Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kyela ni Mwakyembe tena

WAZIRI wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Dk Harrison Mwakyembe ambaye pia ni Mbunge wa Kyela anayemaliza muda muda wake, ameshinda kura za maoni katika jimbo hilo akiwabwaga wagombea wenzake tisa waliojitokeza kuwania nafasi hiyo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MAFURIKO YALETA MAAFA KYELA, WAZIRI MWAKYEMBE ATUA HUKO

Mbunge wa Kyela Dr. Mwakyembe akikagua Barabara iendayo Bandari ya Kiwira Muda huu  Baadhi ya watu wakigangaika kupita juu ya maji hayo yaliyotokana na Mafuriko…

 

11 years ago

TheCitizen

Mwakyembe requests relief for Kyela flood victims as death toll hits 7

>The Minister for Transport, Dr Harrison Mwakyembe, yesterday appealed  to well-wishers to come forward and help Kyela District residents whose lives have been disrupted by floods in the wake of the ongoing rains.

 

9 years ago

Mwananchi

Treni ya Mwakyembe kurejea tena

Miezi kadhaa baada treni ya kubeba abiria jijini Dar es Salaam kusitisha safari zake kutokana na ubovu, imeelezwa kuwa hali hiyo ni kutokana na uchakavu wa injini.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kyela waiharakisha CHADEMA

WANANCHI wilayani hapa mkoani Mbeya, wamekitaka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kuanza mapema mchakato wa kulitwaa jimbo la Kyela baada ya jimbo hilo kuwa likizo kwa miaka minane baada...

 

11 years ago

Mwananchi

Mafuriko yaua Kyela

Watu watatu wamefariki dunia na wengine watatu hawajulikani walipo baada ya kukumbwa na mafuriko yaliyotokea katika maeneo mbalimbali wilayani Kyela mkoani Mbeya.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Idara ya Elimu Kyela lawamani

WANANCHI kutoka kata mbalimbali wilayani Kyela, Mbeya wameilalamikia Idara ya Elimu iliyopo chini ya halmashauri ya wilaya hiyo kwa kutowaunga mkono katika ujenzi wa shule za msingi. Kauli hiyo ilitolewa...

 

9 years ago

Mtanzania

Utekaji, mauaji vyatikisa Kyela

Na Mwandishi Wetu, Kyela

WIMBI la utekaji na mauaji ya watoto wa kike katika Kata ya Itunge Wilaya ya Kyela mkoani Mbeya linatisha.

Hali imezidi kuwa mbaya, baada ya watoto wa kike kutekwa na kuuawa kinyama, kisha kunyofolewa viungo katika sehemu za miili yao.

Akizungumza na MTANZANIA jana, Mwenyekiti wa Kitongoji cha Itunge Kaskazini, Amasha Amasha alisema  siku tatu zilizopita kumekuwa na matukio ya utekeji wa watoto, jambo ambalo limezua hofu kubwa katika eneo hilo.

Alisema mwanafunzi wa...

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

TPB yawapiga jeki Kyela


NA MWANDISHI WETU
WAZIRI wa Uchukuzi, Dk. Harrison Mwakyembe, amepokea hundi ya sh. milioni 5 kutoka Benki ya Posta Tanzania (TPB) kwa lengo la kuwasaidia wananchi wa Kyela walioathirika na mafuriko ya mvua za masika.
Mvua hizo zilitokea mwanzoni mwa mwaka huu na kusababisha madhara makubwa kwa wananchi na miundombinu.
Makabidhiano hayo yalifanyika jana katika Makao Makuu ya TPB, ambapo Dk. Mwakyembe, ambaye pia ni Mbunge wa Kyela, alishukuru kwa mchango huo na kueleza kuwa utatumika kama...

 

11 years ago

Daily News

Two people drown as canoe capsizes in Kyela


Two people drown as canoe capsizes in Kyela
Daily News
TWO people, including a Form One student at Mwigo Secondary School in Kyela, are feared to have drowned in Kiwira River, thus making the number of people who died due to floods to seven. The victims are reported to have been using a canoe to cross ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani