Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Raia wa Yemen wakimbilia Somalia

Mashirika ya umoja wa mataifa yamesema kuwa mamia ya raia wa Yemen wamevuka ghuba ya Aden kwa kutumia boti ndogo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Ghasia Burundi:Raia wakimbilia Tanzania

Kutokana na ghasia nchini Burundi,inakadiriwa karibu raia wa Burundi elfu ishirini wamevuka kuingia nchi jirani ya Tanzania

 

10 years ago

BBCSwahili

Raia waandamana dhidi ya Houthi Yemen

Maelfu ya watu wameingia katika mitaa ya mji wa Yemen Sanaa katika maandamano ya kupinga waasi wa kishia wa Houthi

 

10 years ago

BBCSwahili

Saudia yawaondoa raia wake Yemen kusini

Saudi Arabia imedaiwa kuwahamisha raia wake na wanadiplomasia wa kigeni kutoka mji wa bandari ya Aden kusini mwa Yemen .

 

11 years ago

Tanzania Daima

Raia wa Yemen ahukumiwa kwa kuingia nchini kinyume cha sheria

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, imemuhukumu Hassan Said Awadh (48), raia wa Yemen kulipa faini ya sh 300,000 au kwenda jela miaka mitatu kwa makosa mawili ikiwamo kuingia nchini kinyume...

 

10 years ago

BBCSwahili

Hatukushambulia raia Somalia:Marekani

Marekani imesema kuwa bado inatafakari matokeo ya shambulio la anga lililofanyika Kusini mwa Somali.

 

5 years ago

Michuzi

KORTI YAMUHUKUMU RAIA WA SOMALIA KWENDA JELA MIAKA MITATU

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imemuhukumu raia wa Somalia, Jama Jes (50), kulipa faini ya Sh. Milioni moja ama kwenda jela miaka mitatu baada ya kupatikana na hatia ya kuishi nchini bila kuwa na kibali.

Hukumu hiyo imetolewa jana Hakimu Mkazi Mkuu, Thomas Simba baada ya mshtakiwa huyo kukiri shtaka lake na hivyo kutiwa hatiani.

Akisoma hukumu hiyo Hakimu Simba amesema amezingatia maombi ya mshtakiwa kuwa anategemewa na familia na hivyo, mahakama imemuhukumu kulipa faini ya Sh. Milioni moja...

 

10 years ago

GPL

MASTAA WAKIMBILIA KANISANI KUJISALIMISHA

Stori: Waandishi Wetu
HUKU maajabu mengi yakiendelea kutokea kila kukicha na hivyo kuashiria mwisho wa dunia unakaribia, mastaa kibao wa filamu wameonekana kujisalimisha kanisani na kuhudhuria ibada ya kiroho ya Inuka Uangaze maeneo ya Vatican -Sinza jijini Dar es Salaam. Mc Pilipili. Chanzo makini kilicho ndani ya kanisa hilo kilisema kwamba wasanii wengi wamevutiwa na huduma hiyo ambayo maombi yake hufanyika kila Jumanne na...

 

10 years ago

Raia Mwema

Wabunge Ukawa wakimbilia CCM

ANGALAU wabunge wanne kutoka katika vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) wataham

Mwandishi Wetu

 

11 years ago

BBCSwahili

Waisilamu wakimbilia usalama CAR

Wanajeshi wa Ufaransa na Umoja wa Afrika wameusindikiza msafara wa Waislamu zaidi ya Elfu Moja waliokuwa wanaondoka mjini Bangui katika Jamhuri ya Afrika ya Kati.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani