Kyela ni Mwakyembe tena
WAZIRI wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Dk Harrison Mwakyembe ambaye pia ni Mbunge wa Kyela anayemaliza muda muda wake, ameshinda kura za maoni katika jimbo hilo akiwabwaga wagombea wenzake tisa waliojitokeza kuwania nafasi hiyo.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-1oH0fipr5HI/U1dfc156JWI/AAAAAAAAi-M/556a3zvOXJU/s1600/IMG-20140423-WA0015.jpg)
MAFURIKO YALETA MAAFA KYELA, WAZIRI MWAKYEMBE ATUA HUKO
11 years ago
TheCitizen28 Apr
Mwakyembe requests relief for Kyela flood victims as death toll hits 7
9 years ago
Mwananchi23 Aug
Treni ya Mwakyembe kurejea tena
11 years ago
Tanzania Daima11 Aug
Kyela waiharakisha CHADEMA
WANANCHI wilayani hapa mkoani Mbeya, wamekitaka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kuanza mapema mchakato wa kulitwaa jimbo la Kyela baada ya jimbo hilo kuwa likizo kwa miaka minane baada...
11 years ago
Mwananchi24 Apr
Mafuriko yaua Kyela
11 years ago
Tanzania Daima03 Jan
Idara ya Elimu Kyela lawamani
WANANCHI kutoka kata mbalimbali wilayani Kyela, Mbeya wameilalamikia Idara ya Elimu iliyopo chini ya halmashauri ya wilaya hiyo kwa kutowaunga mkono katika ujenzi wa shule za msingi. Kauli hiyo ilitolewa...
9 years ago
Mtanzania17 Sep
Utekaji, mauaji vyatikisa Kyela
Na Mwandishi Wetu, Kyela
WIMBI la utekaji na mauaji ya watoto wa kike katika Kata ya Itunge Wilaya ya Kyela mkoani Mbeya linatisha.
Hali imezidi kuwa mbaya, baada ya watoto wa kike kutekwa na kuuawa kinyama, kisha kunyofolewa viungo katika sehemu za miili yao.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Mwenyekiti wa Kitongoji cha Itunge Kaskazini, Amasha Amasha alisema siku tatu zilizopita kumekuwa na matukio ya utekeji wa watoto, jambo ambalo limezua hofu kubwa katika eneo hilo.
Alisema mwanafunzi wa...
11 years ago
Uhuru Newspaper01 Jul
TPB yawapiga jeki Kyela
NA MWANDISHI WETU
WAZIRI wa Uchukuzi, Dk. Harrison Mwakyembe, amepokea hundi ya sh. milioni 5 kutoka Benki ya Posta Tanzania (TPB) kwa lengo la kuwasaidia wananchi wa Kyela walioathirika na mafuriko ya mvua za masika.
Mvua hizo zilitokea mwanzoni mwa mwaka huu na kusababisha madhara makubwa kwa wananchi na miundombinu.
Makabidhiano hayo yalifanyika jana katika Makao Makuu ya TPB, ambapo Dk. Mwakyembe, ambaye pia ni Mbunge wa Kyela, alishukuru kwa mchango huo na kueleza kuwa utatumika kama...
11 years ago
Daily News29 Apr
Two people drown as canoe capsizes in Kyela
Daily News
TWO people, including a Form One student at Mwigo Secondary School in Kyela, are feared to have drowned in Kiwira River, thus making the number of people who died due to floods to seven. The victims are reported to have been using a canoe to cross ...