Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Raia wa China akutwa na nyara akijiandaa kusafiri

Raia wa China, amekamatwa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), akiwa na kucha 10 za simba zenye thamani ya Sh8.3 milioni.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

RAIA WA CHINA WAZIDI KUKUMBANA NA ZUIO LA KUSAFIRI KUDHIBITI KUENEA KWA VIRUSI VYA COVID 19

Na Leandra Gabriel, Michuzi TV

NUSU ya idadi ya raia wa China ambao wamefikia zaidi wa watu milioni 780 wamekumbana zuio la kusafiri ikiwa ni sehemu ya mlengo wa Mamlaka husika inayoendelea  kudhibiti kuenea kwa virusi vya Corona (Covid 19)

Tangu virusi hivyo vimeikumba nchi hiyo takribani watu 1,770 wamepoteza maisha huku watu 70,000 wakiwa wameambukizwa virusi hivyo, kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na shirika la Utangazaji CNN imeelezwa kuwa kumekuwa na zuio la safari na msisitizo kwa watu...

 

10 years ago

Mwananchi

Miss Honduras 2014 aliyetekwa nyara, akutwa amekufa

 Polisi wa Honduras wamesema wamepata miili inayodhaniwa kuwa ya mrembo wa nchi hiyo aliyepotea siku sita zilizopita pamoja na dada yake.

 

9 years ago

BBCSwahili

Bashir kusafiri kwenda China

Rais wa Sudan Omar al-Bashir anatarajiwa kusafiri kwenda nchini China na kupuuza waranti wa kakamatwa dhidi yake

 

10 years ago

GPL

WASAFIRI RAIA WA CAMEROON WATEKWA NYARA

Wasafiri kadhaa raia wa Cameroon wameripotiwa kutekwa nyara na watu wasiojulikana karibu na mpaka wa Jamhuri ya Afrika ya Kati. Duru za kuaminika zimeripoti kuwa, watu hao 15 wametekwa nyara na watu wenye silaha wa kundi linaloongozwa na mtu mmoja anayetambulika kwa jina la Abdoulaye Miskine, huko kaskazini mashariki mwa Cameroon karibu na mpaka wa pamoja na Jamhuri ya Afrika ya Kati. Chanzo kimoja cha usalama nchini Cameroon...

 

10 years ago

Habarileo

Raia wapya wakamatwa na nyara za serikali

POLISI mkoani Katavi imewakamata raia wapya watatu waliokuwa wakimbizi kutoka Burundi kwa kujihusisha na biashara haramu ya meno ya tembo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Nigeria yakiri kutekwa nyara kwa raia

Serikali ya Nigeria imekiri kwamba raia,wakiwemo watoto wametekwa nyara na wapiganaji wa Boko Haram katika majuma ya hivi karibuni.

 

5 years ago

BBCSwahili

Kenya: Raia alichapwa viboko na raia wa China baada ya kusemekana alichelewa kazini

Kenya raia wanne wa Uchina wamekamatwa na polisi Kenya baada ya kusambaa kwa video mtandaoni ikionesha mkenya akichapwa viboko.

 

10 years ago

Mwananchi

Raia wa Afrika Kusini akutwa amekufa makaburini Dar es Salaam

Tukio la kuokotwa mwili wa raia wa Afrika Kusini makaburini jijini Dar es Salaam hivi karibuni kumeacha maswali mengi huku polisi wakilipiga danadana.

 

10 years ago

BBCSwahili

Raia wa china na udanganyifu kielimu

Raia 15 wa China wamefunguliwa mashitaka nchini Marekani kwa tuhuma za udanganyifu wa matokeo na nyaraka za kitaaluma walizozitumia kujiunga na elimu ya juu nchini Marekani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani