Raia wa Marekani kuondoka Burundi
Marekani imetaka Raia wake walio nchini Burundi kuondoka nchini humo
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo514 Nov
Mayunga kuondoka Jumatatu kwenda Marekani kurekodi wimbo na Akon
![yunga akon](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/yunga-akon-300x194.jpg)
Mwimbaji wa Tanzania, Mayunga Nalimi ambaye ni mshindi wa Airtel Trace Music Stars 2015 anatarajia kuondoka nchini Jumatatu (Nov. 16), kuelekea New York, Marekani kwajili ya kurekodi wimbo na mwimbaji mwenye asili ya Senegal, Akon.
Kupitia kipindi cha XXL cha Clouds Fm, Mayunga ametaja mambo matatu anayokwenda kufanya Marekani.
“…naenda kupata hiyo mentorship, kufanya wimbo, na vilevile kushoot video ya wimbo ambao nitaufanya” alisema Mayunga.
Ameongeza kuwa wimbo anaoenda kurekodi...
10 years ago
Habarileo30 May
Raia 4 wa Burundi watupwa jela
RAIA wanne wa Burundi wamehukumiwa kifungo cha miaka miwili jela kila mmoja, baada ya kutiwa hatiani kwa kosa la kuishi nchini bila ya kuwa na kibali.
10 years ago
BBCSwahili19 May
Kipindupindu chawaua raia 15 wa Burundi
10 years ago
BBCSwahili13 May
Raia wa Burundi watoa ya moyoni
10 years ago
VijimamboWAZIRI WA MALIASILI NA UTALII, LAZARO NYARANDU AAGIZA ASKARI WA MAREKANI KUONDOKA KATIKA HIFADHI
NA LOVENESS BERNARD, Mwanza
Waziri wa Maliasili na Utali, Lazaro Nyalandu amekipiga marufuku kikundi cha wanajeshi wastaafu wa Marekani (Vetpaw) ambacho kinadai kupambana na majangili nchini.
Akizungumza na waandishi wa habari Waziri Nyalandu alisema kuwa kikundi hicho kimekuwa kikitumia...
10 years ago
BBCSwahili08 May
Raia wa Burundi waomba hifadhi Tanzania
10 years ago
BBCSwahili09 May
Ghasia Burundi:Raia wakimbilia Tanzania
9 years ago
BBCSwahili14 Dec
Vijana wakesha kuwakumbuka Raia Burundi
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-0NPuUIab-xU/VU5KWaBfTEI/AAAAAAAAe7c/kTJYQG1FgVw/s72-c/CElCboSWoAEJVcC.jpg)
RAIA WA BURUNDI WAZIDI KUINGIA TANZANIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-0NPuUIab-xU/VU5KWaBfTEI/AAAAAAAAe7c/kTJYQG1FgVw/s640/CElCboSWoAEJVcC.jpg)