Sasa Jeshi lazuia watu kuingia Monrovia
Wanajeshi wa Liberia wameweka vizuizi barabarani kuzuia watu kutoka eneo lenye Ebola kutoingia Monrovia.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi23 May
Jeshi lapindua Serikali ya Thailand, lazuia mikusanyiko
 Jeshi la Thailand limepindua serikali ya nchi hiyo na kuzuia mikusanyiko ya watu na mikutano yote ya kisiasa.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-68EFhimZBTA/VBmiDQuGg0I/AAAAAAAGkJQ/g7qhuWXfYQQ/s72-c/unnamed%2B(23).jpg)
JESHI LA POLISI MKOA WA DODOMA LAZUIA MAANDAMANO YALIYOPANGWA NA CHADEMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-68EFhimZBTA/VBmiDQuGg0I/AAAAAAAGkJQ/g7qhuWXfYQQ/s1600/unnamed%2B(23).jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/d9P270TQqar-DStuMUKPggOwnVEtvmnB825*WQu47yKEU3Br0T1db3eWugD768vZ-Dguv5jnv97sxXjL0VlUv6aYxNJbHdpN/kamanda.jpg?width=650)
JESHI LA POLISI MKOA WA DODOMA LAZUIA MAANDAMANO YALIYOPANGWA NA CHADEMA
Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, Kamishina Msaidizi wa Polisi (ACP), Emmanuel G. Lukula. Na Sylvester Onesmo wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma Jeshi la Polisi mkoani Dodoma limetoa tamko la kuzuia maandamano ya Chama cha CHADEMA ya tarehe 18/09/2014 na kuwataka wananchi kuyapuuza. Akiongea na waandishi wa habari, Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishina Msaidizi wa Polisi EMMANUEL G. LUKULA (ACP) alisema kuwa;...
11 years ago
Michuzi13 Feb
JESHI LA POLISI MKOA WA MBEYA LINAWASHIKILIA WATU 08 RAIA WA NCHINI KONGO BAADA YA KUINGIA NCHINI BILA KIBALI .
JESHI LA POLISI MKOA WA MBEYA LINAWASHIKILIA WATU 08 WOTE RAIA NA WAKAZI WA SANGE – BUKAVU NCHINI KONGO WAKIONGOZWA NA HESABU LUHIGITA (16) BAADA YA KUINGIA NCHINI BILA KIBALI. WATUHUMIWA HAO WALIKAMATWA MNAMO TAREHE 12.02.2014 MAJIRA YA SAA 13:00HRS MCHANA HUKO KATIKA KIJIJI CHA IKUMBILO WILAYA YA ILEJE WAKIWA WANASAFIRISHWA KWENYE GARI LENYE NAMBA ZA USAJILI T.136 AQC AINA YA FUSO LILILOKUWA LIKIENDESHWA NA MUSSA DISI (35) NA MATEO KADUMA (30) WOTE WAKAZI WA ISONGOLE AMBAO PIA...
9 years ago
Mwananchi02 Jan
AU sasa kuingia Burundi Januari 15
Wajumbe wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa (UN) wanasubiri mwafaka wa Serikali ya Burundi kwenda nchini humo kama sehemu ya juhudi za kidiplomasia za kuliepusha taifa hilo kutumbukia katika vita vya wenyewe kwa wenyewe.
11 years ago
Tanzania Daima30 Mar
UKAWA sasa kuingia mikoani
HARAKATI za Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), za kuizuia CCM isihodhi mchakato wa uandikaji wa Katiba sasa zimechukua sura mpya ya kufanya mikutano ya hadhara mikoani. Awali UKAWA walikuwa...
11 years ago
MichuziJESHI LA MAGEREZA KUINGIA USHIRIKIANO RASMI NA CHUO KIKUU HURIA CHA TANZANIA
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-VJH7VJ2YEIw/XnWsOaANfOI/AAAAAAACJAw/7e1qz7ZIio81MQAv-0ncLfgaXkbcv4cZQCLcBGAsYHQ/s72-c/images.jpeg)
WATU 627 WAFARIKI KWA SIKU MOJA NCHINI ITALY KUTOKANA NA CORONA, SASA YATUMIA WANAJESHI KUZUIA WATU KUTOKA MAJUMBANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-VJH7VJ2YEIw/XnWsOaANfOI/AAAAAAACJAw/7e1qz7ZIio81MQAv-0ncLfgaXkbcv4cZQCLcBGAsYHQ/s320/images.jpeg)
ITALIA imeamua kuwatumia wanajeshi ili kuongeza nguvu ya kuzuia watu kutoka nje, Jana, Ijumaa Machi 20, 2020, huku maafisa wakisema watu 627 wamefariki dunia kutokana na ugonjwa wa Corona katika kipindi cha saa 24.
Idadi hii ya vifo ndiyo kubwa zaidi kutokea ndani ya siku moja duniani tangu mlipuko wa ugonjwa huu utokee nchuni China.
Kupoteza matumaini kwa baadhi ya watu kumeanza kuonekana Kaskazini mwa nchi hiyo hususan kwenye jimbo lililloathirika zaidi la Lombardy ambako kwa...
11 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/75578000/jpg/_75578512_bn-448x252.jpg)
Seven die in Monrovia Ebola outbreak
Seven people are reported dead from the Ebola virus in Monrovia, the first deaths from the outbreak in the Liberian capital.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania