Raia wapya wakamatwa na nyara za serikali
POLISI mkoani Katavi imewakamata raia wapya watatu waliokuwa wakimbizi kutoka Burundi kwa kujihusisha na biashara haramu ya meno ya tembo.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLWATATU WAKAMATWA NA NYARA ZA SERIKALI MBAGALA, DAR
11 years ago
Tanzania Daima13 Jul
Wakamatwa na nyara za mil. 200/-
WATU sita wakazi wa wilayani ya Manyoni mkoani Singida, wanashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za kukutwa na nyara za serikali zenye thamani ya zaidi ya sh. milioni 200....
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/udqKvOQQNZw9oy-V3TakgLAgstx1JX*yjCgcVVtjcXpSxpHrnwLIa8011ecWDi8P9LD2yGeGwdHsYpTe66yLgaj0uHPzh5Lr/centralafricanreprap.gif?width=650)
WASAFIRI RAIA WA CAMEROON WATEKWA NYARA
10 years ago
Mwananchi31 Oct
Raia wa China akutwa na nyara akijiandaa kusafiri
10 years ago
BBCSwahili25 Mar
Nigeria yakiri kutekwa nyara kwa raia
9 years ago
BBCSwahili08 Oct
Pembe za ndovu:Raia wa Uchina wakamatwa TZ
10 years ago
Mtanzania19 Feb
Raia wa kigeni wakamatwa na madini JNIA
Na Ruth Mnkeni, Dar es Salaam
RAIA wa kigeni wanaofanya biashara haramu ya madini wamekamatwa na madini yenye thamani ya Dola za Marekani 113,807.11 sawa Sh milioni 641.853 katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA).
Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, Mkurugenzi wa Fedha na Utawala wa TMAA, Bron Mteta alisema watu hao walikamatwa katika matukio 27 tofauti huku wakiwa na madini ya aina mbalimbali.
Alisema miongoni mwa matukio hayo ni pamoja na lile la...
10 years ago
MichuziWAHAMIAJI HARAMU 64 RAIA WA ETHIOPIA WAKAMATWA MKOANI DODOMA
Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma kwa kushirikiana na Wananchi limewakamata Wahamiaji haramu 64 raia wa nchi ya ETHIOPIA (Wahabeshi) katika Kijiji cha KIDOKA, Kata ya KIDOKA, Tarafa ya GOIMA, Wilaya ya na CHEMBA na Mkoa wa DODOMA, mmoja kati yao alikutwa akiwa amefariki dunia aliyetambuliwa kwa jina moja la TAJIRU anayekadiriwa kuwa na umri kati ya miaka 25 – 30. Watu hao walikuwa wakisafirishwa kwa Lori lenye namba za usajili T.353 AYW Mitsubishi...
10 years ago
BBCSwahili14 Dec
Raia wa Japan kuwachagua wabunge wapya