SAKATA LA UTEKAJI WA WATOTO DAR, JESHI LA POLISI LAKANUSHA
Na Karoli Vinsent
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limekanusha vikali juu ya uvumi unaoendelea jijini Dar es Salaam kuhusu utekaji nyara wa watoto wadogo wanaosoma shule.
Kutokana na Hivi karibuni umezuka uvumi kutoka kwa watu mbalimbali hasa wazazi ambao uvumi huu umewafikia kwamba kuna kundi la wahalifu wanaotumia gari aina ya NOAH rangi nyeusi ambao kazi yao ni kuteka nyara wanafunzi kwa nia ya kutenda uhalifu ikiwa ni pamoja na kuwachuna ngozi na madhara mengine.
...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/q*0FqWTixVIAT5X7RzIg94xoHvbqSO9kD7Y*jVH3L93NA1GlIwiMZsdio6ZIffXNKjVqJntFzr250zLmz0qz*zdiptRBhxYH/watoto.jpg?width=650)
UTEKAJI WATOTO WATIKISA DAR
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/7C-F8e0yGIZ3Hlxutpkx5kgPr-kXcUV-9xQ3IE3ZgOiPPeFwLvEHBkoJxq9sKupbvOxYYw83R4WuLHyn*IUbq4Pkncx8VY8W/hataari.jpg)
UTEKAJI WA WATOTO DAR, HALI SASA NI TETE!
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-YFKpWo8xoJQ/VMOMrmLWPyI/AAAAAAAG_Uw/l-2FcASe20k/s72-c/kova18_232_300.jpg)
TAARIFA YA POLISI JIJINI DAR: MAJAMBAZI WAWILI WAUAWA DAR WAKATI WA MAPAMBANO KATI YAO NA ASKARI WA JESHI LA POLISI
![](http://4.bp.blogspot.com/-YFKpWo8xoJQ/VMOMrmLWPyI/AAAAAAAG_Uw/l-2FcASe20k/s1600/kova18_232_300.jpg)
Tukio hilo lilitokea eneo la Kariakoo mtaa wa Mkunguni na Livingstone saa 3.00hrs usiku. Wakati wa tukio hilo umeme ulikuwa hakuna na mlalamikaji alikuwa anatumia taa za...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-DUqBMtLzwAY/U2ibkNAMIfI/AAAAAAAFf2M/AP28rlbzD00/s72-c/POLISI+LOGO+-+Copy.jpg)
JESHI LA POLISI LAJIPANGA KUKOMESHA UKATILI NA UNYANYASAJI WA WATOTO
![](http://3.bp.blogspot.com/-DUqBMtLzwAY/U2ibkNAMIfI/AAAAAAAFf2M/AP28rlbzD00/s1600/POLISI+LOGO+-+Copy.jpg)
Mkuu wa Dawati la Jinsia Nchini Naibu Kamishna wa Polisi (DCP) Adolfina Chialo, amewataka askari wote nchini hususan wale waliopo katika dawati la jinsia kuhakikisha wanafanya kazi kwa weledi ili kukomesha vitendo vya ukatili na unyanyasaji wa kijinsia dhidi ya wanawake na watoto.
Hayo ameyasema hayo wakati wa ufunguzi wa semina ya mafunzo ya siku tano yanayotolewa kwa Maafisa na askari wa Jeshi la Polisi katika mkoa wa Dar es salaam, ambapo...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-YfeWR9TFKNI/Va0De2WQO_I/AAAAAAAAWak/82cqhBYxmNo/s72-c/1%2B%25281%2529.jpg)
NMB BANK YALIPATIA JESHI LA POLISI VIFAA VYA MICHEZO, NI KWA AJILI YA TIMU ZA POLISI DAR NA MORO
![](http://4.bp.blogspot.com/-YfeWR9TFKNI/Va0De2WQO_I/AAAAAAAAWak/82cqhBYxmNo/s640/1%2B%25281%2529.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-f2kKwjtcNAI/Xn3m8E7LhaI/AAAAAAALlSc/b4cT0al0XuAaSyrFQV4tyP0K0pOzwqjqwCLcBGAsYHQ/s72-c/1bf8ccf2-4a41-4fbe-b096-b9b357137a8d.jpg)
JESHI LA POLISI DAR LAWASHIKILIA WATU WATANO WALIOMKATA MAPANGA NA KUMPORA OFISA WA SERIKALI, WALIOBIWA LAPTOP WAITWA POLISI
WATU Watano ambao ni maarufu kwa ukataji watu mapanga maeneo ya Tegeta jijini Dar es Salaam wanashikiliwa na Jeshi la Polisi baada ya kukamatwa kutokana na uporaji walioufanya katika nyumba ya Ofisa wa Serikali Victor Nelson Nyirenda ambaye kabla ya kumpora walimkata mapanga kichwani.
Kamanda wa Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam Lazaro Mambosasa amewataja watuhumiwa hao leo Machi 27,2020 kuwa ni Juma John( 27), Japhet Charles( 25), Victor ...
11 years ago
Michuzi14 May
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EFRV*I*wRwKj6jWRIrCNuspO4xOIj-Pyi4sLM*S6Xhlqi266LIVcBlTLeXI4TpZkpj3K49iL67r603eDxsP4TAEGCmtZ-ueh/s.jpg?width=650)
ASAKWA NA POLISI KWA UTEKAJI
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-1IakUtC7aAc/VdOesSMNIuI/AAAAAAAHyD0/Ao_K4d4xP_o/s72-c/aaa.png)
TAARIFA YA JESHI LA POLISI MKOA WA MBEYA KWA VYOMBO VYA HABARI TAREHE 18.08.2015. KUFANYA KAZI YA ULINZI NA USALAMA ILIYOKASIMIWA KWA JESHI LA POLISI.
![](http://4.bp.blogspot.com/-1IakUtC7aAc/VdOesSMNIuI/AAAAAAAHyD0/Ao_K4d4xP_o/s640/aaa.png)
![](http://3.bp.blogspot.com/-E_TqgsZUVxA/VdOd8pH2pxI/AAAAAAAHyDo/ZHeA-B7qXco/s640/unnamed%2B%252841%2529.jpg)
KATIKA MSAFARA WAKE KUTOKA UWANJA WA NDEGE [SONGWE] KULIONEKANA GARI MOJA (PICHANI) AINA YA LAND CRUISER – PICK UP YENYE RANGI NYEUSI NA NDANI YAKE LILIKUWA LIMEBEBA VIJANA AMBAO WALIKUWA WAMEVAA MAVAZI MEUSI, KOFIA – BERETI NYEUSI NA MIWANI...