ZIARA YA WAZIRI WA ARDHI MH. WILLIAM LUKUVI BABATI MKOANI MANYARA
Mkuu wa mkoa wa Manyara ,Mhe.Joel Nkaya Bendera akizungumza katika kikao cha viongozi wa wilaya zote za mkoa huo kilichofanyika ofisi ya Mkuu wa Mkoa mjini Babati,kushoto ni Waziri wa Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi,Mhe.William Lukuvi na kulia ni Mkuu wa wilaya ya Babati,Crispin Meela.Mhe.Bendera amesisitiza nidhamu ya kazi katika kuhudumia wananchi na ameapa kuwaondoa watendaji wabovu mkoani humo.
Waziri wa Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi,Mhe.William Lukuvi akizungumza katika kikao...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboWAZIRI WA ARDHI WILLIAM LUKUVI AFANYA ZIARA MKOANI IRINGA KUTATUA MIGOGORO YA ARDHI
...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-fBjXsjODywM/VQrHrnN8gQI/AAAAAAADRKE/4pIG2gRMBgQ/s72-c/unnamed.png)
WAZIRI WA ARDHI ,NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI WILLIAM LUKUVI AANZA ZIARA MKOANI ARUSHA
![](http://3.bp.blogspot.com/-fBjXsjODywM/VQrHrnN8gQI/AAAAAAADRKE/4pIG2gRMBgQ/s1600/unnamed.png)
![](http://4.bp.blogspot.com/-FknvlfwMauc/VQrHrUjbg5I/AAAAAAADRKA/mPJoyIY4-5w/s1600/U.png)
![](http://4.bp.blogspot.com/-zfcAPa9OGtE/VQrHpK9RRDI/AAAAAAADRJo/8ouPyOvzWLI/s1600/P9.png)
10 years ago
MichuziWAZIRI wa Ardhi William LUKUVI AFANYA ZIARA mkoani IRINGA KUTATUA MIGOGORO YA ARDH
10 years ago
Michuzi18 Jun
WAZIRI WILLIAM LUKUVI ATATUA MIGOGORO MIKUBWA YA ARDHI MKOANI LINDI
Katika ziara hiyo, Waziri Lukuvi amewaonya na kuwaagiza Maafisa ardhi, wapima na maafisa mipango miji kuacha mara moja kujinufaisha kwa kuwadhulumu wananchi haki zao za ardhi.
Aidha ameutaka Mkoa wa Lindi kuharakisha upimaji wa...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-dgRjoqw8ETA/VRMCVqzIlyI/AAAAAAAAGsY/xuBsaWsuH6o/s72-c/P3258764.jpg)
WAZIRI WA ARDHI MHE. WILLIAM LUKUVI AWASILI MKOANI RUKWA LEO, AAHIDI SULUHU YA MGOGORO WA MUDA MREFU WA SHAMBA LA SKAUNGU
![](http://2.bp.blogspot.com/-dgRjoqw8ETA/VRMCVqzIlyI/AAAAAAAAGsY/xuBsaWsuH6o/s1600/P3258764.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-3ZZZ9DygmcY/VRMCWW7_VnI/AAAAAAAAGsc/xOdJIpYlOqM/s1600/P3258776.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-3xv-tp1X3jk/VRMCXKUkUgI/AAAAAAAAGsk/X-yLenN2-zk/s1600/P3258783.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Z4Bqh90N8CE/VRMCYiFbpkI/AAAAAAAAGs0/mru-NMziBfY/s1600/P3258823.jpg)
10 years ago
GPLWAZIRI LUKUVI AFANYA ZIARA MKOANI IRINGA KUTATUA MIGOGORO YA ARDHI
10 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/06/New-Picture-82.png)
WAZIRI LUKUVI AANZA ZIARA MKOANI MTWARA KUTATUA MIGOGORO YA ARDHI
10 years ago
Dewji Blog27 Mar
William Lukuvi aanza ziara mkoani Rukwa
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mh. William Vangimembe Lukuvi akipokelewa na Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mhe. Injinia Stella Manyanya alipowasili uwanja wa ndege wa Sumbawanga kuanza ziara ya kutatua migogoro ya ardhi Mkoani humo.
Mkurugenzi Mkuu wa NHC Bw. Nehemia Kyando Mchechu akimpokea Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mh. William Vangimembe Lukuvi alipowasili eneo la Jangwani mjini Sumbawanga kuweka jiwe la msingi katika nyumba za makazi zinazojengwa na NHC kwa...
9 years ago
GPLWAZIRI WA ARDHI WILLIAM LUKUVI AAGA RASMI SHIRIKA LA NYUMBA LA TAIFA
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10