Benki ya NBC yawapiga jeki vijana na kuwakumbuka yatima
Kaimu Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa Benki ya NBC, Rukia Mtingwa (kushoto) akitoa elimu kuhusu ujasiriamali na baadhi ya vijana kutoka vyuoni walio katika kambi maalumu iliyoandaliwa na kampuni ya Maa Media kwa udhamini wa NBC mjini Bagamoyo, Pwani hivi karibuni. NBC ilitoa kiasi cha zaidi ya shs milioni 100 ambapo mbali na ujasiriamali vijana hao walifundishwa pia madhara na jinsi ya kuepuka matumizi ya madawa ya kulevya.
Meneja Huduma za Jamii wa NBC, Irene Peter (kulia),...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-iPi2gSL8ffY/Uu4eGNfl7HI/AAAAAAAFKQw/oQshwggiR7I/s72-c/unnamed+(11).jpg)
WAZAZI WAKUMBUKENI WATOTO YATIMA-NBC BENKI
![](http://2.bp.blogspot.com/-iPi2gSL8ffY/Uu4eGNfl7HI/AAAAAAAFKQw/oQshwggiR7I/s1600/unnamed+(11).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-H_Y6-hmyORs/U4lvC68S-vI/AAAAAAAFmr4/D5pSR-kCqKI/s72-c/unnamed+(91).jpg)
Wafanyakazi wa Benki ya NBC waipiga jeki timu ya watoto wenye ulemavu wa akili Zanzibar
![](http://3.bp.blogspot.com/-H_Y6-hmyORs/U4lvC68S-vI/AAAAAAAFmr4/D5pSR-kCqKI/s1600/unnamed+(91).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-nMpDg59Mvl4/U4lvDGP2fbI/AAAAAAAFmsE/YflKfPs6AtE/s1600/unnamed+(92).jpg)
11 years ago
GPLWAZAZI WAKUMBUKENI WATOTO YATIMA - BENKI YA NBC
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-f13zDhFYr0E/VnP7NglhvnI/AAAAAAAINPI/jqBEvrMvs3Y/s72-c/01.jpg)
Benki ya NBC yazidi kuwawezesha vijana kiuchumi
![](http://4.bp.blogspot.com/-f13zDhFYr0E/VnP7NglhvnI/AAAAAAAINPI/jqBEvrMvs3Y/s640/01.jpg)
10 years ago
MichuziBENKI YA NBC YASAIDIA TATIZO LA AJIRA KWA VIJANA
9 years ago
MichuziBenki ya NBC yawezesha mafunzo ya ujasiriamali kwa vijana
10 years ago
MichuziBENKI YA NBC NA ENVIROCARE KUWAKOMBOA VIJANA KUPITIA MRADI WA MAZINGIRA
10 years ago
Habarileo04 May
USAID yawapiga jeki wasioona
CHAMA cha Walemavu Wasioona nchini hapa (ZANAB) wamepokea msaada wa vifaa vya kompyuta vinavyotafsiri maneno ya kawaida kwenda kwenye mfumo wa brail, unaotumiwa na walemavu hao kufahamu maneno yaliyoandikwa.
11 years ago
Uhuru Newspaper01 Jul
TPB yawapiga jeki Kyela
NA MWANDISHI WETU
WAZIRI wa Uchukuzi, Dk. Harrison Mwakyembe, amepokea hundi ya sh. milioni 5 kutoka Benki ya Posta Tanzania (TPB) kwa lengo la kuwasaidia wananchi wa Kyela walioathirika na mafuriko ya mvua za masika.
Mvua hizo zilitokea mwanzoni mwa mwaka huu na kusababisha madhara makubwa kwa wananchi na miundombinu.
Makabidhiano hayo yalifanyika jana katika Makao Makuu ya TPB, ambapo Dk. Mwakyembe, ambaye pia ni Mbunge wa Kyela, alishukuru kwa mchango huo na kueleza kuwa utatumika kama...