tigo Wilfred Nestory. Mkuu wa Wilaya wa Songea Mjini Joseph Mkirikiti (kulia) akifurahia zawadi ya kadi ya kipaumbele aliyozawadiwa...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-MC94Kwn2qog/UwHBfQwZTgI/AAAAAAAFNfs/5JXHcqTKoiU/s72-c/unnamed+(2).jpg)
NMB KWA KUSHIRIKIANA NA TIGO PESA YASOGEZA HUDUMA ZA KIBENKI KARIBU ZAIDI NA WATEJA WAKE
Huduma hii mpya inawawezesha wateja wote wa NMB na Tigo kuweka na kuhamisha pesa kutoka kwenye akaunti zao za Tigo Pesa kwenda kwenye akaunti zao za NMB. Vilevile, mteja anaweza kuweka na kuhamisha pesa kutoka kwenye akaunti ya NMB kwenda kwenye...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-iRuGUSEgAzE/Uylftz0KLVI/AAAAAAAFU0g/JZmgEZ4dtKA/s72-c/unnamed+(14).jpg)
Vodacom yasogeza huduma zake kwa wakazi wa Tegeta
![](http://1.bp.blogspot.com/-iRuGUSEgAzE/Uylftz0KLVI/AAAAAAAFU0g/JZmgEZ4dtKA/s1600/unnamed+(14).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-hLvopxK8rus/UylfuWbGYVI/AAAAAAAFU0k/it3g6FJOn5I/s1600/unnamed+(15).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-xv998xSCcLM/Uw5Z5fhtg6I/AAAAAAAFP4E/vrgpP5_CS0M/s72-c/unnamed+(36).jpg)
NMB YASOGEZA HUDUMA KARIBU ZAIDI KWA WAKAZI WA BARABARA YA MANDELA, yatoa msaada kwa hospitali za amana na muhimbili·
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ulxqeYlRGQ4/Uw7OvC3Ux8I/AAAAAAAFP6Q/mZZudcR7bOc/s72-c/unnamed+(38).jpg)
NMB YASOGEZA HUDUMA KARIBU ZAIDI NA WAKAZI WA BARABARA YA MANDELA
9 years ago
Dewji Blog09 Nov
Tigo yaomba wateja wake radhi kwa kukatika kwa huduma zake!
[Dar es Salaam] Kampuni ya simu ya Tigo imeomba radhi wateja wake kutokana na kukatika kwa huduma zake katika sehemu nyingine nchini jana Novemba 8.2015.
Taarifa ya kampuni hiyo iliyotolewa kwa vyombo vya habari leo jijini Dar es Salaam imesema kukatika kwa huduma za Tigo “kulitokana na sababu zilizo nje ya uwezo kwa kampuni zilizo tokana na kukatika kwa mkongo sehemu tofauti tofauti.” Aidha taarifa hiyo iliendelea kusema kwamba “tatizo hilo sasa limeshughulikiwa kikamilifu na huduma zote...
11 years ago
GPLNMB YAENDELEA KUSOGEZA HUDUMA KARIBU ZAIDI KWA WATEJA WAKE
11 years ago
Habarileo13 May
Tigo yaboresha huduma zake
KAMPUNI ya simu za mikononi ya Tigo Tanzania, imezindua huduma mpya ya kutuma na kupokea fedha kwa njia rahisi na ya ufanisi zaidi kwa wateja wenye simu zenye programu aina ya android na iOS, ambayo ni huduma ya kwanza ya aina hiyo Afrika Mashariki.