Nigeria yakiri kutekwa nyara kwa raia
Serikali ya Nigeria imekiri kwamba raia,wakiwemo watoto wametekwa nyara na wapiganaji wa Boko Haram katika majuma ya hivi karibuni.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili22 May
Apatikana miaka 10 baada kutekwa nyara
Mwanamke wa miaka 25 Marekani, aliyepotea miaka 10 iliyopita, amewaambia polisi alilazimika kuolewa na kuzaa na aliyemteka nyara.
10 years ago
BBCSwahili07 Jan
Nigeria yathibitisha kutekwa kwa kambi
Waziri wa Ulinzi wa Nigeria amethibitisha kuwa kambi yake moja ya kijeshi mpakani mwa Nigeria na Chad, imetwaliwa na wapiganaji
10 years ago
BBCSwahili22 May
Marekani yakiri kuua raia
Marekani imekiri, kwa mara ya kwanza kuhusika na mapigano ya anga dhidi ya kikosi cha kiislamu yaliyopelekea baadhi ya raia kuuawa.
10 years ago
Habarileo17 May
Raia wapya wakamatwa na nyara za serikali
POLISI mkoani Katavi imewakamata raia wapya watatu waliokuwa wakimbizi kutoka Burundi kwa kujihusisha na biashara haramu ya meno ya tembo.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/udqKvOQQNZw9oy-V3TakgLAgstx1JX*yjCgcVVtjcXpSxpHrnwLIa8011ecWDi8P9LD2yGeGwdHsYpTe66yLgaj0uHPzh5Lr/centralafricanreprap.gif?width=650)
WASAFIRI RAIA WA CAMEROON WATEKWA NYARA
Wasafiri kadhaa raia wa Cameroon wameripotiwa kutekwa nyara na watu wasiojulikana karibu na mpaka wa Jamhuri ya Afrika ya Kati. Duru za kuaminika zimeripoti kuwa, watu hao 15 wametekwa nyara na watu wenye silaha wa kundi linaloongozwa na mtu mmoja anayetambulika kwa jina la Abdoulaye Miskine, huko kaskazini mashariki mwa Cameroon karibu na mpaka wa pamoja na Jamhuri ya Afrika ya Kati. Chanzo kimoja cha usalama nchini Cameroon...
10 years ago
Mwananchi31 Oct
Raia wa China akutwa na nyara akijiandaa kusafiri
Raia wa China, amekamatwa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), akiwa na kucha 10 za simba zenye thamani ya Sh8.3 milioni.
11 years ago
BBCSwahili17 Mar
Serikali yakiri makosa ya vurumai Nigeria
Serikali ya Nigeria imekiri makosa yaliyosababisha mkanyagano wa watu pale walipokuwa wakihudhuria zoezi la serikali la kuwaajiri watu kazi nchini humo.
11 years ago
BBCSwahili24 Jun
Wanawake zaidi watekwa nyara Nigeria
Inaripotiwa kuwa wanawake pamoja na wasichana sitini wametekwa nyara Kaskazini Mashariki mwa Nigeria wiki iliyopita.
11 years ago
BBCSwahili06 May
Wasichana zaidi watekwa nyara Nigeria
Washukiwa wa kundi la wapiganaji wa kiisilamu nchini Nigeria, Boko Haram, wamewateka nyara wasichana wengine 8 Kaskazini Mashariki mwa Nigeria.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania