MICHELLE OBAMA NAYE ALAANI UTEKAJI WASICHANA NIGERIA
![](http://api.ning.com:80/files/q34XLvoT5YiPFXMJknd69yP35KHwRdTj0EnqDFME6jhtgpW3*znNWap0-Hpx4KY5bPUj3MaQg-P5bR*jw31rGgnBsb-Oqw0m/MRSOBAMA.jpg)
Michelle Obama (pichani) naye ameungana na maelfu ya watu duniani kulaani kitendo kilichofanywa na kikundi cha Boko Haram cha kuwateka na kuwaficha wasichana zaidi ya 200 nchini Nigeria, ambao hadi sasa hawajulikani waliko.
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo09 May
Alaani utekaji wasichana Nigeria
MAKAMU wa Pili wa Rais Zanzibar, Balozi Seif Ali Idd amesema Serikali inaungana na Chama cha Majaji Wanawake Duniani (IAWJ) kulaani vitendo vya ukatili na utekaji kwa wasichana nchini Nigeria.
9 years ago
BBCSwahili01 Oct
Michelle Obama ahimiza wasichana wasiogope wavulana
11 years ago
Tanzania Daima27 Jul
CWP wakerwa utekaji wasichana Nigeria
WABUNGE wanawake wa mabunge ya Jumuiya ya Madola, (CWP), wameitaka jumuiya ya kimataifa kuingilia kati na kushirikiana na Serikali ya Nigeria, kuhakikisha watoto wa kike 200 wanaoshikiliwa na kundi la...
11 years ago
Tanzania Daima15 May
Wanaharakati walaani utekaji wasichana Nigeria
CHAMA cha Wanahabari Wanawake Tanzania (Tamwa) kwa kushirikiana na mashirika yanayotetea haki za wanawake na watoto, wamelaani vitendo vya utekaji nyara kwa wasichana zaidi ya 200 vilivyofanywa na maharamia (Boko...
11 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/74761000/jpg/_74761426_74761396.jpg)
Michelle Obama to speak on Nigeria
11 years ago
Habarileo27 Jul
Wabunge Madola walaani utekaji wasichana Nigeria
WABUNGE wanawake wa Nchi za Jumuiya ya Madola (CWP) wametoa tamko la kulaani matukio ya utekaji na utesaji wa wasichana nchini Nigeria linalofanywa na kundi la kigaidi la Boko Haram.
11 years ago
GPL![](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/05/IMG_0106.jpg)
WANAHARAKATI WAANDAMANA KUPINGA UTEKAJI WA WASICHANA NIGERIA
11 years ago
Michuzi16 May
Wanaharakati Waandamana jijini Dar es salaam Kupinga Utekaji wa Wasichana Nigeria
![Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa TGNP Mtandao, Bi. Lilian Liundi (aliyeshika kipaza sauti) akisoma barua maalumu iliyotumwa kwa ubalozi wa Nigeria nchini Tanzania kuonesha wanaharakati hao kupinga utekaji wa wasichana uliofanyika Nigeria.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/05/IMG_0106.jpg)
![Mkurugenzi wa WiLDAF, Dk. Judith Odunga, akizungumza kupinga ukatili uliofanywa kwa wanafunzi wa kike kutekwa na kitendo cha Jeshi la Polisi nchini Tanzania kuzuia maandamano hayo ya wanaharakati.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/05/IMG_0068.jpg)
![Viongozi wakuu wa Mtandao wa Mashirika Huru ya Kijamii (CSOs) wakipokea mabango yenye jumbe anuai za kupinga vitendo vya kikatili vilivyofanywa na wanamgambo wa Boko Haram.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/05/IMG_0041.jpg)
11 years ago
Mwananchi19 Jan
Ndoa ya Obama, Michelle shakani