Utekaji, mauaji vyatikisa Kyela
Na Mwandishi Wetu, Kyela
WIMBI la utekaji na mauaji ya watoto wa kike katika Kata ya Itunge Wilaya ya Kyela mkoani Mbeya linatisha.
Hali imezidi kuwa mbaya, baada ya watoto wa kike kutekwa na kuuawa kinyama, kisha kunyofolewa viungo katika sehemu za miili yao.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Mwenyekiti wa Kitongoji cha Itunge Kaskazini, Amasha Amasha alisema siku tatu zilizopita kumekuwa na matukio ya utekeji wa watoto, jambo ambalo limezua hofu kubwa katika eneo hilo.
Alisema mwanafunzi wa...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili07 Jan
Ahukumiwa kwa utekaji na mauaji
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DbrwTSp7ycPVDKr48Nnz6DiVeMzr1s2Czw8dJY7zjSj-pvkjTfIcQj*S3oK06dOaibJ4NtmiyszAsZXwPItRUDorHf8Vz3yl/DAR.gif)
UTEKAJI, MAUAJI DAR SI SALAMA TENA
10 years ago
Mtanzania14 Jan
Escrow, urais vyatikisa Kamati Kuu ya CCM
NA ELIAS MSUYA, ZANZIBAR
KIKAO cha Kamati Kuu (CC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kilichoketi jana mjini Unguja, Zanzibar chini ya uenyekiti wa Rais Jakaya Kikwete, kilitawaliwa na mjadala wa sakata la Akaunti ya Tegeta Escrow, imeelezwa.
Akizungumza jana jioni baada ya kikao hicho, Katibu wa Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye, alisema miongoni mwa mambo yaliyojadiliwa ni pamoja na Akaunti ya Tegeta Escrow, maadili ya viongozi na uchaguzi ndani ya chama hicho.
“Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-7-17Ut3vwqQ2jT0a5IQmlJ14MUVBJRnmEl0svi-zDO3F6jUJMynaepIE3mjQrrCMMAqBKmH9H8sKlvMVR5UkkDOD3yl*Pzz/Watoto.jpg)
VIFO VYA WATOTO WENGINE WAWILI VYATIKISA DAR!
10 years ago
Mwananchi30 Nov
Vitenge vya nyota nyota vyatikisa
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-lTlQOVXQOgs/VDpSXNLxQKI/AAAAAAAGpeo/Vq5W_DCCJik/s72-c/fuime_2.jpg)
GABRIEL FUIME AFUTIWA KESI YA MAUAJI NA KUWA MAUAJI BILA KUKUSUDIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-lTlQOVXQOgs/VDpSXNLxQKI/AAAAAAAGpeo/Vq5W_DCCJik/s1600/fuime_2.jpg)
11 years ago
Habarileo09 May
Alaani utekaji wasichana Nigeria
MAKAMU wa Pili wa Rais Zanzibar, Balozi Seif Ali Idd amesema Serikali inaungana na Chama cha Majaji Wanawake Duniani (IAWJ) kulaani vitendo vya ukatili na utekaji kwa wasichana nchini Nigeria.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EFRV*I*wRwKj6jWRIrCNuspO4xOIj-Pyi4sLM*S6Xhlqi266LIVcBlTLeXI4TpZkpj3K49iL67r603eDxsP4TAEGCmtZ-ueh/s.jpg?width=650)
ASAKWA NA POLISI KWA UTEKAJI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/q*0FqWTixVIAT5X7RzIg94xoHvbqSO9kD7Y*jVH3L93NA1GlIwiMZsdio6ZIffXNKjVqJntFzr250zLmz0qz*zdiptRBhxYH/watoto.jpg?width=650)
UTEKAJI WATOTO WATIKISA DAR