Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Utekaji, mauaji vyatikisa Kyela

Na Mwandishi Wetu, Kyela

WIMBI la utekaji na mauaji ya watoto wa kike katika Kata ya Itunge Wilaya ya Kyela mkoani Mbeya linatisha.

Hali imezidi kuwa mbaya, baada ya watoto wa kike kutekwa na kuuawa kinyama, kisha kunyofolewa viungo katika sehemu za miili yao.

Akizungumza na MTANZANIA jana, Mwenyekiti wa Kitongoji cha Itunge Kaskazini, Amasha Amasha alisema  siku tatu zilizopita kumekuwa na matukio ya utekeji wa watoto, jambo ambalo limezua hofu kubwa katika eneo hilo.

Alisema mwanafunzi wa...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Ahukumiwa kwa utekaji na mauaji

Mwanamume mmoja mwenye asili ya Palestina,amekutwa na hatia ya kuandaa utekaji nyara na hatimaye mauaji ya vijana watatu-West Bank.

 

10 years ago

GPL

UTEKAJI, MAUAJI DAR SI SALAMA TENA

Stori: WAANDISHI WETU
NI kweli Dar si salama tena! Lile sakata la utekaji na mauaji ya watoto, sasa limechukua sura mpya na kulifanya Jiji la Dar kuwa mahali salama kwa kuishi kufuatia kutekwa na kuuawa kwa wasichana wawili na mfanyabiashara mmoja huku watoto wawili wakiwa hawajulikani walipo, Uwazi lina data za kutosha. Marehemu Jack enzi za uhai wake. Kwa nyakati tofauti, gazeti hili limewahi kuripoti mara kadhaa juu ya...

 

10 years ago

Mtanzania

Escrow, urais vyatikisa Kamati Kuu ya CCM

Pg 1NA ELIAS MSUYA, ZANZIBAR
KIKAO cha Kamati Kuu (CC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kilichoketi jana mjini Unguja, Zanzibar chini ya uenyekiti wa Rais Jakaya Kikwete, kilitawaliwa na mjadala wa sakata la Akaunti ya Tegeta Escrow, imeelezwa.
Akizungumza jana jioni baada ya kikao hicho, Katibu wa Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye, alisema miongoni mwa mambo yaliyojadiliwa ni pamoja na Akaunti ya Tegeta Escrow, maadili ya viongozi na uchaguzi ndani ya chama hicho.
“Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya...

 

10 years ago

GPL

VIFO VYA WATOTO WENGINE WAWILI VYATIKISA DAR!

Stori: Haruni Sanchawa
NImajonzi tena! Simanzi kubwa ilitawala kwa wakazi wa Jiji la Dar hususan Ukonga Mazizini kufuatia familia ya Emanuel Chadaha kufiwa na watoto wao wawili, Boniface  (6) na Kelvin (4) katika tukio moja la kuzama kisimani. Majeneza yaliyobeba miili ya watoto hao yakiandaliwa kwa ajili ya mazishi. Vifo hivyo ambavyo vimeacha historia ya kusikitisha, vilitokea Mei 23, mwaka huu tena kwa  mateso makubwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Vitenge vya nyota nyota vyatikisa

Licha ya kuwepo kwa matoleo ya aina mbalimbali za vitenge kwa mwaka huu vipo ambavyo vimeonekana kukubalika na kuvaliwa zaidi.

 

10 years ago

Michuzi

GABRIEL FUIME AFUTIWA KESI YA MAUAJI NA KUWA MAUAJI BILA KUKUSUDIA

 Aliyekuwa Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala, Gabriel Fuime akifikishwa mahakamani wakati wa hatua za awali za kesi hiyo. ------------------------Na Mwene Said wa Globu ya Jamii MAHAKAMA Kuu Tanzania, Kanda ya Dar es Salaam, imefuta  mwenendo wa kesi ya mauaji iliyofunguliwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini dhidi aliyekuwa Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala, Gabriel Fuime na wenzake 11, wanaohusishwa na kuporomoka kwa jingo la ghorofa 16 katika mtaa wa Indira Gandh na kuua watu 27...

 

11 years ago

Habarileo

Alaani utekaji wasichana Nigeria

Balozi Seif Ali IddMAKAMU wa Pili wa Rais Zanzibar, Balozi Seif Ali Idd amesema Serikali inaungana na Chama cha Majaji Wanawake Duniani (IAWJ) kulaani vitendo vya ukatili na utekaji kwa wasichana nchini Nigeria.

 

10 years ago

GPL

ASAKWA NA POLISI KWA UTEKAJI

Na Makongoro Oging’
JESHI la Polisi Mkoa wa Kipolisi Kinondoni jijini Dar, linamsaka mtu mmoja aliyejulikana kwa jina la Godfrey Mushi kwa kosa la kumshambulia na kumjeruhi Robert Ridoch Tillya ambaye ni mfanyakakazi wa Kampuni ya Global Publishers Limited. Godfrey Mushi anatafutwa na polisi kwa kosa la utekaji. Mushi ambaye awali alijitambulisha kwa Tillya kama ni askari polisi anadaiwa kufanya kosa hilo Februari 15,...

 

10 years ago

GPL

UTEKAJI WATOTO WATIKISA DAR

Stori: Makongoro Oging’
MUNGU wangu! Lile sakata la utekaji na upoteaji wa watoto ambao wengi ni wanafunzi wa shule za msingi katika Jiji la Dar na kudaiwa linafanywa na watu walio kwenye magari aina ya Toyota Noah limeingia katika sura nyingine. Wanafunzi wa shule ya msingi wakitoka madarasani baada kutokea kwa hali ya vurugu. Safari hii, gari moja lilitupiwa mawe na dereva nusura kuuawa kufuatia kufika katika Shule...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani