Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UTEKAJI WATOTO WATIKISA DAR

Stori: Makongoro Oging’
MUNGU wangu! Lile sakata la utekaji na upoteaji wa watoto ambao wengi ni wanafunzi wa shule za msingi katika Jiji la Dar na kudaiwa linafanywa na watu walio kwenye magari aina ya Toyota Noah limeingia katika sura nyingine. Wanafunzi wa shule ya msingi wakitoka madarasani baada kutokea kwa hali ya vurugu. Safari hii, gari moja lilitupiwa mawe na dereva nusura kuuawa kufuatia kufika katika Shule...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

UTEKAJI WA WATOTO DAR, HALI SASA NI TETE!

Stori: Makongoro Oging’
LICHA ya Jeshi la Polisi Mkoa wa Kinondoni kupitia kwa kamanda wake, Camillius Wambura kutumia nguvu kubwa kukanusha kwamba, hakuna matukio ya utekaji wa watoto wadogo, hasa wanafunzi, lakini matukio hayo YAPO!! Mama aliyempoteza mwanaye akilia kwa uchungu. UWAZI LINA CHA KUSHIKA
Ili kuliwekea ushahidi suala hilo, Uwazi lina cha kushika mkononi kufuatia wiki iliyopita, wanafunzi wawili wa...

 

10 years ago

Vijimambo

SAKATA LA UTEKAJI WA WATOTO DAR, JESHI LA POLISI LAKANUSHA

Na Karoli Vinsent
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limekanusha vikali juu ya uvumi unaoendelea jijini Dar es Salaam kuhusu utekaji nyara wa watoto wadogo wanaosoma shule.
Kutokana na Hivi karibuni umezuka uvumi kutoka kwa watu mbalimbali hasa wazazi ambao uvumi huu umewafikia kwamba kuna kundi la wahalifu wanaotumia gari aina ya NOAH rangi nyeusi ambao kazi yao ni kuteka nyara wanafunzi kwa nia ya kutenda uhalifu ikiwa ni pamoja na kuwachuna ngozi na madhara mengine.
...

 

10 years ago

GPL

WIZI WA WATOTO WATIKISA MORO

Dustan Shekidele, Morogoro
WIZI wa watoto unazidi kutikisa mkoani hapa ambapo baada ya mwanamke Martha Masawe kuibiwa mwanaye mchanga katika Kliniki ya Nunge Ijumaa iliyopita, Wema Joseph (pichani), mkazi wa Manzese naye ameangua kilio hadharani baada ya kuibiwa mwanaye wa kike aitwaye Elizabeth mwenye umri wa miaka miwili. Mtot Elizabeth aliyedaiwa kuibiwa. Tukio hilo la kusikitisha lilitokea kwenye saluni ya kike ambayo ipo...

 

10 years ago

GPL

UTEKAJI, MAUAJI DAR SI SALAMA TENA

Stori: WAANDISHI WETU
NI kweli Dar si salama tena! Lile sakata la utekaji na mauaji ya watoto, sasa limechukua sura mpya na kulifanya Jiji la Dar kuwa mahali salama kwa kuishi kufuatia kutekwa na kuuawa kwa wasichana wawili na mfanyabiashara mmoja huku watoto wawili wakiwa hawajulikani walipo, Uwazi lina data za kutosha. Marehemu Jack enzi za uhai wake. Kwa nyakati tofauti, gazeti hili limewahi kuripoti mara kadhaa juu ya...

 

10 years ago

GPL

MGOMO WA MADEREVA WATIKISA DAR

Mabasi yaendayo mikoani yakiwa Stendi ya Ubungo yamepaki. Wasafiri wakiwa hawajui hatma ya safari yao eneo la Ubungo. Hali halisi ya Ubungo ilivyokuwa asubuhi leo.…

 

11 years ago

Michuzi

Wanaharakati Waandamana jijini Dar es salaam Kupinga Utekaji wa Wasichana Nigeria

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa TGNP Mtandao, Bi. Lilian Liundi (aliyeshika kipaza sauti) akisoma barua maalumu iliyotumwa kwa ubalozi wa Nigeria nchini Tanzania kuonesha wanaharakati hao kupinga utekaji wa wasichana uliofanyika Nigeria. Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa TGNP Mtandao, Bi. Lilian Liundi (aliyeshika kipaza sauti) akisoma barua maalumu iliyotumwa kwa ubalozi wa Nigeria nchini Tanzania kuonesha wanaharakati hao kupinga utekaji wa wasichana uliofanyika Nigeria.Mkurugenzi wa WiLDAF, Dk. Judith Odunga, akizungumza kupinga ukatili uliofanywa kwa wanafunzi wa kike kutekwa na kitendo cha Jeshi la Polisi nchini Tanzania kuzuia maandamano hayo ya wanaharakati.   Mkurugenzi wa WiLDAF, Dk. Judith Odunga, akizungumza kupinga ukatili uliofanywa kwa wanafunzi wa kike kutekwa na kitendo cha Jeshi la Polisi nchini Tanzania kuzuia maandamano hayo ya wanaharakati.Viongozi wakuu wa Mtandao wa Mashirika Huru ya Kijamii (CSOs) wakipokea mabango yenye jumbe anuai za kupinga vitendo vya kikatili vilivyofanywa  na wanamgambo wa Boko Haram. Viongozi wakuu wa Mtandao wa Mashirika Huru ya Kijamii (CSOs)...

 

10 years ago

Dewji Blog

Panya road watikisa jiji la Dar

6955917312_d80d4a80e6_b

Kundi linalozaniwa ni la kihalifu maafuru kama “Panya Road” usiku wa leo wametoa hofu kubwa kwa wakazi wa Dar yakiwemo maeneo ya Tandale, Manzese, Magomeni, Mabibo na mengineyo.

Kundi hilo limezua hofu na kusababisha maduka kufungwa mapema huku watu wakikimbia ovyo kwa hofu na shughuli zote kwenye baadhi ya maeneo ya jiji kusimama mpaka pale hali itakapotengemaa.

Imebainika baadhi ya maeneo ni Magomeni, Tabata, Kinondoni na kwingineko kundi hilo limepita na kufanya uhalifu kwa kupora...

 

9 years ago

Michuzi

Muziki munene wa EFM 93.7 Watikisa Tegeta jijini Dar es salaam

SHANGWE za muziki mnene wa 93.7 EFM bado zinaendele. Ijumaa iliyopita ilikuwa zamu ya wakazi wa Tegeta . Burudani ya aina yake ikiongozwa na timu nzima ya EFM ilishushwa ndani ya kimori high way park Tegeta , huku wakazi wa Tegeta wakikutana ana kwa ana na watangazaji na RDJ’s wa 93.7EFM. Burudani ilianza na kabumbu kati ya EFM na Boko beach veteran katika uwanja wa boko beach ambapo EFM waliibuka na ushindi mabao matatu huku Boko beach veteran wakiambulia sifuri. "Muziki mnene bado...

 

11 years ago

GPL

USIKU WA MNYAMA NA WANYAMA WATIKISA DAR LIVE SIKUKUU YA IDD PILI

Mwanamuziki nyota wa Bongo Fleva, Khalid Mohammed 'TID' akizikonga nyoyo za mashabiki wa Dar Live katika Usiku wa Mnyama na Wanyama. Mwanamuziki Jafarai akipagawisha mashabiki waliofurika katika Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani