WAZIRI WA ARDHI MHE. WILLIAM LUKUVI AWASILI MKOANI RUKWA LEO, AAHIDI SULUHU YA MGOGORO WA MUDA MREFU WA SHAMBA LA SKAUNGU
![](http://2.bp.blogspot.com/-dgRjoqw8ETA/VRMCVqzIlyI/AAAAAAAAGsY/xuBsaWsuH6o/s72-c/P3258764.jpg)
Ujumbe mwingine uliokuwa kwenye mabango hayo.
Ujumbe mwingine ukinyesha kuwa toka Kijiji hicho kianzishwe mwaka 2008 na kupewa hati wananchi hao wamekuwa hawana haki na sehemu ya ardhi yao ambayo ipo ndani ya shamba la Muwekezaji huyo.
Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Eng. Stella Manyanya akizungumza na wananchi wa Kijiji cha Skaungu muda mfupi kabla ya kumkaribisha Waziri wa Ardhi Mhe. William Lukuvi kuzungumzia lengo la ziara yake katika Kijiji hicho, alisema ni muda sasa kumaliza mgogoro huo.
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-xFVaUY3UkTA/VRMCRsLwRrI/AAAAAAAAGrw/T6p5HIaMUFw/s72-c/P3258671.jpg)
WAZIRI WA ARDHI MHE. WILLIAM LUKUVI AWASILI JANA, AAHIDI SULUHU YA MGOGORO WA MUDA MREFU WA SHAMBA LA SKAUNGU
![](http://3.bp.blogspot.com/-xFVaUY3UkTA/VRMCRsLwRrI/AAAAAAAAGrw/T6p5HIaMUFw/s640/P3258671.jpg)
10 years ago
VijimamboWAZIRI WA ARDHI WILLIAM LUKUVI AFANYA ZIARA MKOANI IRINGA KUTATUA MIGOGORO YA ARDHI
...
10 years ago
Michuzi21 Mar
ZIARA YA WAZIRI WA ARDHI MH. WILLIAM LUKUVI BABATI MKOANI MANYARA
![1a](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/03/1a.jpg)
![2a](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/03/2a.jpg)
10 years ago
Michuzi18 Jun
WAZIRI WILLIAM LUKUVI ATATUA MIGOGORO MIKUBWA YA ARDHI MKOANI LINDI
Katika ziara hiyo, Waziri Lukuvi amewaonya na kuwaagiza Maafisa ardhi, wapima na maafisa mipango miji kuacha mara moja kujinufaisha kwa kuwadhulumu wananchi haki zao za ardhi.
Aidha ameutaka Mkoa wa Lindi kuharakisha upimaji wa...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-fBjXsjODywM/VQrHrnN8gQI/AAAAAAADRKE/4pIG2gRMBgQ/s72-c/unnamed.png)
WAZIRI WA ARDHI ,NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI WILLIAM LUKUVI AANZA ZIARA MKOANI ARUSHA
![](http://3.bp.blogspot.com/-fBjXsjODywM/VQrHrnN8gQI/AAAAAAADRKE/4pIG2gRMBgQ/s1600/unnamed.png)
![](http://4.bp.blogspot.com/-FknvlfwMauc/VQrHrUjbg5I/AAAAAAADRKA/mPJoyIY4-5w/s1600/U.png)
![](http://4.bp.blogspot.com/-zfcAPa9OGtE/VQrHpK9RRDI/AAAAAAADRJo/8ouPyOvzWLI/s1600/P9.png)
10 years ago
MichuziWAZIRI wa Ardhi William LUKUVI AFANYA ZIARA mkoani IRINGA KUTATUA MIGOGORO YA ARDH
10 years ago
Dewji Blog27 Mar
William Lukuvi aanza ziara mkoani Rukwa
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mh. William Vangimembe Lukuvi akipokelewa na Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mhe. Injinia Stella Manyanya alipowasili uwanja wa ndege wa Sumbawanga kuanza ziara ya kutatua migogoro ya ardhi Mkoani humo.
Mkurugenzi Mkuu wa NHC Bw. Nehemia Kyando Mchechu akimpokea Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mh. William Vangimembe Lukuvi alipowasili eneo la Jangwani mjini Sumbawanga kuweka jiwe la msingi katika nyumba za makazi zinazojengwa na NHC kwa...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-gtopsaAH-xA/UwWcQrHPSQI/AAAAAAAAFBg/B4zOhJTO7IE/s72-c/P2197629.jpg)
KATIBU MKUU WIZARA YA ULINZI AWASILI MKOANI RUKWA KWA ZIARA YA KIKAZI YA SIKU TATU, AAHIDI KUBORESHA MIUNDOMBINU YA VITEULE VYA JESHI VYA KIRANDO NA KASANGA MKOANI RUKWA
![](http://2.bp.blogspot.com/-gtopsaAH-xA/UwWcQrHPSQI/AAAAAAAAFBg/B4zOhJTO7IE/s1600/P2197629.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-hvmoEYVl3I4/UwWcaCNt7FI/AAAAAAAAFBo/n_TcHb0_SXI/s1600/P2197636.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Og0fz8kW4rY/U0An4RMQg0I/AAAAAAACeO0/2J1EwXm36TI/s72-c/IMG_3343.jpg)
KINANA AJITWISHA MGOGORO SUGU WA SHAMBA LA TAASISI YA EFATHA NA WANANCHI SUMBAWANGA MKOANI RUKWA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-Og0fz8kW4rY/U0An4RMQg0I/AAAAAAACeO0/2J1EwXm36TI/s1600/IMG_3343.jpg)
Kinana alisema kitendo cha Serikali kuchukua shamba hilo na kulibinafsisha kwa Efatha bila kuwapa taarifa wanakijiji ni kuwadhulumu wanakijiji hao. "Tutakwenda kulifanyia kazi suala hili haiwezekani shamba la zaidi ya ekari 10,000 likae tu bila shughuli yoyote, Nawaambieni hivi. shamba lenu mmedhulumiwa na...