Ghasia Burundi:Raia wakimbilia Tanzania
Kutokana na ghasia nchini Burundi,inakadiriwa karibu raia wa Burundi elfu ishirini wamevuka kuingia nchi jirani ya Tanzania
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili02 Apr
Raia wa Yemen wakimbilia Somalia
Mashirika ya umoja wa mataifa yamesema kuwa mamia ya raia wa Yemen wamevuka ghuba ya Aden kwa kutumia boti ndogo.
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-0NPuUIab-xU/VU5KWaBfTEI/AAAAAAAAe7c/kTJYQG1FgVw/s72-c/CElCboSWoAEJVcC.jpg)
RAIA WA BURUNDI WAZIDI KUINGIA TANZANIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-0NPuUIab-xU/VU5KWaBfTEI/AAAAAAAAe7c/kTJYQG1FgVw/s640/CElCboSWoAEJVcC.jpg)
10 years ago
BBCSwahili08 May
Raia wa Burundi waomba hifadhi Tanzania
Zaidi ya raia elfu 20 kutoka nchini Burundi wapo magharibi mwa Tanzania wakitaka kuvuka ziwa Tanganyika kuomba hifadhi.
10 years ago
BBCSwahili28 Mar
Raia wapiga kura licha ya ghasia Nigeria
Raia wa Nigeria wamejitokeza kwa wingi kushiriki katika uchaguzi wa urais na ubunge ,licha ya visa vichache vya ghasia
9 years ago
BBCSwahili25 Nov
Ghasia:Watu 75 waachiliwa huru Burundi
Mahakama nchini Burundi imetangaza kuachiliwa huru kwa watu 75 kati ya zaidi ya watu 250 waliozuiliwa kuhusiana na ghasia zinazoendelea nchini humo.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-dnMa02sjzgs/XlbV1BTsXNI/AAAAAAALfoY/SEVZdCraK2gFQu8PBnT9z7gHE7Q4k7iIgCLcBGAsYHQ/s72-c/4bpmd7e85570fc11veg_800C450.jpg)
Makumi wauawa katika ghasia za kabla ya uchaguzi Burundi
![](https://1.bp.blogspot.com/-dnMa02sjzgs/XlbV1BTsXNI/AAAAAAALfoY/SEVZdCraK2gFQu8PBnT9z7gHE7Q4k7iIgCLcBGAsYHQ/s640/4bpmd7e85570fc11veg_800C450.jpg)
Vyombo vya dola nchini humo vimeripoti kuwa, watu hao waliuawa katika mji mkuu Bujumbura, na kwamba maafisa wawili wa polisi wameuawa pia katika ghasia hizo za kabla ya uchaguzi.
Vyombo vya usalama nchini Burundi vimesema kuwa, vimewatia mbaroni watu sita wanaohusishwa na uhalifu huo wa kabla ya uchaguzi unaotazamiwa kufanyika mwezi Mei mwaka huu....
10 years ago
Habarileo30 May
Raia 4 wa Burundi watupwa jela
RAIA wanne wa Burundi wamehukumiwa kifungo cha miaka miwili jela kila mmoja, baada ya kutiwa hatiani kwa kosa la kuishi nchini bila ya kuwa na kibali.
10 years ago
BBCSwahili19 May
Kipindupindu chawaua raia 15 wa Burundi
Wakimbizi 15 wa Burundi, wamefariki kutokana na ugonjwa wa kipindupindu, baada ya kukimbilia usalama wao nchini Tanzania kwa mashua wakitokea nchini mwao Burundi.
10 years ago
BBCSwahili13 May
Raia wa Burundi watoa ya moyoni
Marais Jumuiya ya Afrika Mashariki wanakutana leo jijini Dar Es Salaam kujadili mgogoro wa kisiasa unaendelea nchini Burundi.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania