Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RAIA WA CHINA WAZIDI KUKUMBANA NA ZUIO LA KUSAFIRI KUDHIBITI KUENEA KWA VIRUSI VYA COVID 19

Na Leandra Gabriel, Michuzi TV

NUSU ya idadi ya raia wa China ambao wamefikia zaidi wa watu milioni 780 wamekumbana zuio la kusafiri ikiwa ni sehemu ya mlengo wa Mamlaka husika inayoendelea  kudhibiti kuenea kwa virusi vya Corona (Covid 19)

Tangu virusi hivyo vimeikumba nchi hiyo takribani watu 1,770 wamepoteza maisha huku watu 70,000 wakiwa wameambukizwa virusi hivyo, kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na shirika la Utangazaji CNN imeelezwa kuwa kumekuwa na zuio la safari na msisitizo kwa watu...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

CCM Blog

NCHI 24 ZA AFRIKA ZAFUNGA MIPAKA KUZUIA KUENEA VIRUSI VYA COVID-19

Nchi 24 za Afrika zafunga mipaka kuzuia kuenea virusi vya COVID-19Takriban nchi 24 za Afrika zimefunga mipaka yake kutokana na hofu ya kuenea kwa virusi vya ugonjwa hatari wa COVID-19 au corona ambao unazidi kuenea kwa kasi barani humo.Katika taarifa, Kituo cha Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa cha Afrika (Africa CDC), ambacho ni taasisi maalumu la Umoja wa Afrika, kimesisitiza kwamba nchi nyingine saba za Afrika zimeweka vizuizi vya kusafiri kutoka baadhi ya nchi. Aidha taarifa hiyo imeseba nyingine saba zimetoa maelekezo ya vizuizi vya kuingia nchini kwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Raia wa China akutwa na nyara akijiandaa kusafiri

Raia wa China, amekamatwa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), akiwa na kucha 10 za simba zenye thamani ya Sh8.3 milioni.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Maafisa Nigeria wavunja hoteli kudhibiti maambukizi ya Covid-19

The managers of the two hotels in southern Nigeria's Rivers state deny that they broke the rules.

 

5 years ago

Michuzi

SINGIDA YAWA MWENYEJI KITAIFA UZINDUZI RASMI WA PROGRAMU YA MAPAMBANO DHIDI YA KUENEA KWA VIRUSI VYA CORONA


Mratibu wa Kamati ya Programu ya mapambano dhidi ya mlipuko wa ugonjwa wa corona kutoka TYEC Mkoa wa Singida, Stella Mwagowa pamoja na Mratibu wa Uhamasishaji na Utoaji wa Elimu ya Afya Mkoa wa Singida, Paul Sangalali wakitoa elimu ya namna ya kujikinga na Virusi vya Corona kwa mmoja wa wafanyabiashara. 
 Afisa wa Polisi, Rashid Mirambo  akitoa elimu ya namna ya kujikinga na Virusi vya Corona kwa vijana. Mmoja wa Wanajumuiya ya TYEC, Richard  Assey, akishiriki kampeni hiyo kwa kutoa elimu...

 

5 years ago

Michuzi

TUNAANZA RASMI ZOEZI LA KUPULIZA DAWA YA KUUA WADUDU NA KUENEA KWA VIRUSI VYA CORONA KESHO-RC MAKONDA

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe. Paul Makonda amesema mkoa huo utaanza rasmi kesho zoezi la kupuliza dawa ya kuua vijidudu na kudhibiti kuenea kwa Virusi vya Corona katika maeneo mbalimbali ya Jiji hilo ambapo amewataka wananchi wasiwe na hofu pindi wanapoona magari yanapita mitaani kupuliza dawa.
RC Makonda amesema kwa kufanya hivyo  itasaidia pia kuua Vimelea na Wadudu kama Mbu wanaoenzeza ugonjwa wa Malaria, homa ya dengu na magonjwa mengineyo na kufanya jiji hilo kuwa katika hali nzuri...

 

5 years ago

Michuzi

SADC TUIMARISHE UMOJA NA MSHIKAMANO WETU WAKATI HUU KUENEA KWA JANGA LA VIRUSI VYA CORONA-PROF.KABUDI


Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Prof Palamagamba kabudi (Mb) (wa kwanza kushoto) akiongea na wajumbe wa mkutano wa Baraza la Mawaziri wa SADC uliofanyika kwa njia ya (Video Conference) leo Jijini Dar es Salaam
Baadhi ya mawaziri pamoja na maafisa waandamizi/ makatibu wakuu wakifuatilia mkutano wa Baraza la Mawaziri wa SADC uliofanyika kwa njia ya (Video Conference) leo Jijini Dar es Salaam.

Baadhi ya maafisa waandamizi/ makatibu wakuu wakifuatilia mkutano wa...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Tanzania yaondosha zuio la usafiri wa ndege

Rais John Magufuli amesema kuwa kasi ya wagonjwa imepungua Tanzania.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: India yakataa vifaa vya kupima virusi hivyo kutoka China

India imesitisha uagizaji wa karibu vifaa nusu milioni vya kupimia virusi vya corona kutoka China baada ya kubainika kuwa vifaa hivyo ''vina dosari''.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Jinsi virusi vya corona vinavyobadilisha tabia za raia wa Sierre Leone

Sehemu ya kwanza ya kipindi cha Afrika Eye inaangazia mlipuko wa corona unavyobadilisha tabia za raia wa Sierra Leone kuhusu jinsi wanavyoshirikiana

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani