Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hatukushambulia raia Somalia:Marekani

Marekani imesema kuwa bado inatafakari matokeo ya shambulio la anga lililofanyika Kusini mwa Somali.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Raia wa Yemen wakimbilia Somalia

Mashirika ya umoja wa mataifa yamesema kuwa mamia ya raia wa Yemen wamevuka ghuba ya Aden kwa kutumia boti ndogo.

 

5 years ago

Michuzi

KORTI YAMUHUKUMU RAIA WA SOMALIA KWENDA JELA MIAKA MITATU

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imemuhukumu raia wa Somalia, Jama Jes (50), kulipa faini ya Sh. Milioni moja ama kwenda jela miaka mitatu baada ya kupatikana na hatia ya kuishi nchini bila kuwa na kibali.

Hukumu hiyo imetolewa jana Hakimu Mkazi Mkuu, Thomas Simba baada ya mshtakiwa huyo kukiri shtaka lake na hivyo kutiwa hatiani.

Akisoma hukumu hiyo Hakimu Simba amesema amezingatia maombi ya mshtakiwa kuwa anategemewa na familia na hivyo, mahakama imemuhukumu kulipa faini ya Sh. Milioni moja...

 

11 years ago

BBCSwahili

Marekani kumteua balozi wa Somalia

Rais Barack Obama apanga kumteua balozi wake nchini Somalia mara ya kwanza katika kipindi cha miaka 20

 

10 years ago

BBCSwahili

Benki ya Marekani yafunga huduma Somalia

Benki moja nchini Marekani inayoshughulikia asilimia themanini ya fedha zinazotumwa nchini Somalia itafunga huduma yake Ijumaa

 

9 years ago

BBCSwahili

Somalia yafungua tena ubalozi Marekani

Somalia itafungua tena ubalozi wake nchini Marekani leo miaka 25 baada ya ubalozi huo kufungwa.

 

9 years ago

BBCSwahili

Raia wa Marekani kuondoka Burundi

Marekani imetaka Raia wake walio nchini Burundi kuondoka nchini humo

 

10 years ago

BBCSwahili

Raia wa Marekani akatwa shingo na IS

Kand ya video inaonyesha mauaji ya mtu kwa utoa huduma za misaada raia wa Marekani Abdul Rahman Kassig

 

10 years ago

BBCSwahili

Marekani yakiri kuua raia

Marekani imekiri, kwa mara ya kwanza kuhusika na mapigano ya anga dhidi ya kikosi cha kiislamu yaliyopelekea baadhi ya raia kuuawa.

 

10 years ago

GPL

RAIA WA MAREKANI NA A.KUSINI WAUAWA

Raia wa marekani Luke Somers na mwenzak wa Afrika kusini Pierre Korkie wameuawa na wapiganaji wa kundi la Alqaeda nchini Yemen. Mwaandishi wa Mmarekani, Luke Somers na mwalimu raia wa Afrika Kusini, Pierre Korkie wameuwawa na wapiganaji wa Al-Qaeda nchini Yemen katika juhudi za kuwaokoa. Oparesheni hiyo ya kuwaokoa iliongozwa na vikosi maaulum vya Marekani na Yemen katika jimbo la kusini la Shabwa. Mwalimu raia wa Afrika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani