UTEKAJI, MAUAJI DAR SI SALAMA TENA
![](http://api.ning.com:80/files/DbrwTSp7ycPVDKr48Nnz6DiVeMzr1s2Czw8dJY7zjSj-pvkjTfIcQj*S3oK06dOaibJ4NtmiyszAsZXwPItRUDorHf8Vz3yl/DAR.gif)
Stori: WAANDISHI WETU NI kweli Dar si salama tena! Lile sakata la utekaji na mauaji ya watoto, sasa limechukua sura mpya na kulifanya Jiji la Dar kuwa mahali salama kwa kuishi kufuatia kutekwa na kuuawa kwa wasichana wawili na mfanyabiashara mmoja huku watoto wawili wakiwa hawajulikani walipo, Uwazi lina data za kutosha. Marehemu Jack enzi za uhai wake. Kwa nyakati tofauti, gazeti hili limewahi kuripoti mara kadhaa juu ya...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania17 Sep
Utekaji, mauaji vyatikisa Kyela
Na Mwandishi Wetu, Kyela
WIMBI la utekaji na mauaji ya watoto wa kike katika Kata ya Itunge Wilaya ya Kyela mkoani Mbeya linatisha.
Hali imezidi kuwa mbaya, baada ya watoto wa kike kutekwa na kuuawa kinyama, kisha kunyofolewa viungo katika sehemu za miili yao.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Mwenyekiti wa Kitongoji cha Itunge Kaskazini, Amasha Amasha alisema siku tatu zilizopita kumekuwa na matukio ya utekeji wa watoto, jambo ambalo limezua hofu kubwa katika eneo hilo.
Alisema mwanafunzi wa...
10 years ago
BBCSwahili07 Jan
Ahukumiwa kwa utekaji na mauaji
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/q*0FqWTixVIAT5X7RzIg94xoHvbqSO9kD7Y*jVH3L93NA1GlIwiMZsdio6ZIffXNKjVqJntFzr250zLmz0qz*zdiptRBhxYH/watoto.jpg?width=650)
UTEKAJI WATOTO WATIKISA DAR
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/7C-F8e0yGIZ3Hlxutpkx5kgPr-kXcUV-9xQ3IE3ZgOiPPeFwLvEHBkoJxq9sKupbvOxYYw83R4WuLHyn*IUbq4Pkncx8VY8W/hataari.jpg)
UTEKAJI WA WATOTO DAR, HALI SASA NI TETE!
10 years ago
VijimamboSAKATA LA UTEKAJI WA WATOTO DAR, JESHI LA POLISI LAKANUSHA
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limekanusha vikali juu ya uvumi unaoendelea jijini Dar es Salaam kuhusu utekaji nyara wa watoto wadogo wanaosoma shule.
Kutokana na Hivi karibuni umezuka uvumi kutoka kwa watu mbalimbali hasa wazazi ambao uvumi huu umewafikia kwamba kuna kundi la wahalifu wanaotumia gari aina ya NOAH rangi nyeusi ambao kazi yao ni kuteka nyara wanafunzi kwa nia ya kutenda uhalifu ikiwa ni pamoja na kuwachuna ngozi na madhara mengine.
...
11 years ago
Tanzania Daima19 Dec
Mauaji ya kinyama tena
WAKATI kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), mkoani Mwanza, Clement Mabina akiua naye kuuawa na wananchi kutokana na mgogoro wa ardhi, watu wengine watatu wameuawa na polisi jana, huku kituo...
11 years ago
Tanzania Daima06 Jan
Mauaji ya wakulima tena Kiteto
MAPAMBANO kati ya wakulima na wafugaji katika Wilaya ya Kiteto mkoani Manyara, yanaendelea kushika kasi na kusababisha watu wanne kupoteza maisha. Hali hiyo ilibainishwa na Katibu wa wakulima wilayani hapa,...
10 years ago
BBCSwahili20 Apr
IS watoa tena video ya mauaji
11 years ago
Michuzi16 May
Wanaharakati Waandamana jijini Dar es salaam Kupinga Utekaji wa Wasichana Nigeria
![Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa TGNP Mtandao, Bi. Lilian Liundi (aliyeshika kipaza sauti) akisoma barua maalumu iliyotumwa kwa ubalozi wa Nigeria nchini Tanzania kuonesha wanaharakati hao kupinga utekaji wa wasichana uliofanyika Nigeria.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/05/IMG_0106.jpg)
![Mkurugenzi wa WiLDAF, Dk. Judith Odunga, akizungumza kupinga ukatili uliofanywa kwa wanafunzi wa kike kutekwa na kitendo cha Jeshi la Polisi nchini Tanzania kuzuia maandamano hayo ya wanaharakati.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/05/IMG_0068.jpg)
![Viongozi wakuu wa Mtandao wa Mashirika Huru ya Kijamii (CSOs) wakipokea mabango yenye jumbe anuai za kupinga vitendo vya kikatili vilivyofanywa na wanamgambo wa Boko Haram.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/05/IMG_0041.jpg)