Madaktari Temeke lawamani
MADAKTARI wa Hospitali za Zakhem na Temeke za wilayani Temeke, jijini Dar es Salaam, wamelalamikiwa kutoa majibu ya uongo kwa mtoto anayedaiwa kubakwa na kijana ambaye hajafahamika hadi sasa. Tuhuma...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziMakundi 5 yang'ara ndani ya Temeke kwenye usaili wa kwanza Dance 100% 2015 Temeke
![](http://3.bp.blogspot.com/-XPdO8YyqAFc/VbW6nkYPD1I/AAAAAAAAa-A/BKGhxcxMLwU/s640/Kati%2Bya%2Bmakundi%2Bmatano%2Byaliyopita%2Bkwenye%2Busajili%2Bwa%2Bkwanza%2Bwa%2BDance%2B100%2525%2B%25282015%2529%2B-%2BTemeke.%2BKundi%2Blinaitwa%2B%2527The%2BBest%2BBoys%2BKaka%2BZao%2527.jpg)
Makundi haya yamechuana vikali na mengine 6 yanayokamilisha idadi ya makundi 11, UNI 6 Crew, GMF Crew, TWC, Dar Crew, Noma Sana Crew, na Viga Stars yaliyojitokeza kuwania nafasi hiyo katika usajili huo wa kwanza.
Mratibu wa...
9 years ago
MichuziTIMU YA MADAKTARI BINGWA KUTOKA NCHINI CHINA WAKISHIRIKIANA NA MADAKTARI WA ZANZIBAR WATOA HUDUMA ZA KIJAMII KATIKA KIJIJI CHA KISAUNI ZANZIBAR
10 years ago
MichuziMKUU WA WILAYA YA TEMEKE NDUGU SOPHIA MJEMA AFUNGA RASMI MAFUNZO YA SIKU 5 YA KUZUIA MIMBA ZA UTOTONI KWA WANAFUNZI WA SEKONDARI WILAYANI TEMEKE
10 years ago
Tanzania Daima22 Oct
Wizara lawamani
JEURI ya waandaaji wa Tamasha la Fiesta kukaidi amri ya Mahakama na kumpandisha jukwaani msanii maarufu wa nchini Nigeria, David Adedeji ‘Davido’ ilitokana na nguvu ya Wizara yenye dhamana na...
10 years ago
Mtanzania03 Sep
Serikali lawamani
![Jakaya Kikwete](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/06/Jakaya-Kikwete.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete
NA PATRICIA KIMELEMETA, DAR ES SALAAM
WANANCHI walio wengi wameonekana kuwa na imani ndogo na maofisa wa Serikali za Mitaa na Vijiji katika kushughulikia masuala yao.
Pia sekta ya maji na umeme ni miongoni mwa taasisi rasmi za serikali ambazo wananchi hawana imani nazo.
Kwamba wananchi wanaona taasisi hizo zinawarudisha nyuma kimaendeleo kwa sababu zimeshindwa kutatua kero zinazowakabili.
Kutokana na hali hiyo, hawaoni kama wanao uwezo...
11 years ago
Tanzania Daima16 Jan
Watendaji Bagamoyo lawamani
KUPORWA kipande cha ardhi ya mwekezaji, Ester Shayo, wilayani Bagamoyo, Pwani kumesababishwa na baadhi ya watendaji wa Kijiji cha Bago kutozingatia sheria na badala yake kuendekeza ubaguzi. Akizungumza na waandishi...
11 years ago
Tanzania Daima16 Mar
Waziri Tibaijuka lawamani
WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka, anadaiwa kuingilia uamuzi wa Mahakama Kuu ya Ardhi Kanda ya Tabora. Mahakama hiyo katika uamuzi wa kesi namba 13/2013...
10 years ago
BBCSwahili15 May
Jehi la Indonesia lawamani
10 years ago
Tanzania Daima03 Nov
Halmashauri Namtumbo lawamani
HALMASHAURI ya Wilaya ya Namtumbo mkoani Ruvuma, imelalamikiwa kukithiri kwa urasimu na vitendo vya rushwa katika kitengo cha zabuni na manunuzi ukilinganisha na Wilaya nyingine mkoani hapa. Malalamiko hayo yalitolewa...