Jeshi Thailand lamuhifadhi Bi Shinawatra
Jeshi nchini Thailand linamshikilia waziri mkuu Bi Yingluck Shinawatra baada ya kumpindua mamlakani hapo jana.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili22 May
Jeshi lafanya mapinduzi Thailand
Mkuu wa majeshi nchini Thailand ametangaza mapinduzi , akisema jeshi sasa linachukua udhibiti wa serikali.
11 years ago
Mwananchi23 May
Jeshi lapindua Serikali ya Thailand, lazuia mikusanyiko
 Jeshi la Thailand limepindua serikali ya nchi hiyo na kuzuia mikusanyiko ya watu na mikutano yote ya kisiasa.
9 years ago
BBCSwahili18 Aug
Shambulizi la Thailand lalaaniwa
Waziri mkuu wa Thailand ametaja shambulizi la bomu ambalo lilitokea mjini Bankok kisa kibaya zaidi kuwahi kutokea nchini humo
10 years ago
BBCSwahili11 May
Wakimbizi taabani Thailand
Maelfu ya wakimbizi kutoka Bangladeshi na Myanmar wametelekezwa karibu na ufuo wa Thailand kufuatia masharti makali yaliyowekwa
11 years ago
BBCSwahili09 Dec
Maandamano yakithiri Bangkok,Thailand
Melfu ya waandamanaji wanaopinga serikali wamefurika katika barabara za mji mkuu wa Thailand ,Bangkok licha ya serikali kutangaza uchaguzi wa mapema nchini humo.
9 years ago
BBCSwahili19 Aug
Picha ya mshambuliaji yatolewa Thailand
Polisi nchini Thailand wametoa picha ya mwanamme mmoja ambaye anahusishwa na mlipuko ambao uliukumba mjini wa Bangkok
10 years ago
BBCSwahili20 Apr
Pembe za Ndovu zanaswa Thailand
Wakuu wa forodha nchini Thailand wamenasa shehena kubwa zaidi ya pembe za ndovu kuwahi kunaswa katika historia ya taifa hilo
10 years ago
BBCSwahili19 Feb
Aliyekuwa rais wa Thailand ashtakiwa
Aliyekuwa waziri mkuu wa Thailand Yingluck Shinawatra ameshtakiwa katika mahakama ya juu kwa kosa la kutowajibika
11 years ago
BBCSwahili01 Feb
Upinzani watatiza uchaguzi Thailand
Waandamanaji nchini Thailand wanazuia usambazaji wa karatasi za kupigia kura siku moja tu kabla ya uchaguzi mkuu
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania