Waziri Tibaijuka anusurika
WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Anna Tibaijuka juzi alinusurika kifo baada ya gari alilokuwa akisafiria kutoka Bukoba kwenda Dodoma kupata ajali kwa kugonga punda katika Kijiji cha Wendele wilayani Kahama, mkoani Shinyanga.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mtanzania12 Aug
Waziri anusurika kipigo
![Naibu Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Godfrey Zambi](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/Godfrey-Zambi.jpg)
Naibu Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Godfrey Zambi
NA SAMWEL MWANGA, SIMIYU
NAIBU Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Godfrey Zambi, amenusurika kupata kipigo kutoka kwa wakulima wa pamba katika Kijiji cha Marekano, Wilaya ya Maswa, Mkoa wa Simiyu.
Zambi alinusurika kupata kipigo baada ya kushindwa kutoa majibu ya kuridhisha kwa wakulima juu ya mbegu za pamba zisizoota.
Tukio hilo lilitokea juzi kijijini hapo, wakati Zambi alipofanya ziara ya kushitukiza ili kuona jinsi ununuzi wa...
10 years ago
VijimamboWaziri Mahanga anusurika kipigo.
Dk. Mahanga, ambaye pia ni Mbunge wa Segerea (CCM) alikumbwa na masaibu hayo wakati wa hafla ya kuapisha...
11 years ago
Mwananchi26 Jan
Waziri anusurika ajali ya ndege
11 years ago
Tanzania Daima16 Mar
Waziri Tibaijuka lawamani
WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka, anadaiwa kuingilia uamuzi wa Mahakama Kuu ya Ardhi Kanda ya Tabora. Mahakama hiyo katika uamuzi wa kesi namba 13/2013...
9 years ago
BBCSwahili06 Oct
Waziri mkuu wa Yemen anusurika kifo
11 years ago
IPPmedia26 Jan
Waziri anusurika kifo ajali ya ndege
9 years ago
BBCSwahili27 Dec
Waziri mkuu wa Benin anusurika ajali ya ndege
11 years ago
Mwananchi11 Aug
Kigamboni wamkaba koo Waziri Tibaijuka
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-L1ajNE_Z3Kk/VXq00ewiPjI/AAAAAAABhig/EJvhKT3JYOM/s72-c/IMG_2531.jpg)
WAZIRI BERNARD MEMBE ANUSURIKA AJALI YA NDEGE, ZANZIBAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-L1ajNE_Z3Kk/VXq00ewiPjI/AAAAAAABhig/EJvhKT3JYOM/s400/IMG_2531.jpg)
Waziri Membe akiwa na ujumbe wake wa watu wanane, walikuwa wakisafiria ndege ya kukodi kampuni ya 5H NEG Precition Aviation ikirushwa na rubani Mathew Mhahiki, ambaye ameonyesha kushangazwa na tukio hilo alilodai “ni kwa rehema za...