WAFUGAJI WATAKIWA KUZUIA MIKUSANYIKO MINADANI.
![](https://1.bp.blogspot.com/-TaPqW3t5M5s/XoNHb8t7uqI/AAAAAAALlsg/qjGu5VobaY8uw3xc1OEeEN7mtw7TTTeSwCLcBGAsYHQ/s72-c/4f1d517e-0b9d-4454-ae42-5229b2a953d9.jpg)
Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Abdallah Ulega amewataka wafugaji nchini kuhakikisha kuwa wanachukua tahadhari juu ya virusi vya homa ya Mafamu Covid -19 ambavyo vinasababisha Ugonjwa wa Corona.
Akizungumza na wafugaji mara baada ya kutembelea minada ya mifugo katika soko la kimataifa la mifugo lilipo wilayani longido pamoja na mnada wa Miserani,uliopo wilayani monduli mkoani Arusha,Ulega alisema kuwa tahadhari ni muhimu kuchukuliwa na kuhakikisha kuwa wafugaji na wafanyabishara...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima08 Jan
Wafugaji watakiwa kujenga umoja imara
MKUU wa Mkoa wa Pwani, Hajat Mwantumu Mahiza, amewataka wafugaji kuepuka ukabila miongoni mwao na kujenga umoja imara utakaowawezesha kutetea na kusimamia haki zao. Hajat Mwantumu alisema hayo wakati wa...
11 years ago
Tanzania Daima12 Jun
Wafugaji watakiwa kuzalisha mifugo bora
SERIKALI imewataka wafugaji kuzalisha mifugo bora na kuivuna kwa wakati, ili kukidhi mahitaji ya viwanda vya kusindika nyama vilivyopo. Wito huo ulitolewa bungeni jana na Naibu Waziri wa Mendeleo ya...
9 years ago
Mwananchi23 Nov
Wafugaji, hifadhi watakiwa kutumia vikao kumaliza migogoro
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-LwyxPPsl1wU/U5gWGdiSyqI/AAAAAAAFpu0/UKMeJ_FWha4/s72-c/01.jpg)
Wafugaji wa Ng,ombe Chato Watakiwa Kuachana na Ufugaji wa Mazoea
Wafugaji wa Ngo’ombe Wilayani Chato mkoani Geita wameaswa kuachana na ufugaji wa mazoea na badala yake wafuge kisasa zaidi. Wito huo umetolewa leo Wilayani hapa na Mkuu wa Wilaya ya Chato Mhe. Rodrick Mpogolo wakati akifungua kikao cha pamoja na wafugaji wa Ng’ombe na wataalam wa mifugo ambacho pia kilidhuriwa na mwekezaji wa kiwanda cha kusindika nyama kutoka jijini Mwanza cha Chobo Investiment.
Mkuu wa Wilaya ya Chato amesema wafugaji wengi nchini wamekuwa...
10 years ago
MichuziWAFUGAJI WALIOVAMIA ENEO LA LOLIONDO WATAKIWA KUONDOA MIFUGO YAO
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-wu_jzvmv_pc/VUot_w-d03I/AAAAAAAAAYY/ofX1VHDlt0c/s72-c/DSC_0671.jpg)
WAFUGAJI WATAKIWA KUFANYA SHUGHULI ZAO KWA KUFUATA SHERIA-CCWT
10 years ago
Dewji Blog02 Oct
Majaji waendesha mahakama ya wazi kusikiliza na kupokea malalamiko ya wakulima walionyang’anywa Ardhi,Wafugaji na Migogoro ya wakulima na wafugaji
![IMG_0113](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/IMG_0113.jpg)
11 years ago
Mwananchi23 May
Jeshi lapindua Serikali ya Thailand, lazuia mikusanyiko
9 years ago
StarTV23 Oct
Polisi yasimamisha mikusanyiko mpaka baada ya uchaguzi
Jeshi la Polisi limepiga marufuku mikusanyiko yote baada ya kuhitimishwa kwa kampeni za wagombea wa Urais, Wabunge na Madiwani Octoba 24 mpaka matokeo ya uchaguzi mkuu yatakapotangazwa .
Akizungumza Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Ernest Mangu amesema kutokana na uzoefu wa kipindi cha kampeni uwepo wa mikusanyiko ya watu wenye itikadi moja husababisha vurugu.
IGP Mangu amesema ni vyema wananchi wakajiepusha na vitendo vyovyote vya uchokozi kwa kuwa Jeshi la Polisi halitasita kuchukua...