Jeshi lapindua Serikali ya Thailand, lazuia mikusanyiko
 Jeshi la Thailand limepindua serikali ya nchi hiyo na kuzuia mikusanyiko ya watu na mikutano yote ya kisiasa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili07 Aug
Sasa Jeshi lazuia watu kuingia Monrovia
Wanajeshi wa Liberia wameweka vizuizi barabarani kuzuia watu kutoka eneo lenye Ebola kutoingia Monrovia.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/d9P270TQqar-DStuMUKPggOwnVEtvmnB825*WQu47yKEU3Br0T1db3eWugD768vZ-Dguv5jnv97sxXjL0VlUv6aYxNJbHdpN/kamanda.jpg?width=650)
JESHI LA POLISI MKOA WA DODOMA LAZUIA MAANDAMANO YALIYOPANGWA NA CHADEMA
Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, Kamishina Msaidizi wa Polisi (ACP), Emmanuel G. Lukula. Na Sylvester Onesmo wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma Jeshi la Polisi mkoani Dodoma limetoa tamko la kuzuia maandamano ya Chama cha CHADEMA ya tarehe 18/09/2014 na kuwataka wananchi kuyapuuza. Akiongea na waandishi wa habari, Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishina Msaidizi wa Polisi EMMANUEL G. LUKULA (ACP) alisema kuwa;...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-68EFhimZBTA/VBmiDQuGg0I/AAAAAAAGkJQ/g7qhuWXfYQQ/s72-c/unnamed%2B(23).jpg)
JESHI LA POLISI MKOA WA DODOMA LAZUIA MAANDAMANO YALIYOPANGWA NA CHADEMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-68EFhimZBTA/VBmiDQuGg0I/AAAAAAAGkJQ/g7qhuWXfYQQ/s1600/unnamed%2B(23).jpg)
11 years ago
BBCSwahili22 May
Jeshi lafanya mapinduzi Thailand
Mkuu wa majeshi nchini Thailand ametangaza mapinduzi , akisema jeshi sasa linachukua udhibiti wa serikali.
11 years ago
BBCSwahili23 May
Jeshi Thailand lamuhifadhi Bi Shinawatra
Jeshi nchini Thailand linamshikilia waziri mkuu Bi Yingluck Shinawatra baada ya kumpindua mamlakani hapo jana.
5 years ago
CCM BlogSERIKALI YAFUNGA SHULE ZA AWALI HADI KIDATO CHA SITA KWA SIKU 30 KUIHAMI NCHI NA CORONA, YAFUNGA PIA MIKUSANYIKO YA SIASA NA MICHEZO
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na waandishi wa habari, Dar es Salaam jana kuhusu hatua za awali zilizochukuliwa na Serikali kutokana na kuwepo nchini virusi vya ugonjwa wa Corona.
DAR ES SALAAM, Tanzania
Serikali imezifunga shule za awali hadi kidato cha sita kwa siku 30 na pia kuzuia mikusanyiko yoyote ikiwemo ya siasa na michezo ili kuihami nchi na ugonjwa wa Corona ambao umethibishwa kuingia nchini kufuatia kupatikana kwa mgonjwa mmoja wa ugonjwa huo hapa nchini.
Hatua hizo...
10 years ago
Habarileo11 Aug
Kanisa lazuia 4,000 kujiandikisha BVR
ZAIDI ya waumini 4,000 wa Kanisa kongwe la Watch Tower lenye umri wa zaidi ya miaka 100, wamenyimwa haki yao ya msingi ya kikatiba ya kupiga kura katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25, mwaka huu.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-TaPqW3t5M5s/XoNHb8t7uqI/AAAAAAALlsg/qjGu5VobaY8uw3xc1OEeEN7mtw7TTTeSwCLcBGAsYHQ/s72-c/4f1d517e-0b9d-4454-ae42-5229b2a953d9.jpg)
WAFUGAJI WATAKIWA KUZUIA MIKUSANYIKO MINADANI.
Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Abdallah Ulega amewataka wafugaji nchini kuhakikisha kuwa wanachukua tahadhari juu ya virusi vya homa ya Mafamu Covid -19 ambavyo vinasababisha Ugonjwa wa Corona.
Akizungumza na wafugaji mara baada ya kutembelea minada ya mifugo katika soko la kimataifa la mifugo lilipo wilayani longido pamoja na mnada wa Miserani,uliopo wilayani monduli mkoani Arusha,Ulega alisema kuwa tahadhari ni muhimu kuchukuliwa na kuhakikisha kuwa wafugaji na wafanyabishara...
Akizungumza na wafugaji mara baada ya kutembelea minada ya mifugo katika soko la kimataifa la mifugo lilipo wilayani longido pamoja na mnada wa Miserani,uliopo wilayani monduli mkoani Arusha,Ulega alisema kuwa tahadhari ni muhimu kuchukuliwa na kuhakikisha kuwa wafugaji na wafanyabishara...
9 years ago
Mwananchi29 Oct
RC Arusha apiga marufuku mikusanyiko kushangilia matokeo
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Felix Ntibenda amepiga marufuku mikusanyiko na ushangiliaji wowote wa masuala ya kisiasa jijini Arusha na kuwataka wananchi kuwa watulivu wakati wakisubiri Tume ya Uchaguzi ya Taifa (NEC), kutangaza mshindi wa nafasi ya Uraisi.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania