Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TPB yawapiga jeki Kyela


NA MWANDISHI WETU
WAZIRI wa Uchukuzi, Dk. Harrison Mwakyembe, amepokea hundi ya sh. milioni 5 kutoka Benki ya Posta Tanzania (TPB) kwa lengo la kuwasaidia wananchi wa Kyela walioathirika na mafuriko ya mvua za masika.
Mvua hizo zilitokea mwanzoni mwa mwaka huu na kusababisha madhara makubwa kwa wananchi na miundombinu.
Makabidhiano hayo yalifanyika jana katika Makao Makuu ya TPB, ambapo Dk. Mwakyembe, ambaye pia ni Mbunge wa Kyela, alishukuru kwa mchango huo na kueleza kuwa utatumika kama...

Uhuru Newspaper

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

USAID yawapiga jeki wasioona

CHAMA cha Walemavu Wasioona nchini hapa (ZANAB) wamepokea msaada wa vifaa vya kompyuta vinavyotafsiri maneno ya kawaida kwenda kwenye mfumo wa brail, unaotumiwa na walemavu hao kufahamu maneno yaliyoandikwa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

TPB yampiga jeki Mwakyembe

WAZIRI wa Uchukuzi, Dk. Harisson Mwakyembe, amepokea hundi ya sh milioni tano kutoka Benki ya Posta Tanzania (TPB) kwa lengo la kuwasaidia wananchi wa Wilaya ya Kyela walioathirika na mafuriko...

 

10 years ago

Tanzania Daima

UDA yawapiga jeki Waanglikana, Wasabato

SHIRIKA la Usafiri Dar es Salaam (UDA), limechangia sh milioni 20 kwa makanisa ya Anglikana na Waadventista Wasabato yaliyopo Tabata Segerea, jijini. Akikabidhi michango hiyo, Mkurugenzi wa Bodi ya UDA,...

 

11 years ago

Habarileo

FAO yawapiga jeki wakulima wa mwani

SHIRIKA la Chakula na Kilimo (FAO) limeweka mikakati kuhakikisha wakulima wa zao la mwani wanapiga hatua kubwa na kuongeza mapato na kuondokana na umasikini wa kipato.

 

10 years ago

Michuzi

Benki ya NBC yawapiga jeki vijana na kuwakumbuka yatima

Kaimu Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa Benki ya NBC, Rukia Mtingwa (kushoto) akitoa elimu kuhusu ujasiriamali na baadhi ya vijana kutoka vyuoni walio katika kambi maalumu iliyoandaliwa na kampuni ya Maa Media kwa udhamini wa NBC mjini Bagamoyo, Pwani hivi karibuni. NBC ilitoa kiasi cha zaidi ya shs milioni 100 ambapo mbali na ujasiriamali vijana hao walifundishwa pia madhara na jinsi ya kuepuka matumizi ya madawa ya kulevya. Meneja Huduma za Jamii wa NBC, Irene Peter (kulia),...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kyela waiharakisha CHADEMA

WANANCHI wilayani hapa mkoani Mbeya, wamekitaka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kuanza mapema mchakato wa kulitwaa jimbo la Kyela baada ya jimbo hilo kuwa likizo kwa miaka minane baada...

 

11 years ago

Mwananchi

Mafuriko yaua Kyela

Watu watatu wamefariki dunia na wengine watatu hawajulikani walipo baada ya kukumbwa na mafuriko yaliyotokea katika maeneo mbalimbali wilayani Kyela mkoani Mbeya.

 

10 years ago

Habarileo

Kyela ni Mwakyembe tena

WAZIRI wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Dk Harrison Mwakyembe ambaye pia ni Mbunge wa Kyela anayemaliza muda muda wake, ameshinda kura za maoni katika jimbo hilo akiwabwaga wagombea wenzake tisa waliojitokeza kuwania nafasi hiyo.

 

10 years ago

Mtanzania

Utekaji, mauaji vyatikisa Kyela

Na Mwandishi Wetu, Kyela

WIMBI la utekaji na mauaji ya watoto wa kike katika Kata ya Itunge Wilaya ya Kyela mkoani Mbeya linatisha.

Hali imezidi kuwa mbaya, baada ya watoto wa kike kutekwa na kuuawa kinyama, kisha kunyofolewa viungo katika sehemu za miili yao.

Akizungumza na MTANZANIA jana, Mwenyekiti wa Kitongoji cha Itunge Kaskazini, Amasha Amasha alisema  siku tatu zilizopita kumekuwa na matukio ya utekeji wa watoto, jambo ambalo limezua hofu kubwa katika eneo hilo.

Alisema mwanafunzi wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani