Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RAIA WA BURUNDI WAZIDI KUINGIA TANZANIA

Hali halisi ya eneo la mpakani ambapo raia wanaokimbia kutoka Burundi wamekwama wakisubiri kuvushwa ili kuingia hifadhini nchini Tanzania. Picha na maelezo kwa hisani ya Wavuti

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

BREAKING NEWZZZZZ: idara ya uhamiaji yaendelea kucharuka, yamzuia raia wa netherlands kuingia nchini kwa kujihusisha na kusafrisha kimazabe raia wa kigeni

 Bw. Shirwan Naseh, raia wa Netherlands  mwenye asili ya Iraq aliyezuiliwa kuingia nchini na kupigwa pigwa PI na Idara ya Uhamiaji



 

10 years ago

BBCSwahili

Raia wa Burundi waomba hifadhi Tanzania

Zaidi ya raia elfu 20 kutoka nchini Burundi wapo magharibi mwa Tanzania wakitaka kuvuka ziwa Tanganyika kuomba hifadhi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ghasia Burundi:Raia wakimbilia Tanzania

Kutokana na ghasia nchini Burundi,inakadiriwa karibu raia wa Burundi elfu ishirini wamevuka kuingia nchi jirani ya Tanzania

 

10 years ago

BBCSwahili

Raia wa Rwanda na Kenya huru kuingia UG

Uganda imeondoa ada ya kibali cha kufanyia kazi nchini humo pamoja na mahitaji ya viza miongoni mwa raia wa Kenya na Rwanda

 

10 years ago

Tanzania Daima

Raia wa Yemen ahukumiwa kwa kuingia nchini kinyume cha sheria

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, imemuhukumu Hassan Said Awadh (48), raia wa Yemen kulipa faini ya sh 300,000 au kwenda jela miaka mitatu kwa makosa mawili ikiwamo kuingia nchini kinyume...

 

10 years ago

Michuzi

RAIA WANNE (4) WA ETHIOPIA MBARONI KWA KUINGIA NCHINI BILA KIBALI

Na: Sylvester Onesmo wa Jeshi la Polisi Dodoma.
Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma linawashikila watu wanne (4) raia wa Ethiopia kwa tuhuma za kuingia nchini bila kuwa na kibali
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME – SACP amesema watu hao wamekamatwa tarehe 26/01/2015 majira ya 15:55hrs katika eneo la Nala kwenye Mzani wa Magari (Weight Bridge) Kata ya Nala Tarafa ya Zuzu Manispaa ya Dodoma wakiwa kwenye basi la Prince Munaa lenye namba za usajili T....

 

5 years ago

Michuzi

RAIA WA CHINA WAZIDI KUKUMBANA NA ZUIO LA KUSAFIRI KUDHIBITI KUENEA KWA VIRUSI VYA COVID 19

Na Leandra Gabriel, Michuzi TV

NUSU ya idadi ya raia wa China ambao wamefikia zaidi wa watu milioni 780 wamekumbana zuio la kusafiri ikiwa ni sehemu ya mlengo wa Mamlaka husika inayoendelea  kudhibiti kuenea kwa virusi vya Corona (Covid 19)

Tangu virusi hivyo vimeikumba nchi hiyo takribani watu 1,770 wamepoteza maisha huku watu 70,000 wakiwa wameambukizwa virusi hivyo, kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na shirika la Utangazaji CNN imeelezwa kuwa kumekuwa na zuio la safari na msisitizo kwa watu...

 

9 years ago

Mwananchi

AU sasa kuingia Burundi Januari 15

Wajumbe wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa (UN) wanasubiri mwafaka wa Serikali ya Burundi kwenda nchini humo kama sehemu ya juhudi za kidiplomasia za kuliepusha taifa hilo kutumbukia katika vita vya wenyewe kwa wenyewe.

 

5 years ago

BBCSwahili

Conovirus: Nigeria yathibitisha kuingia kwa corona, Afrika Kusini kuwaondoa raia wake Wuhan

Nigeria imethibitisha kuwepo kwa mtu mmoja mwenye maambukizi ya virusi vya corona.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani