Vijana wakesha kuwakumbuka Raia Burundi
Vijana walikusanyika jijini Nairobi Kenya kuwakumbuka waliopoteza maisha kwenye ghasia za siku ya Ijumaa
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziBenki ya NBC yawapiga jeki vijana na kuwakumbuka yatima
10 years ago
Habarileo30 May
Raia 4 wa Burundi watupwa jela
RAIA wanne wa Burundi wamehukumiwa kifungo cha miaka miwili jela kila mmoja, baada ya kutiwa hatiani kwa kosa la kuishi nchini bila ya kuwa na kibali.
10 years ago
BBCSwahili13 May
Raia wa Burundi watoa ya moyoni
Marais Jumuiya ya Afrika Mashariki wanakutana leo jijini Dar Es Salaam kujadili mgogoro wa kisiasa unaendelea nchini Burundi.
10 years ago
BBCSwahili19 May
Kipindupindu chawaua raia 15 wa Burundi
Wakimbizi 15 wa Burundi, wamefariki kutokana na ugonjwa wa kipindupindu, baada ya kukimbilia usalama wao nchini Tanzania kwa mashua wakitokea nchini mwao Burundi.
9 years ago
BBCSwahili14 Dec
Raia wa Marekani kuondoka Burundi
Marekani imetaka Raia wake walio nchini Burundi kuondoka nchini humo
10 years ago
BBCSwahili09 May
Ghasia Burundi:Raia wakimbilia Tanzania
Kutokana na ghasia nchini Burundi,inakadiriwa karibu raia wa Burundi elfu ishirini wamevuka kuingia nchi jirani ya Tanzania
10 years ago
BBCSwahili17 Apr
Raia wa Burundi waandamana dhidi ya rais
Polisi nchini Burundi wamerusha vitoa machozi na maji, ili kuwatawanya mamia ya waandamanaji katika mji mkuu Bujumbura.
10 years ago
BBCSwahili08 May
Raia wa Burundi waomba hifadhi Tanzania
Zaidi ya raia elfu 20 kutoka nchini Burundi wapo magharibi mwa Tanzania wakitaka kuvuka ziwa Tanganyika kuomba hifadhi.
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-0NPuUIab-xU/VU5KWaBfTEI/AAAAAAAAe7c/kTJYQG1FgVw/s72-c/CElCboSWoAEJVcC.jpg)
RAIA WA BURUNDI WAZIDI KUINGIA TANZANIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-0NPuUIab-xU/VU5KWaBfTEI/AAAAAAAAe7c/kTJYQG1FgVw/s640/CElCboSWoAEJVcC.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania