Raia wa Yemen wakimbilia Somalia
Mashirika ya umoja wa mataifa yamesema kuwa mamia ya raia wa Yemen wamevuka ghuba ya Aden kwa kutumia boti ndogo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili09 May
Ghasia Burundi:Raia wakimbilia Tanzania
Kutokana na ghasia nchini Burundi,inakadiriwa karibu raia wa Burundi elfu ishirini wamevuka kuingia nchi jirani ya Tanzania
10 years ago
BBCSwahili24 Jan
Raia waandamana dhidi ya Houthi Yemen
Maelfu ya watu wameingia katika mitaa ya mji wa Yemen Sanaa katika maandamano ya kupinga waasi wa kishia wa Houthi
10 years ago
BBCSwahili28 Mar
Saudia yawaondoa raia wake Yemen kusini
Saudi Arabia imedaiwa kuwahamisha raia wake na wanadiplomasia wa kigeni kutoka mji wa bandari ya Aden kusini mwa Yemen .
11 years ago
Tanzania Daima23 Oct
Raia wa Yemen ahukumiwa kwa kuingia nchini kinyume cha sheria
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, imemuhukumu Hassan Said Awadh (48), raia wa Yemen kulipa faini ya sh 300,000 au kwenda jela miaka mitatu kwa makosa mawili ikiwamo kuingia nchini kinyume...
10 years ago
BBCSwahili30 Dec
Hatukushambulia raia Somalia:Marekani
Marekani imesema kuwa bado inatafakari matokeo ya shambulio la anga lililofanyika Kusini mwa Somali.
5 years ago
Michuzi
KORTI YAMUHUKUMU RAIA WA SOMALIA KWENDA JELA MIAKA MITATU

Hukumu hiyo imetolewa jana Hakimu Mkazi Mkuu, Thomas Simba baada ya mshtakiwa huyo kukiri shtaka lake na hivyo kutiwa hatiani.
Akisoma hukumu hiyo Hakimu Simba amesema amezingatia maombi ya mshtakiwa kuwa anategemewa na familia na hivyo, mahakama imemuhukumu kulipa faini ya Sh. Milioni moja...
10 years ago
GPL
MASTAA WAKIMBILIA KANISANI KUJISALIMISHA
Stori: Waandishi Wetu
HUKU maajabu mengi yakiendelea kutokea kila kukicha na hivyo kuashiria mwisho wa dunia unakaribia, mastaa kibao wa filamu wameonekana kujisalimisha kanisani na kuhudhuria ibada ya kiroho ya Inuka Uangaze maeneo ya Vatican -Sinza jijini Dar es Salaam. Mc Pilipili. Chanzo makini kilicho ndani ya kanisa hilo kilisema kwamba wasanii wengi wamevutiwa na huduma hiyo ambayo maombi yake hufanyika kila Jumanne na...
10 years ago
Raia Mwema01 Jul
Wabunge Ukawa wakimbilia CCM
ANGALAU wabunge wanne kutoka katika vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) wataham
Mwandishi Wetu
11 years ago
BBCSwahili30 Apr
Waisilamu wakimbilia usalama CAR
Wanajeshi wa Ufaransa na Umoja wa Afrika wameusindikiza msafara wa Waislamu zaidi ya Elfu Moja waliokuwa wanaondoka mjini Bangui katika Jamhuri ya Afrika ya Kati.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania