UTEKAJI WATOTO WATIKISA DAR
![](http://api.ning.com:80/files/q*0FqWTixVIAT5X7RzIg94xoHvbqSO9kD7Y*jVH3L93NA1GlIwiMZsdio6ZIffXNKjVqJntFzr250zLmz0qz*zdiptRBhxYH/watoto.jpg?width=650)
Stori: Makongoro Oging’ MUNGU wangu! Lile sakata la utekaji na upoteaji wa watoto ambao wengi ni wanafunzi wa shule za msingi katika Jiji la Dar na kudaiwa linafanywa na watu walio kwenye magari aina ya Toyota Noah limeingia katika sura nyingine. Wanafunzi wa shule ya msingi wakitoka madarasani baada kutokea kwa hali ya vurugu. Safari hii, gari moja lilitupiwa mawe na dereva nusura kuuawa kufuatia kufika katika Shule...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/7C-F8e0yGIZ3Hlxutpkx5kgPr-kXcUV-9xQ3IE3ZgOiPPeFwLvEHBkoJxq9sKupbvOxYYw83R4WuLHyn*IUbq4Pkncx8VY8W/hataari.jpg)
UTEKAJI WA WATOTO DAR, HALI SASA NI TETE!
10 years ago
VijimamboSAKATA LA UTEKAJI WA WATOTO DAR, JESHI LA POLISI LAKANUSHA
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limekanusha vikali juu ya uvumi unaoendelea jijini Dar es Salaam kuhusu utekaji nyara wa watoto wadogo wanaosoma shule.
Kutokana na Hivi karibuni umezuka uvumi kutoka kwa watu mbalimbali hasa wazazi ambao uvumi huu umewafikia kwamba kuna kundi la wahalifu wanaotumia gari aina ya NOAH rangi nyeusi ambao kazi yao ni kuteka nyara wanafunzi kwa nia ya kutenda uhalifu ikiwa ni pamoja na kuwachuna ngozi na madhara mengine.
...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/D*jRkBJZGXUDL3ob2M0J4fLba7FD4AGcVK-SN561YfIhgZTy5cTT*gH80UOL9ePEMSIMzHpwljOwJwgVEWHbLlLn2iyHynjm/BACKIJUMAA.jpg)
WIZI WA WATOTO WATIKISA MORO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DbrwTSp7ycPVDKr48Nnz6DiVeMzr1s2Czw8dJY7zjSj-pvkjTfIcQj*S3oK06dOaibJ4NtmiyszAsZXwPItRUDorHf8Vz3yl/DAR.gif)
UTEKAJI, MAUAJI DAR SI SALAMA TENA
10 years ago
GPLMGOMO WA MADEREVA WATIKISA DAR
11 years ago
Michuzi16 May
Wanaharakati Waandamana jijini Dar es salaam Kupinga Utekaji wa Wasichana Nigeria
![Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa TGNP Mtandao, Bi. Lilian Liundi (aliyeshika kipaza sauti) akisoma barua maalumu iliyotumwa kwa ubalozi wa Nigeria nchini Tanzania kuonesha wanaharakati hao kupinga utekaji wa wasichana uliofanyika Nigeria.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/05/IMG_0106.jpg)
![Mkurugenzi wa WiLDAF, Dk. Judith Odunga, akizungumza kupinga ukatili uliofanywa kwa wanafunzi wa kike kutekwa na kitendo cha Jeshi la Polisi nchini Tanzania kuzuia maandamano hayo ya wanaharakati.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/05/IMG_0068.jpg)
![Viongozi wakuu wa Mtandao wa Mashirika Huru ya Kijamii (CSOs) wakipokea mabango yenye jumbe anuai za kupinga vitendo vya kikatili vilivyofanywa na wanamgambo wa Boko Haram.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/05/IMG_0041.jpg)
10 years ago
Dewji Blog02 Jan
Panya road watikisa jiji la Dar
Kundi linalozaniwa ni la kihalifu maafuru kama “Panya Road” usiku wa leo wametoa hofu kubwa kwa wakazi wa Dar yakiwemo maeneo ya Tandale, Manzese, Magomeni, Mabibo na mengineyo.
Kundi hilo limezua hofu na kusababisha maduka kufungwa mapema huku watu wakikimbia ovyo kwa hofu na shughuli zote kwenye baadhi ya maeneo ya jiji kusimama mpaka pale hali itakapotengemaa.
Imebainika baadhi ya maeneo ni Magomeni, Tabata, Kinondoni na kwingineko kundi hilo limepita na kufanya uhalifu kwa kupora...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ClAm1i34ec4/Vi0-W-xLGQI/AAAAAAAICy0/m3wpBSyQTLg/s72-c/unnamed%2B%252814%2529.jpg)
Muziki munene wa EFM 93.7 Watikisa Tegeta jijini Dar es salaam
11 years ago
GPLUSIKU WA MNYAMA NA WANYAMA WATIKISA DAR LIVE SIKUKUU YA IDD PILI