WIZI WA WATOTO WATIKISA MORO
![](http://api.ning.com:80/files/D*jRkBJZGXUDL3ob2M0J4fLba7FD4AGcVK-SN561YfIhgZTy5cTT*gH80UOL9ePEMSIMzHpwljOwJwgVEWHbLlLn2iyHynjm/BACKIJUMAA.jpg)
Dustan Shekidele, Morogoro WIZI wa watoto unazidi kutikisa mkoani hapa ambapo baada ya mwanamke Martha Masawe kuibiwa mwanaye mchanga katika Kliniki ya Nunge Ijumaa iliyopita, Wema Joseph (pichani), mkazi wa Manzese naye ameangua kilio hadharani baada ya kuibiwa mwanaye wa kike aitwaye Elizabeth mwenye umri wa miaka miwili. Mtot Elizabeth aliyedaiwa kuibiwa. Tukio hilo la kusikitisha lilitokea kwenye saluni ya kike ambayo ipo...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima07 Nov
Wizi watikisa Bunge
MASHINE ya kurushia matangazo ya moja kwa moja na kuchanganya picha, imeibiwa ndani ya ukumbi wa jengo la Bunge katika mazingira ya kutatanisha, Tanzania Daima limebaini. Mashine hiyo (Mixer), mali...
10 years ago
Mtanzania10 Jun
Barnaba, Stamina watikisa Moro
NA LILIAN JUSTICE, MOROGORO
WASANII wa muziki wa kizazi kipya nchini, Elias Barnaba, Rich Mavoko, Golden Mbunda ‘Godzilla’ na Boniventura Kabobo ‘Stamina’, juzi walipagawisha katika tamasha la pongezi kwa Mbunge wa Jimbo wa Morogoro Mjini, Abdulaziz Abood, lililofanyika Uwanja wa Jamhuri.
Katika hotuba yake, Abood aliahidi kuunganisha wasanii wa kizazi kipya ili watumie sanaa yao kutoa burudani na elimu kwa mashabiki wao.
Abood aliongeza kwamba, tukio hilo limempa faraja kwa kutambulika...
9 years ago
Mwananchi02 Sep
Wizi wa mtandao nchini watikisa sekta ya utalii
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/q*0FqWTixVIAT5X7RzIg94xoHvbqSO9kD7Y*jVH3L93NA1GlIwiMZsdio6ZIffXNKjVqJntFzr250zLmz0qz*zdiptRBhxYH/watoto.jpg?width=650)
UTEKAJI WATOTO WATIKISA DAR
11 years ago
Habarileo25 Apr
Hofu ya wizi wa watoto wa kike
HOFU kubwa imetanda Manispaa ya Sumbawanga kwa wazazi wenye watoto wadogo wa kike, kutokana na taarifa zilizozagaa za kuwepo kwa watu wanaodaiwa kuiba watoto wadogo wa kike na kuwauza kusikojulikana.
10 years ago
Habarileo14 Oct
Taharuki yatanda wizi wa watoto Dar
TAARIFA za kuwepo watu wanaoteka na kuua watoto wadogo zimesababisha taharuki kubwa katika Jiji la Dar es Salaam na vitongoji vyake, hali ambayo mamlaka zinazohusika na usalama wa raia, zimeombwa kueleza undani wa matukio hayo.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jzsUW*22gf2h6wfB18UE9SJUhOwLtxw4RqeonotNo3J04JBHaV*JL9Hp*8*sB*OQ87Td1kGZLFZDPBlsGaC09Eg7WHT4kGQU/sangoma.jpg?width=650)
SANGOMA ANASWA KWA WIZI WA WATOTO
11 years ago
Tanzania Daima03 Jun
Watoto Moro wahitaji ulinzi zaidi
WATOTO wanaoishi katika mazingira magumu katika Manispaa ya Morogoro, wameandamana mjini hapa wakishinikiza kupatiwa ulinzi wa kutosha. Watoto hao walitoa ombi hilo juzi, baada ya maandamano ya kuadhimisha Siku ya...
11 years ago
Mwananchi14 Apr
Mvua zaua watoto watano, barabara zafungwa Moro