Mgogoro Wa Ardhi Kilosa Viongozi waliomaliza muda Tindiga waingia lawamani
Mgogoro uliozuka kati ya wakulima na wafugaji katika kijiji cha Tindiga wilayani Kilosa na kusababisha wakulima 16 kujeruhiwa baada ya kupigwa na wafugaji wa jamii ya kimasai umebainika kukuzwa na viongozi wa serikali ya kijiji hicho waliomaliza muda wao ambao walihodhi maeneo makubwa ya mashamba ya kijiji na kuyakodisha kwa wageni wakiwemo wafugaji.
Aidha viongozi hao wanaidaiwa kuwasaliti wanakijiji na uongozi wa kijiji ulioko madarakani kwa kutoa siri za vikao vinavyojadili mikakati ya...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-xFVaUY3UkTA/VRMCRsLwRrI/AAAAAAAAGrw/T6p5HIaMUFw/s72-c/P3258671.jpg)
WAZIRI WA ARDHI MHE. WILLIAM LUKUVI AWASILI JANA, AAHIDI SULUHU YA MGOGORO WA MUDA MREFU WA SHAMBA LA SKAUNGU
![](http://3.bp.blogspot.com/-xFVaUY3UkTA/VRMCRsLwRrI/AAAAAAAAGrw/T6p5HIaMUFw/s640/P3258671.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-dgRjoqw8ETA/VRMCVqzIlyI/AAAAAAAAGsY/xuBsaWsuH6o/s72-c/P3258764.jpg)
WAZIRI WA ARDHI MHE. WILLIAM LUKUVI AWASILI MKOANI RUKWA LEO, AAHIDI SULUHU YA MGOGORO WA MUDA MREFU WA SHAMBA LA SKAUNGU
![](http://2.bp.blogspot.com/-dgRjoqw8ETA/VRMCVqzIlyI/AAAAAAAAGsY/xuBsaWsuH6o/s1600/P3258764.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-3ZZZ9DygmcY/VRMCWW7_VnI/AAAAAAAAGsc/xOdJIpYlOqM/s1600/P3258776.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-3xv-tp1X3jk/VRMCXKUkUgI/AAAAAAAAGsk/X-yLenN2-zk/s1600/P3258783.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Z4Bqh90N8CE/VRMCYiFbpkI/AAAAAAAAGs0/mru-NMziBfY/s1600/P3258823.jpg)
10 years ago
StarTV08 Jan
Watendaji wa Serikali Ulanga waingia lawamani.
Na Kasilda Mgeni Mulimila,
Ulanga-Morogoro.
Kanisa katoliki jimbo la Ulanga mkoani Morogogo limeeleza kusikitishwa na hatua ya watendaji wa Serikali wilayani humo kuingilia maeneo yanayomilikiwa kisheria na kanisa hilo na kuamua kujenga makazi ya kudumu.
Askofu mkuu wa kanisa katoliki jimbo la Ulanga Mhashamu Josephat Ndirobo alitoa malalamiko hayo mbele ya mkuu wa mkoa wa Morogoro Dokta Rajabu Rutengwe kwenye mkutano uliohusisha viongozi mbalimbali wa dini, Serikali na wa kisiasa.
Mkuu...
9 years ago
StarTV28 Dec
Wakazi wa Songea waingia lawamani kwa magonjwa ya mlipuko
Wananchi Mkoani Ruvuma wametakiwa kuweka uchafu kuwa adui wao mkubwa na kuufanya usafi uwe rafiki wa kila wananchi ili kuepukana na kisababisho kikubwa cha kifo ambacho ni uchafu.
Kamanda wa Police Mkoani Ruvuma Mihayo Msekhela ameyasema hayo wakati akimwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Said Thabiti Mwambungu katika kutekeleza adhima ya kufanya uasafi kila suku ya jumamosi ya mwisho wa Mwezi
Kamanda wa Police Mkoa wa Ruvuma Mihayo Msekhela amesema kila mwananchi anatakiwa auchukie uchafu...
9 years ago
Dewji Blog22 Sep
Wizara ya Ardhi yawatangazia umma kuwasilisha malalamiko ya mgogoro ya Ardhi mkoa wa Dar
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mh. William Lukuvi.
WIZARA YA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI INAPENDA KUWATANGAZIA WANANCHI WOTE KUWA MHE. WAZIRI WA ARDHI ATAPOKEA MALALAMIKO YA WANANCHI WENYE MIGOGORO INAYOHUSU ARDHI KATIKA MKOA WA DAR ES SALAAM TAREHE 22 – 23, SEPTEMBA, 2015 KUANZIA SAA 4.00 ASUBUHI MAKAO MAKUU YA WIZARA. KATIKA TUKIO HILO, MNATAKIWA KUZINGATIA YAFUATAYO;-
1.TAREHE 22 SEPTEMBA 2015 ATAPOKEA MALALAMIKO YA WANANCHI KWA MANISPAA YA KINONDONI;
2.TAREHE...
10 years ago
Habarileo19 Feb
Wanne wafa mgogoro wa wakulima, wafugaji Kilosa
WATU wanne wamekufa na wengine wanne kujeruhiwa na kulazwa katika kituo cha afya cha Mtakatifu Joseph kilichopo kata ya Dumila wilayani Kilosa mkoani Morogoro, baada ya kuzuka kwa mapigano baina ya wakulima na wafugaji.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-0VoepXUNrlc/VYvhdO6O5AI/AAAAAAAHj4c/ZqSyed7Rpsc/s72-c/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
UTUMISHI YAWAAGA WATAALAMU 12 WA KUJITOLEA KUTOKA JAPANI WALIOMALIZA MUDA WA KUTOA HUDUMA NCHINI
![](http://3.bp.blogspot.com/-0VoepXUNrlc/VYvhdO6O5AI/AAAAAAAHj4c/ZqSyed7Rpsc/s640/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ZXboBr1xgaE/VYvhdMIt-WI/AAAAAAAHj4g/1zMc6GyVqNo/s640/unnamed%2B%25282%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-UfFTDO7QAb4/VbFG8zF7DfI/AAAAAAAHrXY/LW1EQx-Zxpk/s72-c/unnamed%2B%252827%2529.jpg)
JK aagana na Mabalozi waliomaliza muda wao wa India,Ubelgiji na Sweden Ikulu jijini Dar es salaam
![](http://2.bp.blogspot.com/-UfFTDO7QAb4/VbFG8zF7DfI/AAAAAAAHrXY/LW1EQx-Zxpk/s640/unnamed%2B%252827%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-WcgW_9DZg9s/VbFG86JBotI/AAAAAAAHrXc/DiDjQWGdbTQ/s640/unnamed%2B%252828%2529.jpg)
10 years ago
MichuziUTUMISHI YAWAAGA WATAALAMU 12 WA KUJITOLEA KUTOKA JAPANI WALIOMALIZA MUDA WA KUTOA HUDUMA HAPA NCHINI
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10