Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vijana wakesha kuwakumbuka Raia Burundi

Vijana walikusanyika jijini Nairobi Kenya kuwakumbuka waliopoteza maisha kwenye ghasia za siku ya Ijumaa

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Benki ya NBC yawapiga jeki vijana na kuwakumbuka yatima

Kaimu Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa Benki ya NBC, Rukia Mtingwa (kushoto) akitoa elimu kuhusu ujasiriamali na baadhi ya vijana kutoka vyuoni walio katika kambi maalumu iliyoandaliwa na kampuni ya Maa Media kwa udhamini wa NBC mjini Bagamoyo, Pwani hivi karibuni. NBC ilitoa kiasi cha zaidi ya shs milioni 100 ambapo mbali na ujasiriamali vijana hao walifundishwa pia madhara na jinsi ya kuepuka matumizi ya madawa ya kulevya. Meneja Huduma za Jamii wa NBC, Irene Peter (kulia),...

 

10 years ago

Habarileo

Raia 4 wa Burundi watupwa jela

RAIA wanne wa Burundi wamehukumiwa kifungo cha miaka miwili jela kila mmoja, baada ya kutiwa hatiani kwa kosa la kuishi nchini bila ya kuwa na kibali.

 

10 years ago

BBCSwahili

Raia wa Burundi watoa ya moyoni

Marais Jumuiya ya Afrika Mashariki wanakutana leo jijini Dar Es Salaam kujadili mgogoro wa kisiasa unaendelea nchini Burundi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kipindupindu chawaua raia 15 wa Burundi

Wakimbizi 15 wa Burundi, wamefariki kutokana na ugonjwa wa kipindupindu, baada ya kukimbilia usalama wao nchini Tanzania kwa mashua wakitokea nchini mwao Burundi.

 

9 years ago

BBCSwahili

Raia wa Marekani kuondoka Burundi

Marekani imetaka Raia wake walio nchini Burundi kuondoka nchini humo

 

10 years ago

BBCSwahili

Ghasia Burundi:Raia wakimbilia Tanzania

Kutokana na ghasia nchini Burundi,inakadiriwa karibu raia wa Burundi elfu ishirini wamevuka kuingia nchi jirani ya Tanzania

 

10 years ago

BBCSwahili

Raia wa Burundi waandamana dhidi ya rais

Polisi nchini Burundi wamerusha vitoa machozi na maji, ili kuwatawanya mamia ya waandamanaji katika mji mkuu Bujumbura.

 

10 years ago

BBCSwahili

Raia wa Burundi waomba hifadhi Tanzania

Zaidi ya raia elfu 20 kutoka nchini Burundi wapo magharibi mwa Tanzania wakitaka kuvuka ziwa Tanganyika kuomba hifadhi.

 

10 years ago

Vijimambo

RAIA WA BURUNDI WAZIDI KUINGIA TANZANIA

Hali halisi ya eneo la mpakani ambapo raia wanaokimbia kutoka Burundi wamekwama wakisubiri kuvushwa ili kuingia hifadhini nchini Tanzania. Picha na maelezo kwa hisani ya Wavuti

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani