RAIA WA CHINA WAZIDI KUKUMBANA NA ZUIO LA KUSAFIRI KUDHIBITI KUENEA KWA VIRUSI VYA COVID 19
![](https://1.bp.blogspot.com/-HHw5xYhZk1s/Xkr0IpD5OGI/AAAAAAALdz0/mvRMitCj17Qz-WLLXzacCirSdzuNwZ6YQCLcBGAsYHQ/s72-c/c3a19933-3a0b-4a47-b7df-3ce7e62f50fc.jpg)
Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
NUSU ya idadi ya raia wa China ambao wamefikia zaidi wa watu milioni 780 wamekumbana zuio la kusafiri ikiwa ni sehemu ya mlengo wa Mamlaka husika inayoendelea kudhibiti kuenea kwa virusi vya Corona (Covid 19)
Tangu virusi hivyo vimeikumba nchi hiyo takribani watu 1,770 wamepoteza maisha huku watu 70,000 wakiwa wameambukizwa virusi hivyo, kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na shirika la Utangazaji CNN imeelezwa kuwa kumekuwa na zuio la safari na msisitizo kwa watu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog29 Mar
NCHI 24 ZA AFRIKA ZAFUNGA MIPAKA KUZUIA KUENEA VIRUSI VYA COVID-19
![Nchi 24 za Afrika zafunga mipaka kuzuia kuenea virusi vya COVID-19](https://media.parstoday.com/image/4bv75f275e6f511mehe_800C450.jpg)
10 years ago
Mwananchi31 Oct
Raia wa China akutwa na nyara akijiandaa kusafiri
5 years ago
BBCSwahili12 May
Virusi vya corona: Maafisa Nigeria wavunja hoteli kudhibiti maambukizi ya Covid-19
5 years ago
MichuziSINGIDA YAWA MWENYEJI KITAIFA UZINDUZI RASMI WA PROGRAMU YA MAPAMBANO DHIDI YA KUENEA KWA VIRUSI VYA CORONA
5 years ago
MichuziTUNAANZA RASMI ZOEZI LA KUPULIZA DAWA YA KUUA WADUDU NA KUENEA KWA VIRUSI VYA CORONA KESHO-RC MAKONDA
RC Makonda amesema kwa kufanya hivyo itasaidia pia kuua Vimelea na Wadudu kama Mbu wanaoenzeza ugonjwa wa Malaria, homa ya dengu na magonjwa mengineyo na kufanya jiji hilo kuwa katika hali nzuri...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-FnjokKDxTkg/XtE3B-Q93VI/AAAAAAALr_o/DhbkPq6-w9oZsmtzB_xS0KFohNbTSPJVwCLcBGAsYHQ/s72-c/bc809ac7-1da2-4791-b00f-3cdb4e658935.jpg)
SADC TUIMARISHE UMOJA NA MSHIKAMANO WETU WAKATI HUU KUENEA KWA JANGA LA VIRUSI VYA CORONA-PROF.KABUDI
![](https://1.bp.blogspot.com/-FnjokKDxTkg/XtE3B-Q93VI/AAAAAAALr_o/DhbkPq6-w9oZsmtzB_xS0KFohNbTSPJVwCLcBGAsYHQ/s640/bc809ac7-1da2-4791-b00f-3cdb4e658935.jpg)
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Prof Palamagamba kabudi (Mb) (wa kwanza kushoto) akiongea na wajumbe wa mkutano wa Baraza la Mawaziri wa SADC uliofanyika kwa njia ya (Video Conference) leo Jijini Dar es Salaam
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/f39496bc-01a4-4591-a8ab-17393cc498ca.jpg)
Baadhi ya mawaziri pamoja na maafisa waandamizi/ makatibu wakuu wakifuatilia mkutano wa Baraza la Mawaziri wa SADC uliofanyika kwa njia ya (Video Conference) leo Jijini Dar es Salaam.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/f5ccf190-c862-4551-b8ae-0477f46a625d.jpg)
Baadhi ya maafisa waandamizi/ makatibu wakuu wakifuatilia mkutano wa...
5 years ago
BBCSwahili19 May
Virusi vya Corona: Tanzania yaondosha zuio la usafiri wa ndege
5 years ago
BBCSwahili29 Apr
Virusi vya corona: India yakataa vifaa vya kupima virusi hivyo kutoka China
5 years ago
BBCSwahili03 Jun
Virusi vya corona: Jinsi virusi vya corona vinavyobadilisha tabia za raia wa Sierre Leone