Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


AU sasa kuingia Burundi Januari 15

Wajumbe wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa (UN) wanasubiri mwafaka wa Serikali ya Burundi kwenda nchini humo kama sehemu ya juhudi za kidiplomasia za kuliepusha taifa hilo kutumbukia katika vita vya wenyewe kwa wenyewe.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

RAIA WA BURUNDI WAZIDI KUINGIA TANZANIA

Hali halisi ya eneo la mpakani ambapo raia wanaokimbia kutoka Burundi wamekwama wakisubiri kuvushwa ili kuingia hifadhini nchini Tanzania. Picha na maelezo kwa hisani ya Wavuti

 

11 years ago

Tanzania Daima

UKAWA sasa kuingia mikoani

HARAKATI za Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), za kuizuia CCM isihodhi mchakato wa uandikaji wa Katiba  sasa zimechukua sura mpya ya kufanya mikutano ya hadhara mikoani. Awali UKAWA walikuwa...

 

10 years ago

Vijimambo

ONYESHO LA MIAKA 16 YA LUIZER MBUTU NDANI YA TWANGA PEPETA SASA NI JANUARI 31

Mwanadada Luizer Mbutu, mmoja wa waimbaji mahiri wa muziki wa dansi, sasa anatarajiwa kuongoza onyesho kubwa la Twanga Pepeta la kusherehekea miaka yake 16 mfululizo ya kuitumikia bendi hiyo, Jumamosi ya Januari 31.Hii ni baada ya onyesho hilo kuahirishwa mara kadhaa kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo vifo vya wasanii waliotarajiwa kushiriki tukio hilo la kihistoria. Mara ya mwisho onyesho hilo lilipangwa kufanyika Disemba 20.Kama ilivyopangwa hapo awali, katika onyesho hilo...

 

11 years ago

BBCSwahili

Sasa Jeshi lazuia watu kuingia Monrovia

Wanajeshi wa Liberia wameweka vizuizi barabarani kuzuia watu kutoka eneo lenye Ebola kutoingia Monrovia.

 

9 years ago

Dewji Blog

“Hapa Kazi tu’ Sasa Elimu bure kuanza Januari 2016, Mikopo vyuo vikuu kimeeleweka, safari za nje za vigogo stop

k1

  Rais Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akizungumza na Makatibu Wakuu, Manaibu Katibu Wakuu, Watendaji Wakuu serikalini jana Ikulu jijini Dar es salaam kupanga mikakati ya kuendesha serikali kwa weledi, nidhamu na moyo wa kupenda kazi.

k11

Rais Dkt. John Pombe Joseph Magufuli  katika picha ya pamoja Makatibu Wakuu, Manaibu Katibu Wakuu, Watendaji Wakuu serikalini jana Ikulu jijini Dar es salaam baada ya kukutana nao na kupanga mikakati ya kuendesha serikali kwa weledi, nidhamu na moyo wa...

 

10 years ago

AllAfrica.Com

Burundi: Emergency Meeting of the Ministers of EAC Affairs On Burundi Held in ...


East African Business Week
Burundi: Emergency Meeting of the Ministers of EAC Affairs On Burundi Held in ...
AllAfrica.com
Arusha — The Ministers of East African Community Affairs on 18th May 2015 in Arusha, held an emergency meeting to address matters emerging in the Republic of Burundi. The meeting was called following the directive issued by the EAC Heads of the State ...
East African leaders to mediate Burundi crisisShanghai Daily (subscription)
E. African ministers to visit...

 

5 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi wa Burundi 2020: Kwa nini Rwanda na Burundi zimekuwa maadui wakubwa?

Wakati, Burundi ikijiandaa kwa uchaguzi mkuu wiki ijayo, uhusiano kati ya nchi hiyo na jirani yake wa karibu Rwanda ukiwa umevunjika

 

5 years ago

ReliefWeb

Burundi Refugee Situation - Tanzania: Voluntary Repatriation Statistics as of 31 October 2019 - Burundi

Burundi Refugee Situation - Tanzania: Voluntary Repatriation Statistics as of 31 October 2019 - Burundi  ReliefWeb

 

9 years ago

StarTV

Hali Ya Kisiasa Burundi  Serikali ya Burundi yakubali usuluhishi

 

Rais John Magufuli amefanya mazungumzo na Spika wa Seneti na Mjumbe Maalum wa Rais wa Jamhuri ya Burundi Reverien Ndikuriyo Ikulu jijini Dar es Salaam kuhusu hali ya kisiasa na usalama nchini Burundi na jitihada zinazochukuliwa na Tanzania ikiwa ni Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki.

Akiwasilisha ujumbe wa Rais Pierre Nkurunziza wa Burundi kuhusu hali ya Burundi, Spika Ndikuriyo amesema Serikali ya Burundi ipo tayari kufanya mazungumzo na wadau wote wa siasa kuhusu hali ya nchi hiyo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani