Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waziri Tibaijuka lawamani

WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka, anadaiwa kuingilia uamuzi wa Mahakama Kuu ya Ardhi Kanda ya Tabora. Mahakama hiyo katika uamuzi wa kesi namba 13/2013...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Waziri Mkuya lawamani ‘kuzima’ umeme wa upepo

Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum.WAZIRI wa Fedha, Saada Mkuya juzi ameonja joto ya jiwe kutoka kwa wabunge kutuhumiwa ‘kuuzima’ utekelezaji wa mradi wa umeme wa upepo wa Singida unaogharimu Dola za Marekani milioni 133 sawa na Sh bilioni 266.

 

10 years ago

StarTV

Changamoto Serikali za Mitaa, Ofisi ya Waziri Mkuu lawamani.

Na Josephine Mwaiswaga,

Dar es salaam.

 

Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kimedai kinakusudia kutoa maamuzi na kuchukua hatua za kisheria dhidi ya Waziri Mkuu Mizengo Pinda na Waziri wa TAMISEMI Hawa Ghasia kwa kushindwa kudhibiti kasoro zilizojitokeza kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa.

 

Katika uchaguzi huo ulifanyika Desemba 14 mwaka huu chama hicho kinadai kufanyiwa hujuma zilizochangia kujitokeza baadhi ya kasoro ikiwemo ya kutokamilika kwa vifaa vya kupigia kura katika...

 

11 years ago

Habarileo

Waziri Tibaijuka anusurika

WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Anna Tibaijuka juzi alinusurika kifo baada ya gari alilokuwa akisafiria kutoka Bukoba kwenda Dodoma kupata ajali kwa kugonga punda katika Kijiji cha Wendele wilayani Kahama, mkoani Shinyanga.

 

11 years ago

Mwananchi

Kigamboni wamkaba koo Waziri Tibaijuka

Viongozi wa Mji wa Kigamboni wamemtaka Waziri wa Ardhi na Maendeleo na Makazi, Profesa Anna Tibaijuka kuharakisha malipo ya fidia kwa wakazi watakaopisha ujenzi wa mji mpya na kuacha mikutano ya hadhara isiyokuwa na tija.

 

11 years ago

Mwananchi

Mdee amshukia Waziri Tibaijuka mgogoro wa ardhi

Waziri Kivuli wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Halima Mdee amemshukia Waziri wa wizara hiyo, Profesa Anna Tibaijuka kwa kushindwa kutatua mgogoro wa shamba la Kapunga mkoani Mbeya na badala yake ameukuza.

 

11 years ago

Mwananchi

Waziri Tibaijuka alalamikia kodi kubwa vifaa vya ujenzi

Waziri wa wa Ardhi, Nyumba, Maendeleo na Makazi, Profesa Anna Tibaijuka ameshauri kupunguzwa kodi ya vifaa vya ujenzi nchini ili Watanzania walio wengi waweze kumudu bei ya vifaa hivyo.

 

11 years ago

Dewji Blog

Waziri wa Ardhi Profesa Anna Tibaijuka asifu kazi inayofanywa na Shirika la Nyumba (NHC)

1

Waziri wa Wizara ya Ardhi Nyumba na Makazi Mh. Prof. Anna Tibaijuka akipokewa na Felix Maagi Mkurugenzi wa Fedha wa NHC wakati alipowasili kwenye Banda la Shirika hilo kwenye maonyesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa TANTRADE yanayoendelea kwenye viwanja vya Mwalimu J.K.Nyerere barabara ya Kilwa jijini Dar es salaam leo.

2

Waziri wa Wizara ya Ardhi Nyumba na Makazi Mh. Prof. Anna Tibaijuka akizungumza na baadhi ya viongozi wa shirika la nyumba nchini NHC baada ya kuwasili kwenye banda hilo...

 

11 years ago

Michuzi

WAZIRI WA ARDHI NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI PROFESA ANNA TIBAIJUKA AKUTANA NA WADAU WA MJI MPYA WA KIGAMBONI DAR ES SALAAM

Waziri Tibaijuka akifunga majadiliano juu ya mradi huo. Waziri Tibaijuka akiwa ameshikana mikono na mbunge was Kigamboni Faustine Ndungulie na baadhi ya madiwani na viongozi wengine kuonyesha maridhiano namna mradi utakavyotekelezwa.Kaimu Mkurugenzi Msaidizi, Usanifu Miji na Uendelezaji Hellenic Mpetuta akitoa mada namna mji mpya utakavyopangiliwa katika mkutano huo uliofanyika Chuo Kikuu cha Kivukoni Dar es Salaam leo.Baadhi ya wadau wakifuatilia mawasilisho ya mada mbalimbali juu ya...

 

10 years ago

Mtanzania

Serikali lawamani

Jakaya Kikwete

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete

NA PATRICIA KIMELEMETA, DAR ES SALAAM

WANANCHI walio wengi wameonekana kuwa na imani ndogo na maofisa wa Serikali za Mitaa na Vijiji katika kushughulikia masuala yao.

Pia sekta ya maji na umeme ni miongoni mwa taasisi rasmi za serikali ambazo wananchi hawana imani nazo.

Kwamba wananchi wanaona taasisi hizo zinawarudisha nyuma kimaendeleo kwa sababu zimeshindwa kutatua kero zinazowakabili.

Kutokana na hali hiyo, hawaoni kama wanao uwezo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani