UTEKAJI WA WATOTO DAR, HALI SASA NI TETE!
![](http://api.ning.com:80/files/7C-F8e0yGIZ3Hlxutpkx5kgPr-kXcUV-9xQ3IE3ZgOiPPeFwLvEHBkoJxq9sKupbvOxYYw83R4WuLHyn*IUbq4Pkncx8VY8W/hataari.jpg)
Stori: Makongoro Oging’ LICHA ya Jeshi la Polisi Mkoa wa Kinondoni kupitia kwa kamanda wake, Camillius Wambura kutumia nguvu kubwa kukanusha kwamba, hakuna matukio ya utekaji wa watoto wadogo, hasa wanafunzi, lakini matukio hayo YAPO!! Mama aliyempoteza mwanaye akilia kwa uchungu. UWAZI LINA CHA KUSHIKA Ili kuliwekea ushahidi suala hilo, Uwazi lina cha kushika mkononi kufuatia wiki iliyopita, wanafunzi wawili wa...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV04 Sep
Hali tete Kipindupindu Dar.
Serikali imesema bado hali ni tete ya kumaliza maambukizi ya ugonjwa wa kipindipindu mkoani Dar es salaam ambao hadi sasa umesababisha vifo vya watu kumi.
Kutokana na hali hiyo, mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Said Meck Sadick amevifungia visima 20 vya maji vilivyobainika kuwa na vimelea vya kipindupindu pamoja na kupiga marufuku uuzaji wa vyakula mashuleni.
Akizungumza jijini Dar es Salaam, Meck Sadiq amesema tangu kutokea kwa mlipuko wa kipindupindu, wamepokea wagonjwa 636 katika vituo vya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/q*0FqWTixVIAT5X7RzIg94xoHvbqSO9kD7Y*jVH3L93NA1GlIwiMZsdio6ZIffXNKjVqJntFzr250zLmz0qz*zdiptRBhxYH/watoto.jpg?width=650)
UTEKAJI WATOTO WATIKISA DAR
10 years ago
VijimamboSAKATA LA UTEKAJI WA WATOTO DAR, JESHI LA POLISI LAKANUSHA
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limekanusha vikali juu ya uvumi unaoendelea jijini Dar es Salaam kuhusu utekaji nyara wa watoto wadogo wanaosoma shule.
Kutokana na Hivi karibuni umezuka uvumi kutoka kwa watu mbalimbali hasa wazazi ambao uvumi huu umewafikia kwamba kuna kundi la wahalifu wanaotumia gari aina ya NOAH rangi nyeusi ambao kazi yao ni kuteka nyara wanafunzi kwa nia ya kutenda uhalifu ikiwa ni pamoja na kuwachuna ngozi na madhara mengine.
...
10 years ago
Mtanzania14 May
HALI TETE BURUNDI
Waandishi Wetu, Bujumbura na Dar
JARIBIO la mapinduzi lilifanyika jana nchini Burundi kumpindua Rais Pierre Nkurunzinza kupinga mpango wake wa kugombea urais kwa muhula wa tatu.
Maelfu ya watu walimiminika katika mitaa ya mji mkuu wa taifa hilo, Bujumbura, kushangilia tangazo la mapinduzi lililotolewa na Meja Jenerali Godefroid Niyombare.
Hata hivyo, matokeo ya mapinduzi hayo yalikuwa mbali na uhalisia.
Uamuzi wa Jenerali Niyombareh ambaye alitimuliwa na Nkurunzinza kama mkuu wa usalama...
10 years ago
Raia Mwema12 Aug
Hali tete TanzaniteOne
HALI ya mambo si shwari ndani ya kampuni ya uchimbaji madini ya Tanzanite ya TanzaniteOne, iliyo
Paul Sarwatt
9 years ago
Raia Mwema19 Aug
hali tete TanzaniteOne -2
WAZIRI wa Nishati na Madini, George Simbachawene mwishoni mwa wiki (Ijumaa iliyopita) alifanya zi
Paul Sarwatt
10 years ago
Mwananchi21 Aug
Hali tete Msimbazi
10 years ago
Mtanzania31 Mar
Hali tete Zanzibar
Na Is-haka Omar, Zanzibar
HALI ya usalama visiwani Zanzibar imechafuka baada ya wafuasi wa Chama cha Wananchi (CUF), kuvamiwa na kupigwa na watu wanaodaiwa kuwa wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Kutokana na vurugu hizo, watu 25 waliokuwa wakitokea katika mkutano wa CUF uliokuwa unafanyika Makunduchi, Wilaya ya Kusini Unguja wamejeruhiwa, huku wanne kati yao wakilazimika kuhamishiwa Hospitali ya Taifa Muhimbili jijini Dar es Salaam kwa matibabu zaidi.
Akithibitisha kutokea kwa tukio...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LoK3NXOIwpE-g8AtbJatQQ8KoTd-zaJahkWd35RY8Uew11BqGTedh2nY19U3EuhtjlScCsFuj2vAjE6hy*bUMR5Npy2BDjzC/BREAKINGNEWS.gif)
STRABAG BADO HALI TETE