Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Alaani utekaji wasichana Nigeria

Balozi Seif Ali IddMAKAMU wa Pili wa Rais Zanzibar, Balozi Seif Ali Idd amesema Serikali inaungana na Chama cha Majaji Wanawake Duniani (IAWJ) kulaani vitendo vya ukatili na utekaji kwa wasichana nchini Nigeria.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MICHELLE OBAMA NAYE ALAANI UTEKAJI WASICHANA NIGERIA

Michelle Obama (pichani) naye ameungana na maelfu ya watu duniani kulaani kitendo kilichofanywa na kikundi cha Boko Haram cha kuwateka na kuwaficha wasichana zaidi ya 200 nchini Nigeria, ambao hadi sasa hawajulikani waliko.

 

11 years ago

Tanzania Daima

CWP wakerwa utekaji wasichana Nigeria

WABUNGE wanawake wa mabunge ya Jumuiya ya Madola, (CWP), wameitaka jumuiya ya kimataifa kuingilia kati na kushirikiana na Serikali ya Nigeria, kuhakikisha watoto wa kike 200 wanaoshikiliwa na kundi la...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanaharakati walaani utekaji wasichana Nigeria

CHAMA cha Wanahabari Wanawake Tanzania (Tamwa) kwa kushirikiana na mashirika yanayotetea haki za wanawake na watoto, wamelaani vitendo vya utekaji nyara kwa wasichana zaidi ya 200 vilivyofanywa na maharamia (Boko...

 

11 years ago

Habarileo

Wabunge Madola walaani utekaji wasichana Nigeria

Makamu Mwenyekiti wa Umoja wa Wabunge Wanawake wa Nchi za Jumuiya ya Madola Kanda ya Afrika, Beatrice ShelukindoWABUNGE wanawake wa Nchi za Jumuiya ya Madola (CWP) wametoa tamko la kulaani matukio ya utekaji na utesaji wa wasichana nchini Nigeria linalofanywa na kundi la kigaidi la Boko Haram.

 

11 years ago

GPL

WANAHARAKATI WAANDAMANA KUPINGA UTEKAJI WA WASICHANA NIGERIA‏

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa TGNP Mtandao, Bi. Lilian Liundi (aliyeshika kipaza sauti) akisoma barua maalumu iliyotumwa kwa ubalozi wa Nigeria nchini Tanzania kuonesha wanaharakati hao kupinga utekaji wa wasichana uliofanyika Nigeria. Mkurugenzi wa WiLDAF, Dk. Judith Odunga, akizungumza kupinga ukatili uliofanywa kwa wanafunzi wa kike kutekwa na kitendo cha Jeshi la Polisi nchini Tanzania kuzuia maandamano hayo ya wanaharakati....

 

11 years ago

Michuzi

Wanaharakati Waandamana jijini Dar es salaam Kupinga Utekaji wa Wasichana Nigeria

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa TGNP Mtandao, Bi. Lilian Liundi (aliyeshika kipaza sauti) akisoma barua maalumu iliyotumwa kwa ubalozi wa Nigeria nchini Tanzania kuonesha wanaharakati hao kupinga utekaji wa wasichana uliofanyika Nigeria. Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa TGNP Mtandao, Bi. Lilian Liundi (aliyeshika kipaza sauti) akisoma barua maalumu iliyotumwa kwa ubalozi wa Nigeria nchini Tanzania kuonesha wanaharakati hao kupinga utekaji wa wasichana uliofanyika Nigeria.Mkurugenzi wa WiLDAF, Dk. Judith Odunga, akizungumza kupinga ukatili uliofanywa kwa wanafunzi wa kike kutekwa na kitendo cha Jeshi la Polisi nchini Tanzania kuzuia maandamano hayo ya wanaharakati.   Mkurugenzi wa WiLDAF, Dk. Judith Odunga, akizungumza kupinga ukatili uliofanywa kwa wanafunzi wa kike kutekwa na kitendo cha Jeshi la Polisi nchini Tanzania kuzuia maandamano hayo ya wanaharakati.Viongozi wakuu wa Mtandao wa Mashirika Huru ya Kijamii (CSOs) wakipokea mabango yenye jumbe anuai za kupinga vitendo vya kikatili vilivyofanywa  na wanamgambo wa Boko Haram. Viongozi wakuu wa Mtandao wa Mashirika Huru ya Kijamii (CSOs)...

 

10 years ago

BBCSwahili

Nigeria kuchunguza utekaji mpya

Serikali nchini Nigeria inachunguza taarifa za kutekwa idadi kubwa ya wanawake na wasichana kaskazini Mashariki mwa nchi hiyo

 

10 years ago

StarTV

Nigeria inachunguza utekaji mpya

Serikali nchini Nigeria inasema inachunguza taarifa ya idadi kubwa ya wanawake na wasichana waliotekwa nyara na wanamgambo wa Boko Haram Kaskazini Mashariki mwa nchi hiyo, pamoja na kwamba tangazo la kusitisha mapigano lililotolewa na majeshi ya serikali.

 
Msemaji wa Serikali ya Nigeria Mike Omeri, ameiambia BBC kuwa serikali ya Nigeria inajaribu kuthibitisha kile kilichotokea.

 

Mwanakijiji mmoja anasema wanawake na wasichana arobaini wametekwa na kundi hilo.

 
Makubaliano ya...

 

9 years ago

BBCSwahili

Nigeria yawakumbuka wasichana wa Chibok

Nigeria imeadhimisha siku mia tano tangu wasichana wa shule ya upili ya Chibok walipotekwa nyara na wapiganaji wa Boko Haram

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani